Tanzania toeni uraia kwa wakimbizi wenye vipaji na ujuzi

Tanzania toeni uraia kwa wakimbizi wenye vipaji na ujuzi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao.

Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer, wachimbaji wazuri wa madini, wafugaji, nk. Taifa linaweza kunufaika na ujuzi wao huu kama litawatumia officially badala ya kuwarundika makambini watu wenye ujuzi muhimu kama kufundisha lugha za kifaransa, kiingereza, nk mashuleni.

Watanzania wengi ni wavivu sana kutokana na mazingira rahisi tuliokozaliwa na kulelewa. Hawa wakimbizi watatoa ushindani kwa wazawa.
 
Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao.

Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer, wachimbaji wazuri wa madini, wafugaji, nk. Taifa linaweza kunufaika na ujuzi wao huu kama litawatumia officially badala ya kuwarundika makambini watu wenye ujuzi muhimu kama kufundisha lugha za kifaransa, kiingereza, nk mashuleni. Watanzania wengi ni wavivu sana kutokana na mazingira rahisi tuliokozaliwa na kulelewa. Hawa wakimbizi watatoa ushindani kwa wazawa.
Sawa umejitahidi kufikiria kama wenyewe ajira hazitoshi kuna watu Wana huo ujuzi na wapo makwao mtu mgeni afike tu from nowhere au somewhere ambako kuna maisha kama kawaida na serikali afike hapa na kupewa ajira wakati huo si tunateseka kweli ? NONSENSE
 
Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao.

Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer, wachimbaji wazuri wa madini, wafugaji, nk. Taifa linaweza kunufaika na ujuzi wao huu kama litawatumia officially badala ya kuwarundika makambini watu wenye ujuzi muhimu kama kufundisha lugha za kifaransa, kiingereza, nk mashuleni. Watanzania wengi ni wavivu sana kutokana na mazingira rahisi tuliokozaliwa na kulelewa. Hawa wakimbizi watatoa ushindani kwa wazawa.
Hopefully kuna mtu amekusikia.
 
Sawa umejitahidi kufikiria kama wenyewe ajira hazitoshi kuna watu Wana huo ujuzi na wapo makwao mtu mgeni afike tu from nowhere au somewhere ambako kuna maisha kama kawaida na serikali afike hapa na kupewa ajira wakati huo si tunateseka kweli ? NONSENSE
Kuna ujuzi ambao hapa hatuna, mbona timu zimesajili na wachezaji na makocha wengi wa kigeni? hatuna wachezaji hapa? Nilifundishwa kiingereza na mkimbizi kutoka Zimbabwe wakati huo ikanifanya Sasa najua kiingereza vizuri na kizuri.
 
Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao.

Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer, wachimbaji wazuri wa madini, wafugaji, nk. Taifa linaweza kunufaika na ujuzi wao huu kama litawatumia officially badala ya kuwarundika makambini watu wenye ujuzi muhimu kama kufundisha lugha za kifaransa, kiingereza, nk mashuleni.

Watanzania wengi ni wavivu sana kutokana na mazingira rahisi tuliokozaliwa na kulelewa. Hawa wakimbizi watatoa ushindani kwa wazawa.
Cha ajabu majitu yanayoitafuna nchi huwa yanakuja na hoja ya ki NDEZI eti hawana uzalendo,na ndio hoja inayotumika kupinga uraia pacha!!mbona yenyewe ambayo ni mitanzania halisi ndio inaliangamiza taifa hili?!!!Yaaani TZ huwa inajifanya kama ni nchi yenye upekee na zingine zote duniani?!kumbe ni chaka tu la kujifichia la kupiga mali!!
 
Wazo hilo ni la maana ikiwa linatumika kwenye nyanja zisizokuwa na wataalamu wa kutosha.Kwa mfano waalimu wa hesabu,kiingereza,madaktari bingwa na pote kwenye uhaba wa wataalamu. Sweden wana mpango huo unaitwa arbetsinvandring na unatumiwa kuwapa visa na vibali vya kazi wataalamu kutoka nje inaowahitaji hasa wa IT kutoka India na Bangladesh.
 
Cha ajabu majitu yanayoitafuna nchi huwa yanakuja na hoja ya ki NDEZI eti hawana uzalendo,na ndio hoja inayotumika kupinga uraia pacha!!mbona yenyewe ambayo ni mitanzania halisi ndio inaliangamiza taifa hili?!!!Yaaani TZ huwa inajifanya kama ni nchi yenye upekee na zingine zote duniani?!kumbe ni chaka tu la kujifichia la kupiga mali!!
Wanaogopa wageni na wenye exposure kuja kuwabumbulisha mazombie,
 
KUNA RAIA WA SUDAN NAMFAHAMU ANA KIPAJI CHA RIADHA JAMAA ANAKIMBIA KWELIKWELI,ALIOMBA AIWAKILISHE TANZANIA KAMA RAIA.

SIJUI MAMLAKA ILIMWAMBIA NINI ILA SASA HIVI ANAIWAKILISHA ETHOPIA NA SASA ANA MEDALI 2 ZA BRONZE
 
KUNA RAIA WA SUDAN NAMFAHAMU ANA KIPAJI CHA RIADHA JAMAA ANAKIMBIA KWELIKWELI,ALIOMBA AIWAKILISHE TANZANIA KAMA RAIA.

SIJUI MAMLAKA ILIMWAMBIA NINI ILA SASA HIVI ANAIWAKILISHA ETHOPIA NA SASA ANA MEDALI 2 ZA BRONZE
Tanzania inavyopanga vizuri kwenye soka chini ya Karia, ona CCM inavyofanya vizuri chini ya Kinana, ona Rage, ona Bashe, ona, ona, ona. Hata Uingereza nchi wamemkabidhi Mhindi, ona Obama na Obama care yake
 
KUNA RAIA WA SUDAN NAMFAHAMU ANA KIPAJI CHA RIADHA JAMAA ANAKIMBIA KWELIKWELI,ALIOMBA AIWAKILISHE TANZANIA KAMA RAIA.

SIJUI MAMLAKA ILIMWAMBIA NINI ILA SASA HIVI ANAIWAKILISHA ETHOPIA NA SASA ANA MEDALI 2 ZA BRONZE
Serikali nzima ya TZ wenye akili waweza kuwahesabu katika vidole vya kiganja kimoja. Unategemea nini?
 
Kuijenga Tanzania mpya kunahitaji watu mahiri na makini bila kujali asili zao. Yanga na Simba zinafanya vizuri Sasa baada ya kusajili wachezaji wenye ujuzi mkubwa bila kujali uraia wao.

Tanzania ina wakimbizi wengi sana tangu zamani, baadhi ya hawa wakimbizi ni walimu, wahasibu, engineer, wachimbaji wazuri wa madini, wafugaji, nk. Taifa linaweza kunufaika na ujuzi wao huu kama litawatumia officially badala ya kuwarundika makambini watu wenye ujuzi muhimu kama kufundisha lugha za kifaransa, kiingereza, nk mashuleni.

Watanzania wengi ni wavivu sana kutokana na mazingira rahisi tuliokozaliwa na kulelewa. Hawa wakimbizi watatoa ushindani kwa wazawa.
100'%
 
Tutafute Rais kutoka kabila dogo kabisa kama Tunataka ahueni. Tatizo kubwa liko kwa wananchi sio viongozi. Kiongozi kama ni WA hovyo wananchi walipaswa kumtimua hata ikibidi kwa kupoteza maisha baadhi Yao.
 
Warundi hawakuanza kuja Tanganyika/Tanzania miaka ya karibuni.Walihamia miaka mingi sana wakifanya kazi kwenye mashamba ya mkonge,Tanga Kilimanjaro na Arusha.The so called manamba.
Pia walikuwa wachumaji wazuri wa kahawa kwenye mashamba ya wazungu Arusha kabla hayajataifishwa mwaka 1967 na Azimio la Arusha.
Watu kusafiri na kuingiliana kwenye Nchi jirani ni matukio ya kawaida.
 
Haya mambo yanafikirisha kuna mahali inabidi tuwekeze katika kuwafanya watanzania tuweze kupenda kazi. Ukienda kwa Azam - ameajiri watu wengi kwenye maeneo nyeti za uzalishaji kutoka nchi za jirani
Sawa umejitahidi kufikiria kama wenyewe ajira hazitoshi kuna watu Wana huo ujuzi na wapo makwao mtu mgeni afike tu from nowhere au somewhere ambako kuna maisha kama kawaida na serikali afike hapa na kupewa ajira wakati huo si tunateseka kweli ? NONSENSE
 
Cha ajabu majitu yanayoitafuna nchi huwa yanakuja na hoja ya ki NDEZI eti hawana uzalendo,na ndio hoja inayotumika kupinga uraia pacha!!mbona yenyewe ambayo ni mitanzania halisi ndio inaliangamiza taifa hili?!!!Yaaani TZ huwa inajifanya kama ni nchi yenye upekee na zingine zote duniani?!kumbe ni chaka tu la kujifichia la kupiga mali!!
Pita pale kwa Mangi upate kilo moja ya makange, nitakuja kulipa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Haya mambo yanafikirisha kuna mahali inabidi tuwekeze katika kuwafanya watanzania tuweze kupenda kazi. Ukienda kwa Azam - ameajiri watu wengi kwenye maeneo nyeti za uzalishaji kutoka nchi za jirani
Watanzania wameingiwa na ugonjwa wa kila mtu kutaka kujenga nyumba ya kwake. Hii inasababisha wawe wezi.
 
Back
Top Bottom