Tanzania tops East Africa in poverty.

Mzee baba hii riwaya yako haisaidii kitu mnatambaa badala ya kukimbia afu mnajipiga kifua over 55 yrs since independence bado mnaongoza kwa umaskini mbaya zaidi chini ya uongozi wa mr emperor mapadlock number of poorest people inazidi kuongezeka kuwa serious wenzenu inapungua afu unaongea shit hapa
 
Mpaka uwe na akili ndio utajua kwamba hazimsaidii mtu wa nanjilinji huko zaidi ya kutumia jasho lake kugharamia ndege zinazoleta hasara kwa hali hii mtazidi kushindana na Somalia kwa umaskini
 
Nikurekebishe kuwa Tz umaskin safari hii haukuongezeka wala kupungua kama haujui.
Na wala hatuongozi kaangalie most poorest countries Uganda ipo top ten au twenty Tz ni ya 34 ama 35 sikosei.
 
Mpaka uwe na akili ndio utajua kwamba hazimsaidii mtu wa nanjilinji huko zaidi ya kutumia jasho lake kugharamia ndege zinazoleta hasara kwa hali hii mtazidi kushindana na Somalia kwa umaskini
Tttttt poor you !!!
Nitaacha kubishana na wakenya aisee.
KQ ikipata mapato yale mapato ya Kenya Airways yanaenda wapi ??Je hayajumlishwi ktk pato la taifa??
Je pato la taifa halitengenezewi budget ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii??
Poor you nenda kabishane na watu wa. Level yako huna akili ww.
 
Tanzania imetoka kuboost up its economy 2015 .
Na mambo mengi yatafanyika mbeleni.
Nimeona tofauti kuwa ya maendeleo kipindi cha nyuma na sasa.
Magufuli ndiye aina ya kiongozi niliyekuwa namsubiri kwa siku nyingi
Na anafanya yake.
Uganda ndio ipo top ten ya poorest nations ikiwa haina ifanyalo.
Tz tuache na Padlock wetu tunaendelea kivyetu vyetu
 
😫😫😫😫
 
Point ni kwamba inajiendesha kutegemea mbinu zake za kibiashara sio mbeleko ya atcl
 
Nikurekebishe kuwa Tz umaskin safari hii haukuongezeka wala kupungua kama haujui.
Na wala hatuongozi kaangalie most poorest countries Uganda ipo top ten au twenty Tz ni ya 34 ama 35 sikosei.
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Km Kagame amewapuuza wale jamaa na kutamka wazi kwa viongozi wengine wawapuuze,who am I niwaamini??
Sisi ndio tunaelewa wapi tunaenda na wapi tumetoka,huijui Tz keep silent.
 
Point ni kwamba inajiendesha kutegemea mbinu zake za kibiashara sio mbeleko ya atcl
Hujajibu swali na bado umeongea utumbo.
Swali ni kwamba,
Je mapato yapatikanayo Kenya Airways hayahusiki na kuongeza pato la taifa??
Unarukaruka nini mpk unaongea visivyoeleweka?
 
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanzia mwaka 2015 kuelekea chini kulikuwa na huge case of child labour kiasi watoto hawasomi na hali ya illiteracy kuwa kubwa.
Magufuli kalisimamia kiasi cha kwamba olewako ukamatwe hujampeleka mtoto shule ilhali elimu bure.
Vifaa tiba hususan vya kisasa vilikuwa tabu Magufuli akaongeza.
Watu wakipatwa na matatizo rais huwa anapata information na kuwasaidia na wanasaidika.
Mathalan wenye njaa,wanyang,anywi wa ardhi n.k.
Tanzania watu wamezidi kununua na kumiliki ardhi wew unabwata IMF wanasema umaskin kwetu umeongezeka.
Tanzania hakuna balaa njaa km kenya we wapiga kelele Tz umaskin mwingi.
Tz wanaokufa maskin ni wale wasiopenda jishughulisha ila most ya wanaojishughulisha huishi vema.
Unemployment hata USA ipo kiasi cha wananchi wake wanakimbilia uarabuni kufanya kazi.
Usitegemee eti serikali ije ikugongee mlangoni eti tumekuletea mchele na unga.
You could be a fool.
Kenya inayotangazwa ina strong economy daily inatangazwa kuwa na hunger and famine.
Hiyo strong economy iko wapi.
Km Tz umaskin umeongezeka kwann percentage of urban settlers Tz imekua kushinda ya Kenya??
Live in reality not on statistics and datas only.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…