Tanzania tops East Africa in poverty.

Tanzania tops East Africa in poverty.

Kenya mna akili fupi sana aiseee.
Labda nikuulize,
Hii Tz imetokea wapi na inaenda wapi ??
Unafaa kujiuliza hvyo nyang,au wewe.
Hii nchi imekutwa ni mbovu usipime.
Acha usizungumzie madaraja.
Tuzungumzie kuboreshwa kwa metre gauge TRC na kufufua reli ya kanda ya kaskazini na kanda ya pwani(Tanga na kwingineko).
Hii itafanya ajira iongezeke kwasababu watu watatakiwa kufanya kazi ktk maeneo ambayo reli itafufuliwa.
Pia pato la taifa litaongezeka kulingana na shughuli za reli zitakavyoongezeka,km ubebaji abiria na mizigo kuelekea kanda ya kaskazini na pwani.
Vivo hvyo tukiiangalia ATCL kama itaboreshwa pato la taifa litaongezeka pia.
Na standard gaguge ikikamilika vivyo hvyo.
Kumbuka kuwa social development is brought by economic development.
Usitegemee huduma za jamii zitolewe sufficiently ilhali pato la taifa duni,embu tumia akili.
Na inachojitahidi serikali ni kuongeza vyanzo vya pato la taifa ili iweze kutoa huduma za kijamii kwa uhakika.
Ndio maana nampongeza jamaa kwasababu alivyoikuta nchi na. Alipoipeleka ni afadhali.
Huijui Tz imetokea wapi ww.
1)Vifaa tiba hafifu serikali imejitahidi imeongeza.
2)Dawa hafifu serikali imejitahidi imeongeza.
3)kuna maeneo aibu hayakufikiwa na huduma za afya wala za maji serikali imejitahidi imeweka.

Tofauti na awamu iliyopita pesa zinakopwa halafu zinaingia mikononi mwa watu.
Awamu hii inataka kuepuka kukopa kwingi ndio maana wanaboresha MIUNDOMBINU ilimradi wawekeze ktk viwanda na pato la taifa liongezeke ilimradi wafanye mambo yao ya kimaendeleo pasi na. Kukopakopa kwa whites.
Wafaa lielewa hilo bwege wewe.
Hayo madaraja yaachwe yajengwe watu tulikua tunachelewa sehem zetu za uzalishaji mali.
Mfano unafanya kazi Posta unakaa kigamboni kisiwani.
Kazini ama sehem yako ya kujiajiri unatakiwa uwahi saa mbili subhi uwe umefungua.
Inakutaka uzunguke utokee kongowe mpk utoboe mbagala masaa manne yashakupotea mpk kufika posta.
Kama mfanyakaz boss unae km umejiajiri hutozalisha faida itakikanayo.
Ila daraja kuwepo limerahisisha piga shortcut unawahi ktk deal zako unatengeneza faida na pato lako lawa sawa na mpk hela ya kodi kwa taifa unapata.
USIANGALIE TU SASA HV NCHI IKOJE,ITAZAME IMETOKEA WAPI.
NA NAONA UNATOLEA MFANO MADARAJA TU,MBONA MIRADI KAMA STIGLERS GORGE,STANDARD GAUGE,METRE GAUGE HUIZUNGUMZII MZEE BABA??
NI SAWA NA WW ULIKUA UNASHINDIA MLO MMOJA WA ANDAZI MIAKA ILIYOPITA,KUFIKA MWAKA HUU UKAONGEZA MLO MMOJA IKAWA MIWILI NA UKAWA UNA KULA MAANDAZI MATATU,UNAFAA KUJIPONGEZA NA. KUONGEZA SPEED UFIKE MBALI ZAIDI KWANI KIPINDI CHA NYUMA ULIKUA UNA HALI MBAYA SANA.
NDICHO KINACHOTOKEA AWAMU HII YA MAGUFULI.
HII NCHI ILIKUA PABAYA.
AU WW ULITARAJIA VUUUP UCHUMI UKUE TU??
AU WW ULIPOANZA KAZ MWEZ WA. KWANZA HAPOHAPO UKAJENGA NA KUPATA GARI?
ACHAGA UJINGA MAZEH
Mzee baba hii riwaya yako haisaidii kitu mnatambaa badala ya kukimbia afu mnajipiga kifua over 55 yrs since independence bado mnaongoza kwa umaskini mbaya zaidi chini ya uongozi wa mr emperor mapadlock number of poorest people inazidi kuongezeka kuwa serious wenzenu inapungua afu unaongea shit hapa
 
Au hizo ndege unazozitaja pato linaenda wapi,kwa bakhresa au??Pato si linaingia serikalini??
Au hujui kuwa shirika la ndege likiboreshwa zaidi litavutia ht soko la utalii na kuongeza pato la taifa,au hujui km hiko ni chanzo cha moja wapo miongoni mwa vyanzo vya taifa??
Embu tumia akili kijana
Mpaka uwe na akili ndio utajua kwamba hazimsaidii mtu wa nanjilinji huko zaidi ya kutumia jasho lake kugharamia ndege zinazoleta hasara kwa hali hii mtazidi kushindana na Somalia kwa umaskini
 
Mzee baba hii riwaya yako haisaidii kitu mnatambaa badala ya kukimbia afu mnajipiga kifua over 55 yrs since independence bado mnaongoza kwa umaskini mbaya zaidi chini ya uongozi wa mr emperor mapadlock number of poorest people inazidi kuongezeka kuwa serious wenzenu inapungua afu unaongea shit hapa
Nikurekebishe kuwa Tz umaskin safari hii haukuongezeka wala kupungua kama haujui.
Na wala hatuongozi kaangalie most poorest countries Uganda ipo top ten au twenty Tz ni ya 34 ama 35 sikosei.
 
Mpaka uwe na akili ndio utajua kwamba hazimsaidii mtu wa nanjilinji huko zaidi ya kutumia jasho lake kugharamia ndege zinazoleta hasara kwa hali hii mtazidi kushindana na Somalia kwa umaskini
Tttttt poor you !!!
Nitaacha kubishana na wakenya aisee.
KQ ikipata mapato yale mapato ya Kenya Airways yanaenda wapi ??Je hayajumlishwi ktk pato la taifa??
Je pato la taifa halitengenezewi budget ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii??
Poor you nenda kabishane na watu wa. Level yako huna akili ww.
 
Mzee baba hii riwaya yako haisaidii kitu mnatambaa badala ya kukimbia afu mnajipiga kifua over 55 yrs since independence bado mnaongoza kwa umaskini mbaya zaidi chini ya uongozi wa mr emperor mapadlock number of poorest people inazidi kuongezeka kuwa serious wenzenu inapungua afu unaongea shit hapa
Tanzania imetoka kuboost up its economy 2015 .
Na mambo mengi yatafanyika mbeleni.
Nimeona tofauti kuwa ya maendeleo kipindi cha nyuma na sasa.
Magufuli ndiye aina ya kiongozi niliyekuwa namsubiri kwa siku nyingi
Na anafanya yake.
Uganda ndio ipo top ten ya poorest nations ikiwa haina ifanyalo.
Tz tuache na Padlock wetu tunaendelea kivyetu vyetu
 
Tanzania imetoka kuboost up its economy 2015 .
Na mambo mengi yatafanyika mbeleni.
Nimeona tofauti kuwa ya maendeleo kipindi cha nyuma na sasa.
Magufuli ndiye aina ya kiongozi niliyekuwa namsubiri kwa siku nyingi
Na anafanya yake.
Uganda ndio ipo top ten ya poorest nations ikiwa haina ifanyalo.
Tz tuache na Padlock wetu tunaendelea kivyetu vyetu
😫😫😫😫
 
Tttttt poor you !!!
Nitaacha kubishana na wakenya aisee.
KQ ikipata mapato yale mapato ya Kenya Airways yanaenda wapi ??Je hayajumlishwi ktk pato la taifa??
Je pato la taifa halitengenezewi budget ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii??
Poor you nenda kabishane na watu wa. Level yako huna akili ww.
Point ni kwamba inajiendesha kutegemea mbinu zake za kibiashara sio mbeleko ya atcl
 
Nikurekebishe kuwa Tz umaskin safari hii haukuongezeka wala kupungua kama haujui.
Na wala hatuongozi kaangalie most poorest countries Uganda ipo top ten au twenty Tz ni ya 34 ama 35 sikosei.
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa 😆😆😆😆
 
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Km Kagame amewapuuza wale jamaa na kutamka wazi kwa viongozi wengine wawapuuze,who am I niwaamini??
Sisi ndio tunaelewa wapi tunaenda na wapi tumetoka,huijui Tz keep silent.
 
Point ni kwamba inajiendesha kutegemea mbinu zake za kibiashara sio mbeleko ya atcl
Hujajibu swali na bado umeongea utumbo.
Swali ni kwamba,
Je mapato yapatikanayo Kenya Airways hayahusiki na kuongeza pato la taifa??
Unarukaruka nini mpk unaongea visivyoeleweka?
 
Leo WB imesema hivyo kwe economic update ya 12 kuhusu Tzn wewe uko ulimwengu gani? Idadi ya maskini inaongezeka budaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanzia mwaka 2015 kuelekea chini kulikuwa na huge case of child labour kiasi watoto hawasomi na hali ya illiteracy kuwa kubwa.
Magufuli kalisimamia kiasi cha kwamba olewako ukamatwe hujampeleka mtoto shule ilhali elimu bure.
Vifaa tiba hususan vya kisasa vilikuwa tabu Magufuli akaongeza.
Watu wakipatwa na matatizo rais huwa anapata information na kuwasaidia na wanasaidika.
Mathalan wenye njaa,wanyang,anywi wa ardhi n.k.
Tanzania watu wamezidi kununua na kumiliki ardhi wew unabwata IMF wanasema umaskin kwetu umeongezeka.
Tanzania hakuna balaa njaa km kenya we wapiga kelele Tz umaskin mwingi.
Tz wanaokufa maskin ni wale wasiopenda jishughulisha ila most ya wanaojishughulisha huishi vema.
Unemployment hata USA ipo kiasi cha wananchi wake wanakimbilia uarabuni kufanya kazi.
Usitegemee eti serikali ije ikugongee mlangoni eti tumekuletea mchele na unga.
You could be a fool.
Kenya inayotangazwa ina strong economy daily inatangazwa kuwa na hunger and famine.
Hiyo strong economy iko wapi.
Km Tz umaskin umeongezeka kwann percentage of urban settlers Tz imekua kushinda ya Kenya??
Live in reality not on statistics and datas only.
 
Back
Top Bottom