Tanzania tops East Africa in poverty.

Tanzania tops East Africa in poverty.

Eti wahindi na wazungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa bongo ukitoa wahindi na waarabu si nyi wengine ni maskini tu...

Eti jamaa naye anataja wahindi na wazungu wa kenya...wakati hao wahindi na wazungu wa kenya na wao pia wanatamani kuwa km wakenya wengine..manake wamewazidi kw kila kitu...tena kw gapu na idadi juu
Hizo ni statistics tu, lkn reality hakuna tofauti yoyote, mimi huwa Kenya mara kwa mara, hata juzi kati nilikuwa Muranga, sikuona hiyo tofauti unayoisema, matatizo ni yale yale chakula, afya, maji, ajira, ulevi, makazi duni, n.k. hivyo hakuna tofauti yoyote labda ukija kwa ma elite Muzungu, Muhindi wa Kenya wako paradiso lkn kwa Wakenya hakuna tofauti yoyote ile!
 
15:34 BST 26 Jan 2015,
MWAKA HUU TUSHASAHAU KAMA ALBINO WANAUWAWA.
VIPI KUHUSU UFAJI NJAA TURKANA?!
Ya mwaka huu..hii hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Do not be jammed!!
So how we talk!!
Actually we can not!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani balaa ..hta km ni broken..lkn hii ni zaidi...watanzania bana..km shairi vile
Wachana na Hii lugha ya Nyang'aus juu hata watoto wa chekechea wamekushinda....tuongee kilumumba Kaka.

Ndio umeanza kujifunza kwa shule za gumbaro? Unajaribu ila mtoto was chekechea atakucheka Sana yani jibaba lizima linaandika upuzi usioeleweka.
 
Eti wahindi na wazungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa bongo ukitoa wahindi na waarabu si nyi wengine ni maskini tu...

Eti jamaa naye anataja wahindi na wazungu wa kenya...wakati hao wahindi na wazungu wa kenya na wao pia wanatamani kuwa km wakenya wengine..manake wamewazidi kw kila kitu...tena kw gapu na idadi juu
We jamaa kwa kuropoka hujambo.
 
Ya mwaka huu..hii hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Bado mm sio mtoto.
Hakuna mauaji ya albino miaka hii.
Wanaouliwa ni watoto Iringa kwa iman za kishirikina basi
 
Are those Kenyan?
European who live in Kenya thats what means Kenyan.
Those Luo and kikuyu from machakos and kijabe
Living below$0000.1.
Do your research
Machakos ni wakamba. Na Kikuyus are quite wealthy.
 
Tzn kiukweli inanuka umaskini yaani,imagine kwenye nchi ambayo 70% ya raia wake hawana uhakika wa huduma za afya huku 40% kuna malnutrition Rais anatenga bln 700 kujenga daraja kukatisha juu ya ziwa eti watu wawahi hospitali,hizi akili unaweza zipata Tzn tu wakati the same pesa could build reputable hospitals kwenye all districts and Heath centers kwenye all wards across the country then unategemea watu wasiongoze kwenye umaskini?
 
WE CANT UNDERSTAND YOU PEOPLE FROM KUNYALAND.
WITH YOUR COOKED NEWS.
MKISII MWENZIO KAJA NA DATA YA RATE OF POVERTY TZ IKIWA NI 19 M.WEWE UNASEMA 20M.
ILA SAWA TUSIENDE MBALI.
KUNA COOKED AND REALITY.
TWENDE KTK REALITY KWANZA.
Kenya inayosifika kuna middle class income kuna;
1)Food insecurity.
2)Mass unemployment.
3)Low percent of urban settlers.
4)Few number of people owning land especially women.
KWA TZ AMBAYO INA MASIKINI WENGI;
1)Big percent of urban settlers somehow more than kenya.
2)Sufficient food to most of people.
3)Big percent of land owners.
4)unemployment but not like kenya.

Na hasa hao Uganda mama yanguuuu ni ufukara bora hata tz.
Embu tutizameni hapo.
Watu ambao wanasemwa kuwa masikini e.g Tz wanaishi simpler life kushinda.
Lakini watu ambao inasemekana wanajiweza kula tabu mpk wanaalikana kwa appointment nyumbani e.g kenya.
Hili ni tatizo aiseee.
Embu TUIJADILI HII
Tanzania is the poorest in the region, case closed.
 
Tzn kiukweli inanuka umaskini yaani,imagine kwenye nchi ambayo 70% ya raia wake hawana uhakika wa huduma za afya huku 40% kuna malnutrition Rais anatenga bln 700 kujenga daraja kukatisha juu ya ziwa eti watu wawahi hospitali,hizi akili unaweza zipata Tzn tu wakati the same pesa could build reputable hospitals kwenye all districts and Heath centers kwenye all wards across the country then unategemea watu wasiongoze kwenye umaskini?
Magufuli kajenga hospitals and health centres zaidi ya 200 in two years only, sijui ni afya ipi unazungumzia
 
Underline the words "Tumeamua...kuanza kujenga" meaning hata bado hazijajengwa. Sometimes I doubt your brain functionality.
Baada ya hospitals nyingi kukamilika zile 67 sasa Magufuli kaongeza nyingine hospitals 27 mpaka 2020 zitakua tayari, Hapo bado zile health centres 208 sijasemea, because all of them are functioning properly now.


 
Bure kabisa, where are those 200 facilities? Kwa rumours na yale mambo ya kuongeza chumvi you are second to none.
Baada ya hospitals nyingi kukamilika zile 67 sasa Magufuli kaongeza nyingine hospitals 27 mpaka 2020 zitakua tayari, Hapo bado zile health centres 208 sijasemea, because all of them are functioning properly now.


 
We are typing
We aint talkin
Do not be jammed fella coz you can not even touch my shoe
So how we talk?actually we can not!because you can tell me nothing
Kanyaga twende mzee baba...wajue wasijui, shauri yao!😅😅
 
Back
Top Bottom