Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Ngoja niite yale makarai makubwa zaid humu Babati Erythrocyte blackstarline Salary Slip Daudi Mchambuzi mshana jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ya Nabii tuyaache maana hata hao wewe unaowaamini ni wanafiki na wanakaa kimya wakati katiba na haki za binadamu zinakiukwa.
Ndio hiyo demokrasia bora afrika masharikiDemokrasia gani inayominya uhuru wa watu kujieleza na kutoa maoni?
Demokrasia ya wapi watu wanaoikosoa mamlaka wanafunguliwa kesi za uchochezi?
Demokrasia ya wapi mtukufu anakanyaga katiba kwa kupiga marufuku mikutano ya hadhara ilhali yeye na chama chake wanatumia majengo ya Umma kukijenga chama chao?
Labda Demokrasia ya mhimili uliyojichimbia ..
Unaposema makarai unamaanisha nini ?Ngoja niite yale makarai makubwa zaid humu Babati Erythrocyte blackstarline Salary Slip Daudi Mchambuzi mshana jr
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahah nimewafurumusha kwenye electronic passports wapo kimyaaa!
Hao ni upinzani ambao hawakubali kitu chochote magu anafanya na hawana sera zaidi ya kuchafua nchi idiotsKwa bahati nzuri, matukio mengi ambayo hutokea Kenya, utawakuta Watanzania wengi humu kwenye nyuzi tofauti wakisema, "Dah! Itatuchukua muda mrefu kuifikia Kenya kidemokrasia." au, "Tanzania kitu kama hicho hakiwezi kufanyika."
Mara nyingi, hizi zote huwa semi za Watanzania. I don't know whether they are used as a yardstick to measure our democracy????? Hhhhmmm..
Hao unaosema wanatoa report kwa manufaa yao ..tunaomba ututajie hayo masirahi yao kwanza tujue woteeHayo matusi.Wewe naona hujui hata maana ya democracy.Kama huwezi kutoa maoni yako kwa uhuru ujue huna demokrasia.Ndio maana vyombo vya habari viikosoa serikali vinafungiwa.Huo utafiti watu wanautoa kwa maslahi yao.Hivi unaweza kuamini kuwa watanzania waliowengi eti walitaka chama kimoja?
Kama ripoti ilitolewa na watu wenye IQ, fikra na mtazamo kama wa kwako lazima #Tz iwe top on the list na siku zote ndio mtaji wenu.Sasa kama unapingana na vyombo vya dunia nzima, wewe hupaswi kuishi katika dunia hii, unapaswa kutafuta sayari nyengine ambako kuna watu wenye akili kama hizo zako, ila kwa hapa duniani tulikubaliana kutumia vigezo vilivyokubalika dunia nzima vitumike kama vipimo vya demokrasia, kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi kuzipanga nchi kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho, ila duniani nabii Tito wapo wengi sana, wanaotafsiri biblia vile kichwa chake kinavyompendeza na kutofautiana na dunia nzima lakini bado anajiona yupo sawa.
HahahahahahaNgoja niite yale makarai makubwa zaid humu Babati Erythrocyte blackstarline Salary Slip Daudi Mchambuzi mshana jr
Sasa wewe unataka tusiamini ripoti iliyokubaliwa na UN, wewe unapingana na UN, ni wazi upo kundi moja na nabii Tito.Kama ripoti ilitolewa na watu wenye IQ, fikra na mtazamo kama wa kwako lazima #Tz iwe top on the list na siku zote ndio mtaji wenu.