Serikali ya Kenya, japo imesimamisha ndege zake za KQ kwenda China, imekuwa ikiruhusu abiria kutoka China kungia nchini humo bila kuwa na tahadhari zozote zaidi ya kuwapima joto wanapowasili uwanja wa Jomo Kenyatta au kuwadhibiti katika kile kipindi cha siku 14.
Hii imezua taharuki kwa wafanyakazi wa uwanjani hapo kuwa wakigoma kuwaruhusu kuingia japo serikali haoionyeshi kuwa na tatizo nauingia kwao.
Hii ina maana nchi za jirani na Kenya kama hapa Tanzania tupo hatarini sana kuletewa coronavirus kutokana na msimamo huu wa serikali ya Kenya.
Chanzo:
https://www.africanews.com/2020/02/28/ivory-coast-tests-suspected-coronavirus-case/
Chanzo:
https://www.nation.co.ke/news/Coron...-drama-at-JKIA/1056-5470382-6k9xql/index.html
Chinese airline resumes flights to Kenya
Kenyan authorities on Wednesday confirmed that China Southern Airlines had resumed flights from Guangzhou to Nairobi, triggering an outcry from panicked citizens.
Kenyans quickly took to social media to criticise the government for allowing planes carrying Chinese expatriates, workers and traders to land at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) while at the same time refusing to evacuate Kenyans from China.
On Thursday, Foreign Affairs Cabinet Secretary Raychelle Omamo said there was no need to worry about the flights from China, adding that guidelines by the World Health Organisation were adhered to in clearing the passengers.
The ministry however also issued a travel advisory to all Kenyans against visiting countries with mass infections.
“Kenyans are advised against non-essential travel to countries experiencing the outbreak. This is in view of the expanding geographical [reach] of the outbreak across the world,” it said in a statement.
Kenyans have been asked to maintain hygiene and avoid contact with persons exhibiting symptoms such as fever, coughs, difficulty breathing and sneezing.
The Chinese have on the other hand been asked to self-quarantine for 14 days.