SoC04 Tanzania tuitakayo kuhimiza maendeleo maeneo ya vijijini

SoC04 Tanzania tuitakayo kuhimiza maendeleo maeneo ya vijijini

Tanzania Tuitakayo competition threads

nasri713

New Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Serikali kwa kiasi kikubwa imewekeza maeneo ya mjini na kutoweka nguvu kubwa maeneo ya vijijini kwa mfano asilimia 95% ya viwanda vipo mjini hivyo basi nimatumaini yangu kuwa miaka ijayo wawekezaji wataenda maeneo ya vijijini na kuwekeza katika sekta ya viwanda ili kupunguza tatizo la unemployment kwa vijana ambao ndiyo kwa kiasi kikubwa wanaosafiri kwenda maeneo ya mjini kutafuta kazi na wengineo huishia kuwa vibaka, waporaji na wezi
 
Upvote 1
Back
Top Bottom