Inakuwaje mnarukia matusi badala ya kujenga hoja mbadala?Acha kujifanya you're roo scholarly. Ulichoandika is a crap. Full stop!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuwaje mnarukia matusi badala ya kujenga hoja mbadala?Acha kujifanya you're roo scholarly. Ulichoandika is a crap. Full stop!!!
We unaamini tupo huru♦️ Kuanzia katiba tuliyo nayo nasheia zoye tunazotumia zimetungwa na huyo MADOLA ambaye leo hauoni umuhimu wake
♦️ Ndiye huyo huyo madola alitotoa kwwnye ukoloni na alitulea na kutufunza mpaka tukapata uzoefu akatukabidhi nchi yetu kwa amani
Jumuiya ya Madola, ndiyo maana nikasema umeamua kuja na thread hii baada ya serikali kuungana na waombolezaji wa kifo cha Malkia na sababu ikiwa ni huo muungano unaoupinga kijanjaKwani thread nzima na maswali yangu yana zungumzia nini EAC au Jumuiya ya madola ?
Sasa kwann wewe usichangie? Au Ina udugu na Khadija kopaSwali zuri lkn majibu ya watu ni takataka, ndiomaana tunasema JF imebadirika sana tofauti na hapo mwanzo, ambapo hakukuwa na wahuni wa kileo ambao hawajui kushusha hoja za mtoa mada zaid ya kutukana, kukashifu, kudharau na kuleta matani ya kijinga ila hao hao wapuuzi utawaona kwenye maswala ya kipumbavu kama mpira na udaku jinsi wanavyoweka attention.
Kuna ulazima wa hawa mods kufunga baadhi ya ID humu ambazo hazina maana
Sawa.Ambao hawapo jumuiya ya madola,wanajiweza,sie choka mbaya,tunategemea misaada hatuwezi kujilisha,lazima tuendelee kulamba miguu ya wazungu
Hapana . dhumuni la thread yangu ni maswali niliyo uliza yenye kuhitaji majawabu ili mimi na wanajamii wote tupate elimu.Jumuiya ya Madola, ndiyo maana nikasema umeamua kuja na thread hii baada ya serikali kuungana na waombolezaji wa kifo cha Malkia na sababu ikiwa ni huo muungano unaoupinga kijanja
Ki vipi?Tunapiga pesa...
[emoji1787][emoji1787][emoji119]Mjitoe mkamuliwe tozo Hadi ya kupumua.
Kwani tuna tatizo gani na Jumuiya ya Madola au tunapata hasara gani kuwemo kwenye Jumuiya ya Madola?- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?
3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?
4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?
5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?
6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Mlaumu Baba wa Taifa kwenye hili,Mama Samiah unamwonea.Aliyetutoka angejitutumua. Tuliye naye anatokea sehemu wanaoamini kwamba mdhungu na Mwarabu ndo wenye uwezo wa kutumia rasilimali za Mwafrika ila Mwafrika mwenyewe hawezi kujiendeleza kwa kutumia rasilimali zake.
Baada ya Mwingereza kufanya hivyo kwa Nyerere akazaliwa Mwingereza mwingine Chato akapiga marufuku siasa za ushindani na akafanya CHADEMA kuwa adui mkubwa wa Taifa.Katiba imetungwa 1977, Harakati za kudai uhuru zilianza toka utawala wa Ujerumani Chifu Abushiri, Mkwawa , Kinjekitile n.k awamu ya pili chini ya mkoloni muingereza baada ya vita vya pili vya dunia 1939-1945 harakati za kudai Uhuru zikarudi tena miaka ya 1950 s. 1953 TAA, 1954 TANU Mwalimu , Bibi Titi Mohammed, Abdulhman sykes n.k wakalianzisha varangati la kumng'ang'niza mkoloni muingereza awape uhuru, Mwalimu akawekwa rumande kwa kosa la kujihusisha na siasa wakati wa ukoloni hasa hasa siasa za harakati za ukombozi wa Tanganyika kitu kilicho kuwa kimepigwa marufuku na mkoloni muingereza . 1961 tukapata Uhuru wa masharti/Uhuru wa bendera. Ningependa ujibu maswali yangu niliyo uliza.
N.b: Uhuru hatukupewa kama mama ampatiavyo mwanaye pipi.
Hujui kwanini tupo Jumuiya ya Madola, hujui faida tunazozipata Jumuiya ya Madola alafu Unashauri tujitoe? Jitahidi kukifaham kitu kabda hujakihukumia.- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?
3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?
4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?
5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?
6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
This is a leading notion,unachokitaka hukipati maana hakuna la maana uliloliongea.Mkuu umesoma vizuri thread yangu . Maana mwanzoni tu mwa thread nimeeleza lengo la hii thread ni nini na nimeandika hii thread ili nipate nini kutoka kwa wadau wa humu jf .
N.b: Hebu rudi kuisoma tena upya thread neno kwa neno wenda utaelewa lengo la thread yangu.
Haaaahaaa hapa penyewe mwigulu kaminya mbupu kidogo wanalia kama kenge ,hao wahisani wakisitisha grants ,loans and handouts watajamia Burundi tena mwingereza ndio big contributor Kwa nchi hiiMjitoe mkamuliwe tozo Hadi ya kupumua.
Rubbish , wewe na mazezeta wenzako waliolike hii takataka ulioandika hapa- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.
- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.
1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?
2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?
3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?
4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?
5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?
6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Tunapokea misaada na mikopo mingi kutoka kwa Uingereza na washirika wake.Kama siyo member huwezi pewa.Mwingereza anaongoza kwa kuwekeza hapa Tanzania na kuwepo Common wealth kunachangia,ukirogwa ukajitoa ni maumivu.Kwa nini itakuwa hivyo ?
Kwa Nini?Kujitoa jumuuya ya madola ni kujitakia laana
Kwa Nini unatukana mtu mkuu? Yeye ameuliza swali,Sasa kumwita mtu rubbish unapata faida gani?Rubbish , wewe na mazezeta wenzako waliolike hii takataka ulioandika hapa
Shule ya msingi ulisoma nje ya Tanzania? Maswali yako yote majibu yake wanafunzi wanafundishwa wakiwa shule ya msingi.
Kwa ufupi, hakuna hasara Taifa linapata kwa kuwa member. Faida ni nyingi, ikiwa ni pamoja na kuwa na jukwaa lenye nguvu kimataifa la kusemea mambo mbalimbali.
Usisahau kuwa nchi inapata msaada wa bure wa zaidi ya trllioni moja inayotolewa na Uingereza alimradi uzingatie demokrasia ya vyama vingi.
Switzerland hawako hata jumuiya moja!!? DuuuuBasi tujiondoe katika jumuiya zote za kimataifa kama ilivyo Switzerland!