Tanzania tujitoe Jumuiya ya Madola

Tanzania tujitoe Jumuiya ya Madola

♦️ Kuanzia katiba tuliyo nayo nasheia zoye tunazotumia zimetungwa na huyo MADOLA ambaye leo hauoni umuhimu wake

♦️ Ndiye huyo huyo madola alitotoa kwwnye ukoloni na alitulea na kutufunza mpaka tukapata uzoefu akatukabidhi nchi yetu kwa amani
We unaamini tupo huru
 
Kwani thread nzima na maswali yangu yana zungumzia nini EAC au Jumuiya ya madola ?
Jumuiya ya Madola, ndiyo maana nikasema umeamua kuja na thread hii baada ya serikali kuungana na waombolezaji wa kifo cha Malkia na sababu ikiwa ni huo muungano unaoupinga kijanja
 
Swali zuri lkn majibu ya watu ni takataka, ndiomaana tunasema JF imebadirika sana tofauti na hapo mwanzo, ambapo hakukuwa na wahuni wa kileo ambao hawajui kushusha hoja za mtoa mada zaid ya kutukana, kukashifu, kudharau na kuleta matani ya kijinga ila hao hao wapuuzi utawaona kwenye maswala ya kipumbavu kama mpira na udaku jinsi wanavyoweka attention.

Kuna ulazima wa hawa mods kufunga baadhi ya ID humu ambazo hazina maana
Sasa kwann wewe usichangie? Au Ina udugu na Khadija kopa
 
Jumuiya ya Madola, ndiyo maana nikasema umeamua kuja na thread hii baada ya serikali kuungana na waombolezaji wa kifo cha Malkia na sababu ikiwa ni huo muungano unaoupinga kijanja
Hapana . dhumuni la thread yangu ni maswali niliyo uliza yenye kuhitaji majawabu ili mimi na wanajamii wote tupate elimu.
 
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Kwani tuna tatizo gani na Jumuiya ya Madola au tunapata hasara gani kuwemo kwenye Jumuiya ya Madola?
 
Aliyetutoka angejitutumua. Tuliye naye anatokea sehemu wanaoamini kwamba mdhungu na Mwarabu ndo wenye uwezo wa kutumia rasilimali za Mwafrika ila Mwafrika mwenyewe hawezi kujiendeleza kwa kutumia rasilimali zake.
Mlaumu Baba wa Taifa kwenye hili,Mama Samiah unamwonea.
 
Katiba imetungwa 1977, Harakati za kudai uhuru zilianza toka utawala wa Ujerumani Chifu Abushiri, Mkwawa , Kinjekitile n.k awamu ya pili chini ya mkoloni muingereza baada ya vita vya pili vya dunia 1939-1945 harakati za kudai Uhuru zikarudi tena miaka ya 1950 s. 1953 TAA, 1954 TANU Mwalimu , Bibi Titi Mohammed, Abdulhman sykes n.k wakalianzisha varangati la kumng'ang'niza mkoloni muingereza awape uhuru, Mwalimu akawekwa rumande kwa kosa la kujihusisha na siasa wakati wa ukoloni hasa hasa siasa za harakati za ukombozi wa Tanganyika kitu kilicho kuwa kimepigwa marufuku na mkoloni muingereza . 1961 tukapata Uhuru wa masharti/Uhuru wa bendera. Ningependa ujibu maswali yangu niliyo uliza.

N.b: Uhuru hatukupewa kama mama ampatiavyo mwanaye pipi.
Baada ya Mwingereza kufanya hivyo kwa Nyerere akazaliwa Mwingereza mwingine Chato akapiga marufuku siasa za ushindani na akafanya CHADEMA kuwa adui mkubwa wa Taifa.
 
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Hujui kwanini tupo Jumuiya ya Madola, hujui faida tunazozipata Jumuiya ya Madola alafu Unashauri tujitoe? Jitahidi kukifaham kitu kabda hujakihukumia.

Ulitakiwa ufatilie kwanini tupo huko, tunapata faida au hasara na tunapataje ndo Uje u comment. By the way Title na thread yako haviendani
 
Mkuu umesoma vizuri thread yangu . Maana mwanzoni tu mwa thread nimeeleza lengo la hii thread ni nini na nimeandika hii thread ili nipate nini kutoka kwa wadau wa humu jf .

N.b: Hebu rudi kuisoma tena upya thread neno kwa neno wenda utaelewa lengo la thread yangu.
This is a leading notion,unachokitaka hukipati maana hakuna la maana uliloliongea.
 
- Habari za muda huu wana jamii wenzangu, natumai ni njema.

- Nilikuwa na dukuduku kuhusu uwepo wa taifa letu la Tanzania Jumuiya ya Madola, dukuduku langu limezaa maswali kadhaa yenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu wana jamii wenzangu.

1. Kwanini Taifa la Tanzania lipo Jumuiya ya Madola?

2. Ni faida zipi tunapata kuhusu uwepo wetu Jumuiya ya Madola?

3. Ni hasara zipi tutapata endapo hatuta kuwepo kwenye Jumuiya ya Madola?

4. Tukipima katika mizani faida na hasara za Jumuiya ya Madola kwetu, kipi kitakuwa ni bora kwetu? Tanzania kuendelea kuwepo katika jumuiya ya madola au tujitoe na kuendeleza maisha yetu ya kawaida kama Taifa nje ya Jumuiya ya Madola?

5. Kwa nini taifa la USA na Hongkong (China) hayapo Jumuiya ya Madola?

6. Je, inawezekana kwa njia ya amani member wa Jumuiya ya Madola akitaka kutoka naye akaruhusiwa kufanya hivyo?
View attachment 2353028
N.b: Karibuni wadau mwenye swali pia anaweza kuongeza swali lake.
Rubbish , wewe na mazezeta wenzako waliolike hii takataka ulioandika hapa
 
Shule ya msingi ulisoma nje ya Tanzania? Maswali yako yote majibu yake wanafunzi wanafundishwa wakiwa shule ya msingi.

Kwa ufupi, hakuna hasara Taifa linapata kwa kuwa member. Faida ni nyingi, ikiwa ni pamoja na kuwa na jukwaa lenye nguvu kimataifa la kusemea mambo mbalimbali.

Usisahau kuwa nchi inapata msaada wa bure wa zaidi ya trllioni moja inayotolewa na Uingereza alimradi uzingatie demokrasia ya vyama vingi.

Basi tujiondoe katika jumuiya zote za kimataifa kama ilivyo Switzerland!
Switzerland hawako hata jumuiya moja!!? Duuuu
 
Back
Top Bottom