Kakende aka Kabusha, Tuhuma ulizozitoa ni kubwa sana, zinachuki nyingi dhidi ya Mataifa ya Kiislam na Waislam, Nakushauri ufanye utafiti wa kutosha kabla ya kuhukumu Mkuu... Waarabu ni watu wenye kupenda Starehe sana, hawana muda wa kuhangaika na Rasilimali zenu, Hawana matamanio ya kidunia kama ilivyo kwa mtaifa mengi ya ulaya! Bila ya kupoteza mantiki naomba uingie ndani zaidi uchunguze makundi unayoyaita ya kiislam yanafadhiliwa na nani...Al Qaeda, Al Shabab, Boko Haram na hata M23! ...Bila ya kumung'unya maneno haya yote ni mashines propaganda za CIA:-wao wanachokifanya ni kuingiza destructions pale inapohitajika, mfano mzuri ni jinsi ambavyo Al Shabab ilivyofanikiwa mwanzoni kuzuia biashara kati ya mashariki ya mbali China na East and Central Africa! Al shabab walisaidia sana silaha nzito nzito kusafirishwa na kupelekwa sudan ya kusini mpaka Omary Albashir aliporidhia nchi yake kugawanywa...
Boko Haram wanasaidia Wanigeria kutengana huku mafuta yao yakipelekwa Ulaya na Marekani kila siku...
Huko mali Waasi wa Kiislam wanasaidia sasa usafirishaji wa Dhahabu nyingi iliyogundulika recently, hata Resolute wanafunga mgodi wao nzega na kuhamia mali kwenye vita! Bado hushangai wala hujiulizi kulikoni?... in short CIA ndio wanaoratibu ugaidi wote unaotokea katika nchi masikini zenye Rasilimali nyingi na zile zenye mafuta mengi ...Hivi ni vita vya kutafuta Rasilimali zaidi ILA sis waafrica tunavichukulia kama vita vya kidini...