Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

Tanzania tumeingiliwa, kuna magaidi kutoka nje ya nchi

Serikali iko bize na CDM plus utesaji na utekaji wa waandishi wa habari.
Na hayo ndo wanayamudu
 
Kuna taarifa kuwa kuna watu wanaotokea middle east (waarab) wako Tanzania wakifanya biashara lakini kazi yao kubwa ni kuhakikisha Tanzania inavurugika, wanataka Tanzania iwe nchi ya kiislam. Wanatumia watu wenye imani kali kutekeleza matakwa yao. Wamekuwa wakifadhili shughuli za mihadhara nchi nzima na vikao mbalimbali vya kupanga mikakati kama ilivyokuwa Diamond jubilee.

Jamii hii ya Waarabu ndiyo waliovuruga Nigeria (boko haram), Mali, wanasaidia al shaabab Somalia nk. Waarab hao kwa sasa wanapatikana sana maeneo ya Kariakoo Dar, Zanzibar na baadhi wachache sasa wameanza kuingia Mwanza. Kundi ili la waarabu lina pesa lakini linaungwa mkono na serikali zao. Mfano Boko haram inapewa msaada na Serikali ya ALGERIA

Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), No.3 Ustaadh Ilunga, No.4Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.

Ushauri wangu kwa watanzania. Hawa waarabu na wazungu wanatuona kama nyani, ukitaka kuamini nenda ukaishi kwenye nchi zao. Hata ikiwa wewe ni mwislam mwenzao watakubagua.

Serikali kuwa makini sana na ili kundi ambalo halipendi kuona watu wanafurahia utulivu duniani

Wengi mtabeza lakini hali iko hivyo
Poor mind...poor thinking capacity...
 
Ilboru 1995, achana na stori za vijiwe, hizi taarifa za watanzania kutumiwa na waarabu ni upelelezi unaoendelea. Mpaka sasa kuna ushahidi usio na wasiwasi. Mpaka sasa iko orodha kubwa ya watanzania wanaotumiwa na waarabu kuchafua nchi. Namba 1 ni. Shekhe Farid, Shekhe Ponda, Shekhe Ilunga, Shekhe Ally Basaleh

Orodha mtu yoyote anaweza kutayarisha na kusema anayo, cha msingi ni huo ushahidi usio na wasi wasi ndiyo haujawahi tolewa unasemwa tu kwenye forums kama hizi, toeni ushahidi watanzania wauone ili waufanyie kazi. Tanzania ya leo si ile ya 1984 wala ya 1962.

Hao uliowataja kuwa wanatumiwa wana hoja zao, kwa nini tusijibu au kufanyia kazi hoja zao badala yake tunawahukumu kuwa wanatumiwa?
 
Khee! Aende akatoe taarifa? Kwa wanausalama hawa waTanzania ambao hawana siri? Nadhani humtakii mema mwenzako, maana ataishia kutangazwa bureee na hivyo kuhatarisha usalama wake.Namshauri asijaribu kabisa. Aache INTELIJENSIA ifanye kazi.
Kaka umeongea kweli. Nazani kuna wanausalama wanaokomaa na mitandao kama hii na kupata habari kama hizi. Kama watapuuzia imekula kwetu. Nashangaa sana wananchi tukisema kitu kwamba kuna hili au lile polisi watatuambia tupeleke malalamiko kwao kweli hali hii kuna mtu anaweza kwenda? Inabidi wasidharau hata chembe ya taarifa wanazopata au kusikia hata kama ni vijiweni.Kila raia wa Tz ni mlinzi wa usalama wa nchi hii, kutokana na katiba yetu. Hivyo tuzidi kutoa maelezo mbalimbali tunayosikia huku tulipoMungu ibariki Tanzania.
 
Hakuna tatizo, niliwahi weka uzi unaoonesha kuwa waislam wanaandaa shambulio kubwa kama ilivyo Arusha lakini nikatukanwa kama ulivyonitukana
uzi wako ndo umekutukana.......tupo kwenye cold war ya kuelekea WORLD WAR 3.....ni kitu gani ambacho kinaweza kutupiganisha dunia nzima kama vita kuu ya kwanza na ya pili? Jibu ni DINI pekee ndo inaweza kufanya vita kuwa Universal..sasa basi wakaona dini za kutumia kwenye mpango huu ni zile zenye wafuasi wengi duniani ambazo ni Islam na Christian..kwamba wakifanikisha kugombanisha then the whole world will turn into chaos....hapo vita kuu ya tatu ya dunia itakuwa imekamilika.....umewahi kujiuluza mbona dini kama ya Hindu,Budha...mbona hazipo kwenye system za kukwazana kama Islam and Christian?nimetumia neno lile sababu nilijua hujui hata unachokiandika...muombe mungu akufunue kwenye hilo.
 
Kuna taarifa kuwa kuna watu wanaotokea middle east (waarab) wako Tanzania wakifanya biashara lakini kazi yao kubwa ni kuhakikisha Tanzania inavurugika, wanataka Tanzania iwe nchi ya kiislam. Wanatumia watu wenye imani kali kutekeleza matakwa yao. Wamekuwa wakifadhili shughuli za mihadhara nchi nzima na vikao mbalimbali vya kupanga mikakati kama ilivyokuwa Diamond jubilee.

Jamii hii ya Waarabu ndiyo waliovuruga Nigeria (boko haram), Mali, wanasaidia al shaabab Somalia nk. Waarab hao kwa sasa wanapatikana sana maeneo ya Kariakoo Dar, Zanzibar na baadhi wachache sasa wameanza kuingia Mwanza. Kundi ili la waarabu lina pesa lakini linaungwa mkono na serikali zao. Mfano Boko haram inapewa msaada na Serikali ya ALGERIA

Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), No.3 Ustaadh Ilunga, No.4Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.

Ushauri wangu kwa watanzania. Hawa waarabu na wazungu wanatuona kama nyani, ukitaka kuamini nenda ukaishi kwenye nchi zao. Hata ikiwa wewe ni mwislam mwenzao watakubagua.

Serikali kuwa makini sana na ili kundi ambalo halipendi kuona watu wanafurahia utulivu duniani

Wengi mtabeza lakini hali iko hivyo
Good day Mkuu,Mheshimiwa kakende, Heshima kwa wanajf uzi ulioandika samahani kusema kuwa huja soma historiya na kuelewa mambo mengi yanayohusu kuwepo kwa waarabu na wengineo hapa nchini. Wewe unalenga kundi hili moja "Waarabu " kwa hiyo usichanganye wazungu humo. Hivyo unataka kuwaondoa waarabu peke yao, Basi sawa waondoeni ili muweze kupumzisha roho zenu na kuondoa presha miongoni mwenu. Sikubaliani na tuhuma zote ulizotoa juu ya waarabu, huo ni UONGO na hauna ushahidi wowote kwa hiyo niwieRadhi kukuambia kuwa wewe ni adui wa nchi yako na upungufu wa akili ambazo zinakuletea machafuko moyoni mwako.
Sasa wacha ni hamasishe bugudha ndani mwako na nikupe somo dogo iliuelewe yanayojiri hapa nchini:-
Wewe umekasirishwa na hukumu aliyopata SheKhe PONDA. Hapo mwarabu ndiyo aliyetoa hukumu?
Wewe hujuwi yanayojiiri huko Nigeria na B/H hakuna uhusiano wa mwarabu na nchi huru Ya NGR.
wewe unawajua ALshabab kuwa wamedhibitiwa na wakenya na mataifa mkbwa yote, hapo mwarabu atasaidia nini?
Wewe unadhana mbovu, eti waarabu wanafadhili mihadhara, hapa nchini kila raia anawajibika na kuhangaika kulisha tumbo lake. Ipo idara ya usalama inafuatilia kwa ufanisi undani masiala ya uchochezi, ugaidi,rushwa nk.
Wewe ujue hao unao wasema wa kariako/Dar/Zbr/mikoani hao ni kama wewe na mini ni raia wa tanzania na wapo
kumenyeka na kuchapa kazi kujenga taifa hili kisheria na wanazingatia kanuni zote za ukazi nchini, kodi zao za mapato
zimo katika rasimu zote husika.
Kabla sijamaliza itakuwa wewe useme eti wanatuona kama nyani, Hayo ni mawazo yako na fikra zako mbovu ulizonazo na zingine umesha jazwa huko uliposomeshwa; Vipi utaamini nawe unaiishi nao kila siku huoni kuwa wamezaana na wamechanganya damu hapa nchini?
tafuta nchi iliyo kuwa na ushirikiano mzuri na wa Amani kati ya watu wa dini hizi au watu wa makabila hayo(mchanganyiko) utaona kuwa Tanzania ndiyo yenye kuongoza.
Sasa wewe kakende samahani nenda kalale kwenu.
usitupotezee muda.


 
Ilboru 1995, achana na stori za vijiwe, hizi taarifa za watanzania kutumiwa na waarabu ni upelelezi unaoendelea. Mpaka sasa kuna ushahidi usio na wasiwasi. Mpaka sasa iko orodha kubwa ya watanzania wanaotumiwa na waarabu kuchafua nchi. Namba 1 ni. Shekhe Farid, Shekhe Ponda, Shekhe Ilunga, Shekhe Ally Basaleh
Good day Mkuu,Mheshimiwa kakende, Heshima kwa wanajf uzi ulioandika samahani kusema kuwa huja soma historiya na kuelewa mambo mengi yanayohusu kuwepo kwa waarabu na wengineo hapa nchini. Wewe unalenga kundi hili moja "Waarabu " kwa hiyo usichanganye wazungu humo. Hivyo unataka kuwaondoa waarabu peke yao, Basi sawa waondoeni ili muweze kupumzisha roho zenu na kuondoa presha miongoni mwenu. Sikubaliani na tuhuma zote ulizotoa juu ya waarabu, huo ni UONGO na hauna ushahidi wowote kwa hiyo niwieRadhi kukuambia kuwa wewe ni adui wa nchi yako na upungufu wa akili ambazo zinakuletea machafuko moyoni mwako.
Sasa wacha ni hamasishe bugudha ndani mwako na nikupe somo dogo iliuelewe yanayojiri hapa nchini:-
Wewe umekasirishwa na hukumu aliyopata SheKhe PONDA. Hapo mwarabu ndiyo aliyetoa hukumu?
Wewe hujuwi yanayojiiri huko Nigeria na B/H hakuna uhusiano wa mwarabu na nchi huru Ya NGR.
wewe unawajua ALshabab kuwa wamedhibitiwa na wakenya na mataifa mkbwa yote, hapo mwarabu atasaidia nini?
Wewe unadhana mbovu, eti waarabu wanafadhili mihadhara, hapa nchini kila raia anawajibika na kuhangaika kulisha tumbo lake. Ipo idara ya usalama inafuatilia kwa ufanisi undani masiala ya uchochezi, ugaidi,rushwa nk.
Wewe ujue hao unao wasema wa kariako/Dar/Zbr/mikoani hao ni kama wewe na mini ni raia wa tanzania na wapo
kumenyeka na kuchapa kazi kujenga taifa hili kisheria na wanazingatia kanuni zote za ukazi nchini, kodi zao za mapato
zimo katika rasimu zote husika.
Kabla sijamaliza itakuwa wewe useme eti wanatuona kama nyani, Hayo ni mawazo yako na fikra zako mbovu ulizonazo na zingine umesha jazwa huko uliposomeshwa; Vipi utaamini nawe unaiishi nao kila siku huoni kuwa wamezaana na wamechanganya damu hapa nchini?
tafuta nchi iliyo kuwa na ushirikiano mzuri na wa Amani kati ya watu wa dini hizi au watu wa makabila hayo(mchanganyiko) utaona kuwa Tanzania ndiyo yenye kuongoza.
Sasa wewe kakende samahani nenda kalale kwenu.
usitupotezee muda.


 
Hizi taarifa zinafamika siku nyingi sana hata TISS Na vyombo vingine vya usalama wana taarifa. Sasa jiulize mwenyewe kwa nini hawachukui hatua. Au jiulize kwa nini sheikh ponda ameachiwa bili mashitaka ya uchochezi Au ugaidi.
Jibu rahisi vyombo vya usalama viko busy Na siasa
Good day Mkuu,Mheshimiwa kakende, Heshima kwa wanajf uzi ulioandika samahani kusema kuwa huja soma historiya na kuelewa mambo mengi yanayohusu kuwepo kwa waarabu na wengineo hapa nchini. Wewe unalenga kundi hili moja "Waarabu " kwa hiyo usichanganye wazungu humo. Hivyo unataka kuwaondoa waarabu peke yao, Basi sawa waondoeni ili muweze kupumzisha roho zenu na kuondoa presha miongoni mwenu. Sikubaliani na tuhuma zote ulizotoa juu ya waarabu, huo ni UONGO na hauna ushahidi wowote kwa hiyo niwieRadhi kukuambia kuwa wewe ni adui wa nchi yako na upungufu wa akili ambazo zinakuletea machafuko moyoni mwako.
Sasa wacha ni hamasishe bugudha ndani mwako na nikupe somo dogo iliuelewe yanayojiri hapa nchini:-
Wewe umekasirishwa na hukumu aliyopata SheKhe PONDA. Hapo mwarabu ndiyo aliyetoa hukumu? Si Mahakama iliyokamilika na uchunguzi uliotimia ndiyo uliyoamua.
Wewe hujuwi yanayojiiri huko Nigeria na B/H hakuna uhusiano wa mwarabu na nchi huru Ya NGR. hao wanamadai yao!!!!!
wewe unawajua ALshabab kuwa wamedhibitiwa na wakenya na mataifa mkbwa yote, hapo mwarabu atasaidia nini?
Wewe unadhana mbovu, eti waarabu wanafadhili mihadhara, hapa nchini kila raia anawajibika na kuhangaika kulisha tumbo lake. Ipo idara ya usalama inafuatilia kwa ufanisi undani masiala ya uchochezi, ugaidi,rushwa nk.
Wewe ujue hao unao wasema wa kariako/Dar/Zbr/mikoani hao ni kama wewe na mini ni raia wa tanzania na wapo
kumenyeka na kuchapa kazi kujenga taifa hili kisheria na wanazingatia kanuni zote za ukazi nchini, kodi zao za mapato
zimo katika rasimu zote husika.
Kabla sijamaliza itakuwa wewe useme eti wanatuona kama nyani, Hayo ni mawazo yako na fikra zako mbovu ulizonazo na zingine umesha jazwa huko uliposomeshwa; Vipi utaamini nawe unaiishi nao kila siku huoni kuwa wamezaana na wamechanganya damu hapa nchini?
tafuta nchi iliyo kuwa na ushirikiano mzuri na wa Amani kati ya watu wa dini hizi au watu wa makabila hayo(mchanganyiko) utaona kuwa Tanzania ndiyo yenye kuongoza.
Sasa wewe kakende samahani nenda kalale kwenu.
usitupotezee muda.


 
kwa kuwa afande kova anapitia humu, msg itakuwa imemfikia.

Good day Mkuu,Mheshimiwa kakende, Heshima kwa wanajf uzi ulioandika samahani kusema kuwa huja soma historiya na kuelewa mambo mengi yanayohusu kuwepo kwa waarabu na wengineo hapa nchini. Wewe unalenga kundi hili moja "Waarabu " kwa hiyo usichanganye wazungu humo. Hivyo unataka kuwaondoa waarabu peke yao, Basi sawa waondoeni ili muweze kupumzisha roho zenu na kuondoa presha miongoni mwenu. Sikubaliani na tuhuma zote ulizotoa juu ya waarabu, huo ni UONGO na hauna ushahidi wowote kwa hiyo niwieRadhi kukuambia kuwa wewe ni adui wa nchi yako na upungufu wa akili ambazo zinakuletea machafuko moyoni mwako.
Sasa wacha ni hamasishe bugudha ndani mwako na nikupe somo dogo iliuelewe yanayojiri hapa nchini:-
Wewe umekasirishwa na hukumu aliyopata SheKhe PONDA. Hapo mwarabu ndiyo aliyetoa hukumu? Mahakama yetu iliyoamua.... siyo waarabu.!!
Wewe hujuwi yanayojiiri huko Nigeria na B/H hakuna uhusiano wa mwarabu na nchi huru Ya NGR. Hao wanamadai yao!!
wewe unawajua ALshabab kuwa wamedhibitiwa na wakenya na mataifa mkbwa yote, hapo mwarabu atasaidia nini?
Wewe unadhana mbovu, eti waarabu wanafadhili mihadhara, hapa nchini kila raia anawajibika na kuhangaika kulisha tumbo lake. Ipo idara ya usalama inafuatilia kwa ufanisi undani masiala ya uchochezi, ugaidi,rushwa nk.
Wewe ujue hao unao wasema wa kariako/Dar/Zbr/mikoani hao ni kama wewe na mini ni raia wa tanzania na wapo
kumenyeka na kuchapa kazi kujenga taifa hili kisheria na wanazingatia kanuni zote za ukazi nchini, kodi zao za mapato
zimo katika rasimu zote husika.
Kabla sijamaliza itakuwa wewe useme eti wanatuona kama nyani, Hayo ni mawazo yako na fikra zako mbovu ulizonazo na zingine umesha jazwa huko uliposomeshwa; Vipi utaamini nawe unaiishi nao kila siku huoni kuwa wamezaana na wamechanganya damu hapa nchini?
tafuta nchi iliyo kuwa na ushirikiano mzuri na wa Amani kati ya watu wa dini hizi au watu wa makabila hayo(mchanganyiko) utaona kuwa Tanzania ndiyo yenye kuongoza.
Sasa wewe kakende samahani nenda kalale kwenu.
usitupotezee muda.


 
Back
Top Bottom