Mbona mimi ni mwenzao, usiwe na hofu ukweli utakuweka huru
kwa nini wananchi tusichukuwe jukumu la kulinda nchi wenyewe.....mimi nasema......nikimuona mtu mtaani kwangu simuelewi elewi nashitaki.....mtaa mzima tunafahamiana.......huyo mgeni atakaekuja bila kujulikana anaishi wapi na nani huyo ninae......potelea mbali.......acha niitwe mmbeya..........
Zamani ndivyo ilivyokuwa na tulifanikiwa sana kujilinda dhidi ya kaburu.kwa nini wananchi tusichukuwe jukumu la kulinda nchi wenyewe.....mimi nasema......nikimuona mtu mtaani kwangu simuelewi elewi nashitaki.....mtaa mzima tunafahamiana.......huyo mgeni atakaekuja bila kujulikana anaishi wapi na nani huyo ninae......potelea mbali.......acha niitwe mmbeya..........
Preta, nice move, unaweza kufanya hivyo kila unapohisi mtu ambae haeleweki nyendo, zake, fikisha haya kwa wakubwa kama unaona hupati ushirikiano wa kutosha huko chini, yatachunguzwa na kufanyiwa kazi tu..kwa nini wananchi tusichukuwe jukumu la kulinda nchi wenyewe.....mimi nasema......nikimuona mtu mtaani kwangu simuelewi elewi nashitaki.....mtaa mzima tunafahamiana.......huyo mgeni atakaekuja bila kujulikana anaishi wapi na nani huyo ninae......potelea mbali.......acha niitwe mmbeya..........
Vyombo vya Usalama hususan rais ni sehemu ya kundi hilo.
Kuna taarifa kuwa kuna watu wanaotokea middle east (waarab) wako Tanzania wakifanya biashara lakini kazi yao kubwa ni kuhakikisha Tanzania inavurugika, wanataka Tanzania iwe nchi ya kiislam. Wanatumia watu wenye imani kali kutekeleza matakwa yao. Wamekuwa wakifadhili shughuli za mihadhara nchi nzima na vikao mbalimbali vya kupanga mikakati kama ilivyokuwa Diamond jubilee.
Jamii hii ya Waarabu ndiyo waliovuruga Nigeria (boko haram), Mali, wanasaidia al shaabab Somalia nk. Waarab hao kwa sasa wanapatikana sana maeneo ya Kariakoo Dar, Zanzibar na baadhi wachache sasa wameanza kuingia Mwanza. Kundi ili la waarabu lina pesa lakini linaungwa mkono na serikali zao. Mfano Boko haram inapewa msaada na Serikali ya ALGERIA
Ushauri wangu kwa watanzania. Hawa waarabu na wazungu wanatuona kama nyani, ukitaka kuamini nenda ukaishi kwenye nchi zao. Hata ikiwa wewe ni mwislam mwenzao watakubagua.
Serikali kuwa makini sana na ili kundi ambalo halipendi kuona watu wanafurahia utulivu duniani
Wengi mtabeza lakini hali iko hivyo
Vyombo vya Usalama hususan rais ni sehemu ya kundi hilo.
Ahsaante kwa kunitisha, lakini sitishiki nitasema kweli daimaNdugu yangu Serikali inamikono mirefu...Jaribu kuwa mstaarabu Jenga hoja badala ya kutoa tuhuma bila ya kupima madhara yake...
kwa nini wananchi tusichukuwe jukumu la kulinda nchi wenyewe.....mimi nasema......nikimuona mtu mtaani kwangu simuelewi elewi nashitaki.....mtaa mzima tunafahamiana.......huyo mgeni atakaekuja bila kujulikana anaishi wapi na nani huyo ninae......potelea mbali.......acha niitwe mmbeya..........
Kakende aka Kabusha, Tuhuma ulizozitoa ni kubwa sana, zinachuki nyingi dhidi ya Mataifa ya Kiislam na Waislam, Nakushauri ufanye utafiti wa kutosha kabla ya kuhukumu Mkuu... Waarabu ni watu wenye kupenda Starehe sana, hawana muda wa kuhangaika na Rasilimali zenu, Hawana matamanio ya kidunia kama ilivyo kwa mtaifa mengi ya ulaya! Bila ya kupoteza mantiki naomba uingie ndani zaidi uchunguze makundi unayoyaita ya kiislam yanafadhiliwa na nani...Al Qaeda, Al Shabab, Boko Haram na hata M23! ...Bila ya kumung'unya maneno haya yote ni mashines propaganda za CIA:-wao wanachokifanya ni kuingiza destructions pale inapohitajika, mfano mzuri ni jinsi ambavyo Al Shabab ilivyofanikiwa mwanzoni kuzuia biashara kati ya mashariki ya mbali China na East and Central Africa! Al shabab walisaidia sana silaha nzito nzito kusafirishwa na kupelekwa sudan ya kusini mpaka Omary Albashir aliporidhia nchi yake kugawanywa...
Boko Haram wanasaidia Wanigeria kutengana huku mafuta yao yakipelekwa Ulaya na Marekani kila siku...
Huko mali Waasi wa Kiislam wanasaidia sasa usafirishaji wa Dhahabu nyingi iliyogundulika recently, hata Resolute wanafunga mgodi wao nzega na kuhamia mali kwenye vita! Bado hushangai wala hujiulizi kulikoni?... in short CIA ndio wanaoratibu ugaidi wote unaotokea katika nchi masikini zenye Rasilimali nyingi na zile zenye mafuta mengi ...Hivi ni vita vya kutafuta Rasilimali zaidi ILA sis waafrica tunavichukulia kama vita vya kidini...
Labda ni kisiwa cha upumbavu na ujinga wa kudumu.
Kwa usalama magari tinted yapigwe marufukuSasa Preta si unajua haya majamaa yanakuwa yakiendesha mmagari makubwa kam VX halafu full tinted kisha naingia kwenye geti fulani then mlango unafungwa.Huwezi jua hata ni nani kaingia na nini?:redfaces:
Vyombo vya Usalama hususan rais ni sehemu ya kundi hilo.
Nchi ipi ya Kiarabu?... Labda hao unaowataja wanatumiwa na CIA, nalo pia mimi nitalipinga maana madai yao yote yanamashiko! Sheikh Ilunga ndo sijapata fursa ya kusikiliza hoja zake LAKINI Farid yeye ameweka wazi sana msimamo wa kundi lake kuwa wanataka Zanzibar ipewe hadhi wanayostahili wazanzibar! Imagine hata mapato ya Benki Kuu ni juzi kati ndo wameanza kupata gawiwo!...Ilboru 1995, achana na stori za vijiwe, hizi taarifa za watanzania kutumiwa na waarabu ni upelelezi unaoendelea. Mpaka sasa kuna ushahidi usio na wasiwasi. Mpaka sasa iko orodha kubwa ya watanzania wanaotumiwa na waarabu kuchafua nchi. Namba 1 ni. Shekhe Farid, Shekhe Ponda, Shekhe Ilunga, Shekhe Ally Basaleh
Kuna taarifa kuwa kuna watu wanaotokea middle east (waarab) wako Tanzania wakifanya biashara lakini kazi yao kubwa ni kuhakikisha Tanzania inavurugika, wanataka Tanzania iwe nchi ya kiislam. Wanatumia watu wenye imani kali kutekeleza matakwa yao. Wamekuwa wakifadhili shughuli za mihadhara nchi nzima na vikao mbalimbali vya kupanga mikakati kama ilivyokuwa Diamond jubilee.
Jamii hii ya Waarabu ndiyo waliovuruga Nigeria (boko haram), Mali, wanasaidia al shaabab Somalia nk. Waarab hao kwa sasa wanapatikana sana maeneo ya Kariakoo Dar, Zanzibar na baadhi wachache sasa wameanza kuingia Mwanza. Kundi ili la waarabu lina pesa lakini linaungwa mkono na serikali zao. Mfano Boko haram inapewa msaada na Serikali ya ALGERIA
Kwa taarifa rasmi zilizopatikana. Watanzania wanaotumiwa na wageni ni. No:1 Ni Shekhe Fareed wa Zamzibar (Pia ana mawasiliano na Al shaabab),No. 2 Shekhe Ponda (Pia ana mahusiano na Al queda), No.3 Ustaadh Ilunga, No.4Shekhe Ally Basaleh. Pia kuna waadhili wa Chuo kikuu cha waislam Morogoro nao wanatumiwa.
Ushauri wangu kwa watanzania. Hawa waarabu na wazungu wanatuona kama nyani, ukitaka kuamini nenda ukaishi kwenye nchi zao. Hata ikiwa wewe ni mwislam mwenzao watakubagua.
Serikali kuwa makini sana na ili kundi ambalo halipendi kuona watu wanafurahia utulivu duniani
Wengi mtabeza lakini hali iko hivyo