Tanzania tumenufaika nini kwa uwekezaji huko Loliondo na Ngorongoro?

Tanzania tumenufaika nini kwa uwekezaji huko Loliondo na Ngorongoro?

Huyu jamaa mpumbavu sana
Kutesa watu siyo sifa. Umeulizwa faida wewe unakimbilia kusifia ujinga CCM wengi ni form four failure wakiongozwa na makamba na Nape
Wewe ni mpumbavu pamoja na huyo taahira wako,kama hujui faida ya wawekezaji wewe ni wa kufukiwa huna maana hata kidogo.

Ukiwa na akili timamu unaweza kuhoji faida ya uwekezaji? Kama sio utaahira ni kitu gani.
 
Waarabu wameandamwa kila kona, west wamewaandama, kwa mayahudi wamewaandama, huku nako ndugu wa mayahudi na west kwa ujumla wamewaandama japo sio wakristo wote, wengine wapo poa.
 
Wewe ni mpumbavu pamoja na huyo taahira wako,kama hujui faida ya wawekezaji wewe ni wa kufukiwa huna maana hata kidogo.

Ukiwa na akili timamu unaweza kuhoji faida ya uwekezaji? Kama sio utaahira ni kitu gani.
Umeambiwa Taja faida tulizopata kutoka huko loliondo usitukane watu hapa

Kwenye migodi kuna % tunapata na mikataba ilikuwa reviewed. Leta hoja wacha akili za bata
 
Wana mkataba toka enzi za mwinyi, walipewa miaka 100 hao, sasa jaribu kuwatoa halafu tuone kama kuna mswahili ataingia dubai kununua visimu vyenu vya bei poa.
Unafananisha dhamani ya ardhi huto tubidhaa twa uchuuzi kutoka dubai
 
Back
Top Bottom