Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
Afrika kwa mfano Tanzania tuna 1. Umasikini wa mawazo/ fikra na 2. Umasikini wa kifedha.
Manake Inabid tupambane na two types za umaskini at the same time.
Mapambano yanakua makali tuna pambana na umaskin WA mawazo/ fikra kwa kiwango kidogo sana halafu tunapambana na umasikini wa kifedha. Kwa nguvu zote
Kupambana na umaskini wa kiuchumi inataka umaskin wa mawazo usiwepo work done inakua Sawa na 0.
Nini kifanyike
elimu iwe kipaumbele watoto/ vijana wasome wafaulu vizuri primary, secondary, wafike universities watunukiwe diploma degrees, masters, n.k. Tuweze kukomboa fikra
Fikra ikiwa Sawa uchumi unakua sawa
Manake Inabid tupambane na two types za umaskini at the same time.
Mapambano yanakua makali tuna pambana na umaskin WA mawazo/ fikra kwa kiwango kidogo sana halafu tunapambana na umasikini wa kifedha. Kwa nguvu zote
Kupambana na umaskini wa kiuchumi inataka umaskin wa mawazo usiwepo work done inakua Sawa na 0.
Nini kifanyike
elimu iwe kipaumbele watoto/ vijana wasome wafaulu vizuri primary, secondary, wafike universities watunukiwe diploma degrees, masters, n.k. Tuweze kukomboa fikra
Fikra ikiwa Sawa uchumi unakua sawa