CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #261
Hujui "ID inanihusu nini"?
Ulipokuwa unajibishana nami kama CM, halafu unageuka na kuwa "mtoto" huoni uhusiano hapo? Sikukosea tokea mwanzo nilipokuita wewe kuwa ni 'kiazi', tena kile mbatata hasa!
Unapenda sana kupachika watu vitu visivyowahusu kabisa. CCM ipi unayoifikiria kuwa naweza kuwa mwanachama wake, au hata shabiki tu? Hii iliyooza toka juu hadi chini? Hii ya vilaza kama wewe mnapotafutia shibe, halafu mnakuja hapa na majina ya ajabu ajabu, eti "mtoto wa Samina"?
Kama anaye mtoto kama wewe atakuwa anajuta sana.
CCM ni chama kubwa usishangae ukabishana na mtu X na ukajibiwa na Mtu Y so usiumize kichwa wewe jibu hoja kama unaweza,Mkuu kwema?
Aiseee, nchi hii kweli imeparaganyika!CCM ni chama kubwa usishangae ukabishana na mtu X na ukajibiwa na Mtu Y so usiumize kichwa wewe jibu hoja kama unaweza,
Jamaa la FY
Tatizo liko wapi mkui,Aiseee, nchi hii kweli imeparaganyika!
Tumekuwa na watu wa aina hii, tena ndio wanaoendesha nchi?
Inabidi tuombe sana Mungu atunusuru.
Wewe kwa upofu ulionao huwezi kuona tatizo lilipo; ila ninakubaliana nawe katika hilo la "Mungu ni mkuu sana"Tatizo liko wapi mkui,
Mungu ni mkuu sana
Tuendelee kumwomba na kumtumikia MunguWewe kwa upofu ulionao huwezi kuona tatizo lilipo; ila ninakubaliana nawe katika hilo la "Mungu ni mkuu sana"
Tumekwishashuhudia 'UKUU' wake muda si kitambo, unakumbuka?
Hata hili atatunusuru nalo.
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,π€£π€£π€£π€£ Nimecheka kwa sauti,
Mkuu hii ni kama itatokea shida ndio zitafanya kazi kwa sasa ni akiba yetu
ππΏππΏππΏππΏAkiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
GoodRais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,
miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000
Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
Safi sana hiiππΏππΏππΏππΏ
Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,
Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29
Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300
Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883
_________________________
Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.
#Hoja hapa ni muda wa matokeo
#HAKUNA KAMA SAMIA
Nchi imefunguka kwelikweli,Mungu akijaalia next year baada ya kuanza uzalishaji wa migodi itaingiza fedha za kigeni zaidi ya dola za Marekani bil.5.5 kwa mwaka.
View attachment 1987680
View attachment 1987681
Na wahisani Wana imani kubwa Sana na Mh.Rais kama hivi yaani πNchi imefunguka kwelikweli,
Hongera sana Rais Samia
GoodNa wahisani Wana imani kubwa Sana na Mh.Rais kama hivi yaani π
View attachment 1987988
View attachment 1987989
View attachment 1987990
View attachment 1987991
Opportunity Cost saluteNa wahisani Wana imani kubwa Sana na Mh.Rais kama hivi yaani π
View attachment 1987988
View attachment 1987989
View attachment 1987990
View attachment 1987991
Na wahisani wanaunga mkono juhudi za mh.Rais kama hivi π
πππ€£π€£π€£π€£ Nimecheka kwa sauti,
Mkuu hii ni kama itatokea shida ndio zitafanya kazi kwa sasa ni akiba yetu
Hongera sana Rais SamiaAkiba ya Fedha zetu za kigeni Rais Samia ameiongeza kwa TZS 2.3T sasa imefikia $5.8b toka $4.8b mwezi March 2021 | Pesa hii inaweza kulisha Watanzania wote kwa miezi mitatu mfululizo yaani Wale walale tu hakika Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa.
"Hakuna kama Samia "
Namba hazijawahi kudanganya na hazitadanganya tunaposema Rais Samia Suluhu Hassan rekodi zake hazikamatiki na mwendo wake unatoa matumaini mapya kila uchapo lazima kama taifa tukubaliane hivyo, Akiba hii ya fedha za kigeni ni muhimu sana kwa nchi hasa wakati wa majanga mbalimbali ambapo in EAC kiwango cha chini kwa nchi ni uwezo wa kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi 4.5 mfukulizo.
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuendekeza ujenzi wa SGR kwa zaidi ya Tshs 10trl, Kujenga JNHPP kwa zaidi ya Tshs 6.55trl, kugharamia elimu bila malipo kwa watoto wetu, kupandisha madaraja|mishahara wafanyakazi wa serikali,kutoa mikopo HESLB ya zaidi ya Tshs 500b, kujenga vituo vya afya 220, kujenga madarasa 18,000, kujenga mabarabara na madaraja kila kona ya nchi na mengine mengi bado amefanikiwa kuongeza akiba yetu ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kwa zaidi ya $1BL sawa na Tshs 2.3trl na kufikia jumla ya $5.8BL karibu Tshs 13.34trl kutoka $4.8BL aliyoikuta,Hakika Rais Samia anamwendo mzuri sana,
Fedha hizi zinaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa zaidi ya miezi 6 mfululizo rekodi ambayo sina hakika kama kuna Rais yeyote tangu tupate Uhuru aliwahi Kuifiki na kwakuwa GDP per Capita yetu ni Tshs 2,653.8 au $1,156.8 basi pesa hii inaweza kumlipa kila Mtanzania kwa kila siku Tshs 2,700 kwa miezi mitatu mfululizo asifanye kazi yeyote ale na alale tu,Hakika Rais Samia ni tumaini jipya linalohitaji kuungwa mkono na kila awaye,
Baadhi ya faida za Gross official foreign reserves kwa nchi ni hizi,
Kwanza,kuiwezesha Serikali kutimiza mahitaji yake ya fedha za kigeni na mahitaji ya kuagiza bidhaa kutoka nje,
Pili,Kutoa imani kwamba Serikali inaweza ikatimiza majukumu yake ya muda mfupi kulipa madeni ya nje,
Tatu, Kusaidia utekelezaji wa sera za fedha na kubadilisha fedha za kigeni pamoja na uwezo wa kuingilia kuhakikisha fedha ya taifa ni imara,
Nne, Kuchangia katika mapato ya Benki Kuu kwa kuhakikisha kuna kiwango cha kutosha cha mapato kulingana na jinsi Benki inavyoweza kuhimili majanga/vihatarishi
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
WondersNa wahisani wanaunga mkono juhudi za mh.Rais kama hivi π
View attachment 1990657
View attachment 1990658
Wonders