Tanzania tuna mfumo gani na tunataka Mfumo upi? Ubepari, Soko huria, au vyote?

Tanzania tuna mfumo gani na tunataka Mfumo upi? Ubepari, Soko huria, au vyote?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa?
  • Ubepari?
  • Market socialism?
  • Ubepari ukiwa na Soko Huria?
  • Soko Huria?
  • Command Economy?
  • Unknown (Yaani Made in Tanzania)
Au Mchanyato wetu uwe vipi? Hii mifumo sio msahafu na sehemu husika inaweza kuamua kujijengea mfumo wake na mifumo yote ni mchanganyiko; Je kwa Tanzania tunahitaji mfumo gani na utatusaidia vipi katika hii karne ya 21.

Kama watanzania tunapenda vya Bure je ni mfumo gani utatufaa... na vya bure ni vipi? Na kutokana na Utajiri wa nchi tulionao vya bure haviwezekani? Na je mtu mwenye mtaji wa nguvu kazi lakini hana ajira ya kupata ujira bado anapenda vya Bure

Ni Mfumo Upi ni Sahihi kwa Tanzania ya leo? Huenda Mfumo fulani ukafaa kwa jirani lakini kwako usifae.
 
Sisi mfumo wetu unaitwa Ubejamaa. Yaani ndani ya huo mfumo unakutana na ujamaa kwa wananchi, na ubepari kwa viongozi.

Maana yake nini; Wananchi mnahamasishwa kuishi Kijamaa, huku Watawala wakiishi Kibepari.

Binafsi ningetamani ule mfumo wa Wachina. Full uzalendo! Full kujipigania wao wenyewe, na pia Taifa lao.
 
Sisi mfumo wetu unaitwa Ubejamaa. Yaani ndani ya huo mfumo unakutana na ujamaa kwa wananchi, na ubepari kwa viongozi.

Maana yake nini; Wananchi mnahamasishwa kuishi Kijamaa, huku Watawala wakiishi Kibepari.

Binafsi ningetamani ule mfumo wa Wachina. Full uzalendo! Full kujipigania wao wenyewe, na pia Taifa lao.
Binafsi naona kwa Rasilimali tulizonazo hata mfumo wa Wapenda Vya Bure ambao kwa Research ya Samia watanzania ndio tunaupenda ungeweza kufanikiwa.., Ukizingatia huduma zenyewe za Bure ni Non Existent..., Mfano hatushindwi hata kusema Wazee wote above 80 walipwe pesa....
 
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa...
Kuna msosi unaitwa mix grill.. Ndio Tanzania sasa

giphy.gif
 
Socialism Market Economy au Unknown [ yaani made in Tanzania ].
 
Socialism Market Economy au Unknown [ yaani made in Tanzania ].
Hii ya Socialist Market Economy ndio anayo China na inawafaa sana..., Hii Unknown ya Tanzania ndio tunataka tuijue (ila kinachoendelea sasa ni watu kujitungie mifumo kulingana ya kuwafaa wao nadhani hapo mdau juu Tate Mkuu kauita UbeJamaa...

Mimi simungunyi maneno ni Ubwanyeye Mamboleo (Ubwanyeye uliochanganyikana na Ukupe)
 
Hii ya Socialist Market Economy ndio anayo China na inawafaa sana..., Hii Unknown ya Tanzania ndio tunataka tuijue (ila kinachoendelea sasa ni watu kujitungie mifumo kulingana ya kuwafaa wao nadhani hapo mdau juu Tate Mkuu kauita UbeJamaa...

Mimi simungunyi maneno ni Ubwanyeye Mamboleo (Ubwanyeye uliochanganyikana na Ukupe)
Ubeujamaa nadhani ni Mixed Economy hata sisi kwa sasa tuna tumia.
 
Ubeujamaa nadhani ni Mixed Economy hata sisi kwa sasa tuna tumia.

Ubeujamaa haufai hata kidogo ni unyonyaji na mwisho wake ni chuki baina ya walamba asali na watafuta asali....

Mixed Economy ndio ipo kila nchi (Uchumi wote ni Mixed hakuna nchi yenye 100 capitalism wala 100 percent socialism)
 
Ubeujamaa haufai hata kidogo ni unyonyaji na mwisho wake ni chuki baina ya walamba asali na watafuta asali....

Mixed Economu ndio ipo kila nchi (Uchumi wote ni Mixed hakuna nchi yenye 100 capitalism wala 100 percent socialism)
Kwani ubeujamaa ni nini ndugu wenda nimetafasiri tofauti hili neno na kuja na maelezo yangu ambayo hayapo sahihi na nilicho elewa kutoka kwenye hili neno ?
 
Basi sawa maana nilidhani mdau ana maanisha Ubepari + Ujamaa= Mixed economy

Nilijenga tafasiri isiyo sahihi juu ya hilo neno alilo tumia mdau.
Mdau alimaanisha Walamba Asali ni Mabepari wakati sisi Watafutaji ni wajamaa (wanatwambia kwamba wote ni wajamaa) yaani kama kipindi kile cha Russia walivyokuwa Capitalists in Socialists Clothes....

Ofcourse ukitafsiri kama wewe ulivyosema basi upo sahihi ila nadhani mdau alikuwa anatania

Ila Economy zote ulimwenguni ni Mixed....
 
Tanzania ni mfumo MLENDA.
ukivutwa popote unavutika
 
Mdau alimaanisha Walamba Asali ni Mabepari wakati sisi Watafutaji ni wajamaa (wanatwambia kwamba wote ni wajamaa) yaani kama kipindi kile cha Russia walivyokuwa Capitalists in Socialists Clothes....

Ofcourse ukitafsiri kama wewe ulivyosema basi upo sahihi ila nadhani mdau alikuwa anatania

Ila Economy zote ulimwenguni ni Mixed....
Sawa nimekuelewa ndugu.
 
Sababu hakuna mfumo ambao ni asilimia 100 na mifumo yote ni mchanganyiko tofauti tofauti napenda kujua watanzania wanapenda mfumo gani na mfumo upi unaweza kuwafaa?
  • Ubepari?
  • Market socialism?
  • Ubepari ukiwa na Soko Huria?
  • Soko Huria?
  • Command Economy?
  • Unknown (Yaani Made in Tanzania)
Au Mchanyato wetu uwe vipi? Hii mifumo sio msahafu na sehemu husika inaweza kuamua kujijengea mfumo wake na mifumo yote ni mchanganyiko; Je kwa Tanzania tunahitaji mfumo gani na utatusaidia vipi katika hii karne ya 21.

Kama watanzania tunapenda vya Bure je ni mfumo gani utatufaa... na vya bure ni vipi? Na kutokana na Utajiri wa nchi tulionao vya bure haviwezekani? Na je mtu mwenye mtaji wa nguvu kazi lakini hana ajira ya kupata ujira bado anapenda vya Bure

Ni Mfumo Upi ni Sahihi kwa Tanzania ya leo? Huenda Mfumo fulani ukafaa kwa jirani lakini kwako usifae.
mfumo wetu ni wa kukopa, kuiba hiyo mikopo mkuu
mengine yoote itakuwa uongo
 
Basi sawa maana nilidhani mdau ana maanisha Ubepari + Ujamaa= Mixed economy

Nilijenga tafasiri isiyo sahihi juu ya hilo neno alilo tumia mdau.
Na maana yake ndiyo hiyo hiyo kwa maelezo yangu. Hivyo umecheza mule mule kama yule mshambuliaji hatari wa Yanga, Fiston Kalala Mayele.

Yaani Watawala wanatutaka kuishi Kijamaa, halafu wenyewe wanaishi Kibepari! Wanatujengea madarasa na kutoa "elimu bure" nchi nzima! Halafu katika hali ya kushangaza watoto wao Wanasoma Feza Schools!
 
Back
Top Bottom