Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Typo ya kibabe sana hiyo mkuu 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Zanzibar sasa, ndio wengi wanaenda Kumamoto degree hizo za kifaransa, kichina na kiarabu pale state university of Zanzibar kwenye school of Kiswahili and foreign language, alafu baadae wanakuja kujinoa, pale udsm Taasisi ya Confucius sijui ile inaitwa, mtanirekebisha au mabepari tunaenda alliance francaise.
French imekuwa ikifundishwa nchini tangu miaka ya 1986.🤣🤣🤣🤣Kifaransa tena ? Mbona kawaida mpaka pre form one courses zipo tangu miaka ya 2000's mwanzoni ,kiarabu wapo kibao..pale Udom jamaa yangu kasoma kichina .
Yule waziri wa elimu yule ni Professor lakini kuna walakini mkubwa sana.Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Watasambazwa nchi nzima kwenda kufundisha hizo shule ?Pale kurasini jijini dar es salaam katika chuo cha diplomasia kuna walimu mahiri mno wa lugha ulizozitaja [emoji205]
Hao walimu wakufundisha hizo shule wapo ?Pale udsm wanafundisha degree hiyo ya kifaransa, na ipo katika department of foreign languages and linguistics.
UDOM Kuna Bachelor of Arts in french.
Zanzibar sasa, ndio wengi wanaenda Kumamoto degree hizo za kifaransa, kichina na kiarabu pale state university of Zanzibar kwenye school of Kiswahili and foreign language, alafu baadae wanakuja kujinoa, pale udsm Taasisi ya Confucius sijui ile inaitwa, mtanirekebisha au mabepari tunaenda alliance francaise.
Jamaa hata vitu vidogo hivi huvifahamu. Mbona vyuo vingi sana. Tena degree zilizonyooka na watu kibao wapo nje ya nchi huko. Yani kuna watu wapo china ni watanzania na wanafundisha kichina au kingereza
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Hivi unajua kama watu form four wanafanya mtihani wa Arabic? wewe unawajua watalii wote , vip kuhusu wasambaza bidhaa ? viongozi wa makampuniUmewahi kuwaona watalii kutoka China au Uarabuni?
Wanafunzi watakutana na mtihani wa taifa tu nchi la hovyo hili.Ukisoma vizuri maelekezo ya TAMISEMI inaonekana wamejiandaa vizuri maana tahasusi hizo zimeelekezwa katika shule maalum ambazo wao ndiyo wamezichagua kwa ajili hiyo.
Lakini pia haitashangaza kama mpaka masomo yanaanza hakuna cha mwalimu wala vitabu. Hatujawahi kuwa siriazi na cho chote; na uzoefu wetu unaonyesha hivyo![emoji706]
Wapo wa kutosha wala hakuhitaji mjadala maana Udom na udsm wamejaaNimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
siala la kitakwimu hatubuni majibu,Watasambazwa nchi nzima kwenda kufundisha hizo shule ?
Wako wangapi ?
Nashangaa hawa 😀😀French imekuwa ikifundishwa nchini tangu miaka ya 1986.🤣🤣🤣🤣
Hizi tahasusi za dini zilitakiwa ziachwe kwa madhehebu ya Dini yenyewe. Sioni tahasusi inayohusu dini za asili za waafrika au dini za kihindi . Je hawa wamebaguliwa? Mambo ya dini yasihusishwe na mitahala ("syllabus ") ya Wizara ya Elimu. Wahitimu wa dini watapata ajira wapi?Serikali haina dini!.Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Pleasure,ikimpendeza anaamua tu.Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?