Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejaa broo sema wanapanda Sana mlima Kilimanjaro ,kunawakati nilipanda Kule nilikutana na kila jamii mpaka wajapani,wayaud wakorea kiufup ni kila jamiiUmewahi kuwaona watalii kutoka China au Uarabuni?
alliance france na udsm wamejazana na kwakweli ni wazuri mno 🐒Kwahiyo wote sasa tutaenda kurasini
kwahiyo nchi nzima wanafunzi tuwe tunaenda kurasini kuhudhuria vipindi cyoPale kurasini jijini dar es salaam katika chuo cha diplomasia kuna walimu mahiri mno wa lugha ulizozitaja 🐒
hiyo ni sehemu moja tu,kwahiyo nchi nzima wanafunzi tuwe tunaenda kurasini kuhudhuria vipindi cyo
umenena vyema yaani hadi hasira, hakika naona waarabu na islamic ndo kama walikalia kikao cha kupitisha hayo madubwana ya tahasusi ya hovyo,nilitegemea kuona electronics,telecom,coding,programing,syber security,IT,computer engineering,kama walivyo ichambua kiarabu kwa kila tahasusi badala yake wameweka tu kwenye kapu moja computer science yaani hii nchi kwenye teknoloji tutakwama sana,tutabakia tu kuongea kiarabuNimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu
1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.
2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?
3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?
4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?
5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?
6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?
Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
profesa hakuwa na shida ila kikao kilitawaliwa na waarabu ikifika wakati wakupiga kura wanashinda kwa idadi yaoYule waziri wa elimu yule ni Professor lakini kuna walakini mkubwa sana.
LabdaWamejaa broo sema wanapanda Sana mlima Kilimanjaro ,kunawakati nilipanda Kule nilikutana na kila jamii mpaka wajapani,wayaud wakorea kiufup ni kila jamii
Ccm yako hiyoMambo mengi huwa tunakurupuka sana bila kufanya tathmini
Shida yako unawaza udini tu mdogo angu ila ukifikiria kwamba Arabic is the most spoken language in Africa, and comes in a list of twenty mostly spoken languages in the world huezi kutoa comment ya kijinga kama hii.umenena vyema yaani hadi hasira, hakika naona waarabu na islamic ndo kama walikalia kikao cha kupitisha hayo madubwana ya tahasusi ya hovyo,nilitegemea kuona electronics,telecom,coding,programing,syber security,IT,computer engineering,kama walivyo ichambua kiarabu kwa kila tahasusi badala yake wameweka tu kwenye kapu moja computer science yaani hii nchi kwenye teknoloji tutakwama sana,tutabakia tu kuongea kiarabu
Kaka umenitext wasap ila sijaweza kujib pm yako imefungwaDunia ya sasa ni ya teckinolojia kunasoftware nyingi zinazotafsiri Lungha, na ikumbukwe lungha sio UJUZI, Ata mfaransa akija Tanzania ata hitaji IT,Food, Acc na wajuzi wengine. Tuna ndugu wengi wamesoma lungha hizo wapo hawazalishi na hawaajiriki zaidi parttime za ukarimani . Tungeanzisha tahasusi za ujuzi Wizara ya Kilimo na Ofisi ya Waziri Mkuu kila mwaka inapanga bajeti kusoma kilimo (BBT) na Ufundi Veta. Nadhani Combination zingeegemea kutoa ujuzi hii. Hiyo miaka miwili ya form 5 na 6 bora hao vijana tuwapele wakasome bure fani za kupaka rangi,ushonaji ,kufuga nyuki, kuchomerea,ujenzi,kilimo,kutengeneza simu ,kutengeneza pikipiki na Magari. Ingesaidia kujiajiri baada ya kuhitimu masomo yao.