Tanzania tuna walimu wa kufundisha Kifaransa, Kiarabu na Kichina? Walisomea wapi haya masomo?

Wapo wengi sana.
Kuna walimu wa kichina, kiarabu, kifaransa, hata kihindi.......
Wabongo mmeanza kulalamika kama kawaida yenu.....uoga umewajaaaa... someni lugha zote wacheni ujinga.
 
Kwahiyo wote sasa tutaenda kurasini
alliance france na udsm wamejazana na kwakweli ni wazuri mno 🐒

kutokana na uhitaji kwa mazingira ya sasa, bila shaka vijana wengi watatumwa maeneo mbalimbali duniani kujifunza, na kwa muda mfup tutakua na wakufunzi wengi na wakutosha humu nchini🐒
 
Mbona UDSM, UDOM wanatoa hizo Kozi, nakumbuka Udom pale nilisoma kichina kidogo nikaacha, na wanafundisha wachina wenyewe.
 
kwahiyo nchi nzima wanafunzi tuwe tunaenda kurasini kuhudhuria vipindi cyo
hiyo ni sehemu moja tu,
udsm, alliance france & British council unapata huduma hiyo pia 🐒

hata hivyo,
kulingana na mahitaji kuongezeka bila shaka vijana wengi watatumwa maeneo mbalimbali duniani kujifunza mambo hayo ili kukidhi mahitaji 🐒
 
umenena vyema yaani hadi hasira, hakika naona waarabu na islamic ndo kama walikalia kikao cha kupitisha hayo madubwana ya tahasusi ya hovyo,nilitegemea kuona electronics,telecom,coding,programing,syber security,IT,computer engineering,kama walivyo ichambua kiarabu kwa kila tahasusi badala yake wameweka tu kwenye kapu moja computer science yaani hii nchi kwenye teknoloji tutakwama sana,tutabakia tu kuongea kiarabu
 
Unasikitisha sana, Kuna wataalum wengi sana wa Lugha ya kiarabu nchini, Napia Lugha za kifaransa na kichina nazo wapo wataalamu wake, nahasa Zanzibar. Zanzibar mpaka watoto wadogo mitaani wanaongea Kitaliano
 
Tumeomba Walimu wa somo la Kiarabu kutoka makundi ya Al-Shaabab na ADF ya Congo. Nasikia wana Walimu wazuri sana kwa habari ya Kitabu kilichoandikwa Kiarabu.
 
Shida yako unawaza udini tu mdogo angu ila ukifikiria kwamba Arabic is the most spoken language in Africa, and comes in a list of twenty mostly spoken languages in the world huezi kutoa comment ya kijinga kama hii.
Honestly mimi nilikuwa nashangaa sana kwann hapa bongo watoto wanakomaa na lugha mbili tu Kiingereza na Kiswahili while kwa dunia ya sasa kujuwa zaidi ya lugha mbili ni fursa nzuri mno na ndio kwenda na wakati,
Shida wadogo zangu mnatumia hisia kuchambua mambo na sera za kibaguzi. I'm doing Electronics, communication and computing but it never stopped me from learning 3 languages apart from English in my extra time. Lugha ya kiarabu na warabu havina uhusiano na kuwa muislam nna marafiki wengi wakristo na wanajifunza lugha ya kiarabu, fungua ubongo ufikirie kma mtu aliyeelimika
 
Kaka umenitext wasap ila sijaweza kujib pm yako imefungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…