Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chipa GM

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
1,815
Reaction score
2,973
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandari yetu ya Kigoma. Mzigo ukitoka Dar unaenda Kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?

CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
 
Doto aka mashaka mmemwamulia. Kulwa aka Masunga nae kaandaa wajumbe wa kumchagua wenye asili ya babu yao.
 
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandali yetu ya kigoma. Mzigo ukitoka dar unaenda kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?
CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
Rais akusaidie kwa utumbo uliouandika bila datails? Kutaja majina ya nchi ndiyo kwako imeshakuwa ukweli?

Kwanza muelewe ile kazi top pale kama siyo system huzipati kabisa.
 
Rais akusaidie kwa utumbo uliouandika bila datails? Kutaja majina ya nchi ndiyo kwako imeshakuwa ukweli?

Kwanza muelewe ile kazi top pale kama siyo system huzipati kabisa.
Faiza Kaa kimya 🤐 chutama chutama. Bora ukaye kimya tu.
 
Rais akusaidie kwa utumbo uliouandika bila datails? Kutaja majina ya nchi ndiyo kwako imeshakuwa ukweli?

Kwanza muelewe ile kazi top pale kama siyo system huzipati kabisa.
Ni kweli system za ccm
 
Back
Top Bottom