Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Taja jina la mtu.
2. Taja kuwa si raia wa Tanzania.
3. Taja cheo alichonacho ambacho kinamlazimu awe raia wa Tanzania.

Vinginevyo, unaweza kuwa na tatizo la watu masikini wengi la Xenophobia.

NB. Mtu kuwa raia ambaye si wa kuzaliwa hakumkoseshi nafasi ya kuongoza (ubunge, uwaziri etc), isipokuwa ikiwa nafasi hiyo inataka mtu awe raia wa kuzaliwa, kama rais au makamu wa rais.
 
Uraia wa mtu unakuhusu nn? Kama wageni hata makabila ya hapa Tz 80% yana asili ya nje ya Tz...Kwa vile watu wameishi sana hapa ni raia wa hapa...


Kila siku panaibuka mambo ya kubaguana jambo halina tija kabisa.
 
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandari yetu ya Kigoma. Mzigo ukitoka Dar unaenda Kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?

CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
Njaa tu zinawasumbua, pambaneni na hali zenu
Hakuna kitakachobadilika, No 4 ataendelea kupeta wakati wewe hata mlo mmoja ni mgogoro
 
Njaa tu zinawasumbua, pambaneni na hali zenu
Hakuna kitakachobadilika, No 4 ataendelea kupeta wakati wewe hata mlo mmoja ni mgogoro
Ukisoma historia ya Tanzania, Mwalimu J.K Nyerere alipata tabu sana kuwafundisha Watanzania dhana ya uraia.

Nyerere alisimamia uraia wa Tanzania kama kitu ambacho mtu ambaye hata si mzawa anaweza kuwa nacho, kwa kiapo.

Jambo hili lilimletea upinzani mkubwa kutoka kina Christopher Kassanga Tumbo, na hata jeshini.

Mpaka akaletewa jaribio la mapinduzi na wanajeshi mwaka 1964. Akavunja jeshi na kuliunda upya kwa aibu kubwa.

Mpaka Nyerere akafanyiwa uasi na wanajeshi ambao hawakutaka kuongozwa na watu wasio wazawa.

Professor Paul Bjerk kaandika vizuri sana katika "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and tge Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960 -1964".

Ukisoma utaona kabisa Nyerere alivyopigania uraia wa Tanzania uwe na maana kubwa zaidi ya uzawa, na jinsi Watanzania wengi walivyokuwa hawajaeleea hilo somo.

Na mpaka leo, bado hawajaelewa hilo somo.

Wanaona mtu akizaliwa nchi nyingine, au akiwa na wazazi waliozaliwa nchi nyingine, hawezi kamwe kuwa raia wa Tanzania.

Xenophobia tu.
 
Sifa mojawapo ya mtu masikini ni wivu uliopitiliza. Sasa kama mtu kawa raia hata wa kuomba tu, kunashida gani akipata uongozi?

Embu acheni xenophobia, ingekuwa nyadhifa kama ya urais kweli tungeongea lakini hayo mengine hamna shida.

Dunia kwa sasa inakwenda kasi, kama bado waishi kama mkoloni lazima itakushinda.

Tunapoelekea miaka ya mbele kutakuwa na uraia pacha ni suala la muda tu. Nahisi tukifikia hiyo steji utajirusha ghorofani kuona mtu anauraia wa Gambia na Tanzania halafu kawa waziri.

Nadhani tujikite kwenye kuangalia taaluma na uwezo wa mtu katika kufanya kazi ndio tutapata maendeleo ya kweli na sio kuweka viraza kwenye position fulani kisa tu ni Mtanzania wa kuzaliwa.
 
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandari yetu ya Kigoma. Mzigo ukitoka Dar unaenda Kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?

CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
Labda kwakuwa huko uhamiaji kuna muingiliano na watu wa kutoka mataifa mbalimbali, hivyo wafanyakazi wake (uhamiaji) wanatakiwa wajue kukata mayai, na sisi mayai hayapandi, ndo wakachukuliwa wakenya. Wenzetu wakenya wanakata mayai balaa, angalia shule nyingi za inglishi midiam hapa kwetu, walimu wengi ni wakenya! Jamani tukienda shule tusome, sio kung'aa ng'aa macho tu, itafikia wakati hata mahausi geli watakuwa wakenya!
 
Sifa mojawapo ya mtu masikini ni wivu uliopitiliza. Sasa kama mtu kawa raia hata wa kuomba tu, kunashida gani akipata uongozi?

Embu acheni xenophobia, ingekuwa nyadhifa kama ya urais kweli tungeongea lakini hayo mengine hamna shida.

Dunia kwa sasa inakwenda kasi, kama bado waishi kama mkoloni lazima itakushinda.

Tunapoelekea miaka ya mbele kutakuwa na uraia pacha ni suala la muda tu. Nahisi tukifikia hiyo steji utajirusha ghorofani kuona mtu anauraia wa Gambia na Tanzania halafu kawa waziri.

Nadhani tujikite kwenye kuangalia taaluma na uwezo wa mtu katika kufanya kazi ndio tutapata maendeleo ya kweli na sio kuweka viraza kwenye position fulani kisa tu ni Mtanzania wa kuzaliwa.
Nasikia jirani zetu, kanchi kadogo tu, pamoja na kupitia misukosuko mingi, lakini sasa hivi mambo yao yamenyooka; elimu, uchumi, huduma kwa jamii, nk. Vipi wenzetu hawa nao wana muingiliano (kwenye uongozi) wa watu kutoka mataifa mbalimbali?
 
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandari yetu ya Kigoma. Mzigo ukitoka Dar unaenda Kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?

CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
Angenda ya CDF ina mashiko sana.
Ila tujiulize, kabla ya mipaka iliyowekwa na wakoloni 1884, hali ilikuwaje?
Kama Germany East Africa (ambayo ilikuwa eneo la Tanganyika+Rwanda+Burundi) ingeendelea kutawala mpaka uhuru, bila shaka wale ambao tunawaona sasa "sio ndugu zetu"; huu mjadala usingekuwepo.
UK inaongozwa na Risshi Sunak (mgabachori ambae baba yake ni amazaliwa Kenya+mama yake Tanganyika) asili yake India.
Barrack Obama ni mzawa wa Marekeni, baba Mkenya, mama Mmarekani.
Guy Scott (mzungu) kawahi kuwa makamu wa Rais Zambia na kabla ya hapo alikuwa waziri wa Kilimo.

Hao tunawaona kwa jicho la "kwanini", wengi wao mbona walizaliwa hapa? Unless kama kuna evidence beyond measure wanatuhujumu, basi wahukumiwe kwa dhambi ya hujuma na sio "rangi ya ngozi" au asili.

Mbona huko nyuma tumepigwa Kagoda, Tegeta Escrow, Meremera, Richmond, kuzalisha mvua za "mchongio" kwa mabomu toka Thailand, rada mbovu ya mchongo na watu wakavuta vijisenti na kuvificha Jersey.

Yote haya mbona yalifanywa na wengine ambao asili yao ni hapahapa.

Hoja ya CDF ina mashiko, ila tusijitumbukize kwenye ubaguzi ambao hauna mashiko.

Kwa wale wanaosoma biblia, Yusuf kawahi kuwa waziri mkuu Misri (second in command nchi ya ugeni) na mafanikio yake ilikuwa na set-up of food reserve system wakati wa neema ya miaka 7 ili wakati wa msoto wa njaa, Misri isihangaike kwa kukosa chakula.

Daniel, aliwahi kuwa Mkuu wa magavana wa nchi ya Babel enzi Nebkadneza, Belshaza, Darius na Cyrus.
Watanzania, tunamkubali sana CDF, ila tukumbuke toka enzi ya Nyerere tulikuwa na akina Amir Jamal, Bryceson wakiwa mawaziri enzi za Nyerere aliekuwa mzalendo kwelikweli.

Kila la heri Watanzania kwenye kuvumiliana, maana kuna namna tuna ndugu na jamaa hapahapa na nje ya hapa, na bado tunabaki na Utanzania
 
Kwa maslahi ya nchi aliyoikana
Unataka kuniambia mtu aliyezaliwa hapa ana uzalendo kuliko aliyezaliwa kwingine akachukua uraia WA TZ. hivi mafisadi wote waliozaliwa TZ na wakafilisi nchi hii(bila kutaja majina) ni wazalendo?

Mwenzenu Kagame ana mawaziri wengi na government workers waliokuwa naturalized citizens na Mambo yanaenda vizuri.
 
Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini).

Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo wao hapo EAC ni wao tu.

Ebu tufukirie yatuatayo!

Namba 4 Kuna tetesi siyo wa kwetu..wanasema anatoka Kwa MR Pk. Hata namba 2 kiasili siyo wetu. Ulikuwaje hadi mfumo ukampitisha namba 2 wakati siyo wetu...Je mfumo nao upo compromised.

Namba 4 aliongoza madini je madini yetu yapo salama? Namba 4 leo yupo umemeni Je imekuaje?

Mh. Rais tafadhali fanyia kazi haya. Kuna watu wanajifanya ni wahaya au wasukuma kwenye cabinet ila ni wa Kule.

leo umeme hamna..SGR inapelekwa Rwanda badala ya Kongo? How .! Kwann tusiimarishe bandari yetu ya Kigoma. Mzigo ukitoka Dar unaenda Kigoma unapitia lake Tanganyika unafika Kongo why lazma upite Rwanda.
Hivi why kila siku kesi tunashitakiwa na kushindwa.. why.?

CDF Asante sana.

Rais tusaidie.
Kuna idara nyingine nyeti sana pia zimejaa hao wahamiaji na wana nyaraka zote halali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom