Tanzania tunashindwa kuwapa miradi wazawa hadi tunawapa Wachina?

Tanzania tunashindwa kuwapa miradi wazawa hadi tunawapa Wachina?

Tof

Tofautisha watu binafsi na mashirika ya CCM .
Wapo wazawa wengi sana wenye uwezo wa kuendesha makampuni yao tatizo ni Nchi kuvaliiwa na wageni kuanzia kwenye siasa .

Miaka miwili mama ameshirikiana na Doto Biteku waleuza maeneo yote yenye madini ya Tanganyika.
Kongo ina wadekezaji wengi kuliko Tanzania lakini nchi haina amani kutokana na uwekezaji wa kijambazi unaofanywa watawala wanaowaza kwenda kuishi Ufaransa kula bata. Tanzania tumepata watawala wanaowaza kwenda kuishi Dubai tutakoma na kukomaga.
Hakuna mzawa anaweza kuoenya uchafu wa ccm,
Mwadilifu hatakiwi utatumbuliea kisa hutoi rushwa ama upendeleo
 
Mkuu, shida ni mitaji na technology,
Wew ulikuwa na hio dollar 77M tukupe ?
Technology hii hii ambayo wenzetu Wamefanya 1650 bila ya kua na hata ya robo tatu ya sayansi kama vile umeme na technology kama vile internet, smartphone, AI bado tunashindwa aaah niishie tu kusema we low minded people.

Kuhusu mtaji sio tatizo japo Kwa mtu mmoja mmoja au kampuni la ki TZ inaweza kuwa tatizo. Ila wakirusu makundi ya watu wanyichanganye wenye pesa, Maarifa, nguvu, ujuzi wanaweza kufanya japo Kwa makundi madogo madogo Hadi kuupita hata huo mtaji wa M77

We ji ulize hata kwenye kilimo tungenza kutaka farmers tu walime na kuwatupilia mbali peasants nadhani tungekufanya Kwa njaa. Mfano nenda ubaruku mbeya angebaki yule mwekezaji tusingeona ubaruku vile ilivyo yaani magodown na mashine za kutosha.

Hivyo hata Kwenye madini na viwanda tufanye hivyohivyo Kwa makundi madomadogo kuepuka kusubiri wawekazaji kutoka nje Wenye mitaji Mikubwa lakini wanyonyaji.
 
Wazawa gani hao?
ATCL imefanikiwa?
Mwendokasi una hali gali
TTCL inaishi?
Nitajie kitu kimoja tulichofanya wazawa kikafanikiwa
Siongelei state owned companies ambapo mchina dunia ndio kafanikiwa naongelea wazao na mambo Yao binafsi yaani sio ya serikali
 
Asipokuelewa na hapa basi tena. Sisi hatuwezi cho chote mbali na kuiba. Wewe fikiria mwekezaji wa Kiarabu wanamnunulia mabasi mia ili aje kuendesha mradi wa mwendokasi ambao kimsingi una kila kitu. Unakuta abiria wamerundikana pale kisa eti mkatisha tiketi hana chenji. Just imagine!

We are hopelessly incompetent. Hata uongozi wa nchi wakipewa wawekezaji kwangu ni sawa tu [emoji706]
So sad mkuu ila tusijikatiee Tamaa mwenzetu magufuli alijaribu kutumulikia bahati mbaya hatunae tena
 
Wazawa Gani sasa hivi wote tunawaza loophole tule. Angalia tu vijana kwenye nyuzi za ajira kila mtu ana mindset ya sehemu nzuri ya mawindo[emoji23][emoji23]. Kwa ubatizo wa jina la asali. Hata kazi hajajua Anawaza asali
Hahahaha Duuu! Basi tunawasomi pia wahovyo
 
Tof

Tofautisha watu binafsi na mashirika ya CCM .
Wapo wazawa wengi sana wenye uwezo wa kuendesha makampuni yao tatizo ni Nchi kuvaliiwa na wageni kuanzia kwenye siasa .

Miaka miwili mama ameshirikiana na Doto Biteku waleuza maeneo yote yenye madini ya Tanganyika.
Kongo ina wadekezaji wengi kuliko Tanzania lakini nchi haina amani kutokana na uwekezaji wa kijambazi unaofanywa watawala wanaowaza kwenda kuishi Ufaransa kula bata. Tanzania tumepata watawala wanaowaza kwenda kuishi Dubai tutakoma na kukomaga.
Tusipo angalia watukuja hata kwenye kilimo na biashara ambako ndio mzawa kaachiwa afanye Ili tuendelee wa maskini
 
Halafu tunalia ajira hakuna, sijui think tank ya huyu mama iko wapi
Wasomi wasio na ajira wamejaa wakiuliza Ajira wanabiwa wakajiajiri wakienda kujiajiri kwenye sector nje na kilimo na biashara wanakutana na Wageni tena wanapigwa promo ni balaaa
 
Wasomi wasio na ajira wamejaa wakiuliza Ajira wanabiwa wakajiajiri wakienda kujiajiri kwenye sector nje na kilimo na biashara wanakutana na Wageni tena wanapigwa promo ni balaaa
Waliosema nchi inauzwa hawakukosea
 
Hakuna mzawa anaweza kuoenya uchafu wa ccm,
Mwadilifu hatakiwi utatumbuliea kisa hutoi rushwa ama upendeleo
Ni kweli kabisa mana kila kitu kilichopo kwenye maendeleo ya kisasa ni matokeo ya Elimu ya sayansi na uchumi. Na watanzia kwa sasa wanauwezo mkubwa sana kielimu .Tatizo ni mfumo wa chama kushika hatamu na kuwaweka makada wa CCM kila idara . HIZI BODI ZA LASHIRIKA YA UMMA NI RUSHWA TU NA KUPENYEZA WATOTO WAO WAPATE AJIRA KWENYE MAKAMPUNI HAYO
 
Tusipo angalia watukuja hata kwenye kilimo na biashara ambako ndio mzawa kaachiwa afanye Ili tuendelee wa maskini
Tusipopaza sauti huyu mama atauza mpaka miji na kubinafsisha majiji na halmashauri .
Nchi inauzwa kwa kasi kubwa sana sijui hata anafikiria nini . Halafu kwa bei rahisi sana . Hivi kweli bil. 75 unauza mlima wa chuma na makaa ya mawe.

Yeye anashida gani wameshashika tenda za kusafirisha makaa ya mawe kwenda Kenya na Malori yao. Yanabebwa usiku na mchana kama vile wanahama nchi.
 
Tusipopaza sauti huyu mama atauza mpaka miji na kubinafsisha majiji na halmashauri .
Nchi inauzwa kwa kasi kubwa sana sijui hata anafikiria nini . Halafu kwa bei rahisi sana . Hivi kweli bil. 75 unauza mlima wa chuma na makaa ya mawe.

Yeye anashida gani wameshashika tenda za kusafirisha makaa ya mawe kwenda Kenya na Malori yao. Yanabebwa usiku na mchana kama vile wanahama nchi.
Hafu taarifa inasema product itakuwa chuma ghafi yaani naona watachimba tu bila kuprocess
 
Yaani uchimbaji na uhunzi wa madini ya chuma leo 2024 ambapo wenzetu wanafikiria akili mnemba(AI) umeshindikana Mpaka mmetafuta kampuni ya kichina. Kwamba mmeshindwa kuwapa motisha kampuni za wazawa na vijana wazawa na nyinyi wenyewe mkishiriki Kwa pamoja. Hafu utasikia mabeberu wanatunyonya hawapendi tuendelee looo!View attachment 3061593
Kwa wale wahun wapale Arusha wangepewa hyo migodi nakumbuka pale mererani samaks alivo kuwa anaibiwa mpaka akakimbia mweny saiv weny ndy wanamilik migod yote n watanzania mchna nae aibiwe tu amna namna
 
Kwa wale wahun wapale Arusha wangepewa hyo migodi nakumbuka pale mererani samaks alivo kuwa anaibiwa mpaka akakimbia mweny saiv weny ndy wanamilik migod yote n watanzania mchna nae aibiwe tu amna namna
Tena Kwa jinsi wanavyo treat wafanyakazi kama wanyama ni miezi minne tangu nifukuzwe kama mbwa tena pekupeku tena mradi wa mahakama kabisa bila ya kosa la kueleweka. Mara ya kwanza nilikua naona jamaa Wanao muibia mchina wanakosea kumbe ni mm ndo nilikua bado Nipo gizani na nikaondaka na hii " kumuibia mchina sio ila ni kufidia Haki za watanzania zinazopolwa na wachina"
 
Hafu taarifa inasema product itakuwa chuma ghafi yaani naona watachimba tu bila kuprocess
Kuchimba tu si angechimba wazawa.

Hayo si kama mawe ya tu yanapatikaka layer ya juu kabisa wala hayahitaji mitambo inayoendeshwa na robort.

Lakini kwa nini wasiwalete Wachina na watu wengine hata kutoka Rwanda wakawekeza kwenye Viwanda vya Chuma kisha wazawa wakachimba hayo makaa ya mawe na madini ya chuma wakauza kiwandani. Ajira zibaki hapa Tanzania . Mnje tuuze Chuma. Afrika nzima na asia ndio kuna ujenzi mkubwa unaibuka na huko Uarabuni hivyo soko la chuma ni kubwa sana .

Rais Samia ameingia madarakani tu kitu cha kwanza ni kukimbilia Kenya kuweka mkataba wa kuwauzia Makaa ya mawe na sasa ni mwaka wa tatu melfu ya masemi trailer yanasomba makaa ya mawe usiku nachana. Tenda ya kusomba hayo makaa anajua mwenyewe nani mmiliki wa hayo masemi mana yalinunuliwa kwa fujo sana baada ya huo mkataba. Huyu atakua wapi na uzalendo na Tanganyika zaidi ya kuangalia maslahi yake . Hapo alichoangalia ni kupata tenda ya kusomba makaa ya mawe na kuingiza fedha kwenye familia lakini nchi itapata nini hayo mtayaangalia nyie wenyewe.

Miaka mitatu madini ya makaa ya mawe yanasombwa kwenda nchi za nje kwa mamilioni ya tani hata kama kila tani ni sh. 100K mpaka sasa yameenda kwa maelfu
Watanganyika hatujitambui kabisa. Hatuwezi kufanya utabiri wa miaka 50 ijayo mbele tutakua kama taifa moja au nchi yenye mappande ya ma setler wanaomiliki himaya kama ilivyo Loliondo kwa waarabu na wajukuu zetu kuwa watumwa wasioweza hata kuoa na kuzaa mana hawana hata ardhi ya kujenga na kulima au kufuga . Hawa mamilioni ya wafugaji wanaoporwa ardhi zao na Biteko na Bosi wake na kuwauzia wazungu na Waarabu ili wachimbe madini watakwenda wapi maana watoto wao elimu waliyo nayo ni kufuga. Na sasa kila sehemu nchi nzima inauzwa kwa wajanja wanaoitwa wawekezaji na hatuoni tija zaidi ya kukopa kopa tu na kununua magari ya kifahari na wao kumiliki mali zisizoelezeka.

Mbona Magufuli amekaa madarakani miaka 6 hatuoni mali zake alizojikusanyia zaidi pia alikaa miaka 20 kama waziri. Mbona hatuoni mali za Mh.Philipo Mpango wakati alikua waziri wa Fedha miaka 6 ya JPM na uchumi wa nchi ukapanda bila tozo umiza na mikopo na misaada lakini pia hakuuza ardhi yetu wala madini yetu.Mafuta yakashuka bei mpaka 1500 PL.

Tatizo ni pale juu hakuna uzalendo .Anawaza mitano tena tu na sio Taifa na watu mil.65 na vizazi vyao ndio maana anauza kila kitu apate pesa za haraka haraka na kukamilisha miradi katikati ya matumizi ya anasa na starehe kabla ya 2025 arudi tena kuweka mikakati ya kuweka mtu atakayelinda uovu wao. Wazalendo kama akina Mpina wasipopambana sasa 2026 vita yake itakua ni kati ya mabeberu wa ndani wakisaidiana na wa nje kuweka madarakani watu wao kwa gharama yoyote ili kazi iendele.
 
Yaani uchimbaji na uhunzi wa madini ya chuma leo 2024 ambapo wenzetu wanafikiria akili mnemba(AI) umeshindikana Mpaka mmetafuta kampuni ya kichina. Kwamba mmeshindwa kuwapa motisha kampuni za wazawa na vijana wazawa na nyinyi wenyewe mkishiriki Kwa pamoja. Hafu utasikia mabeberu wanatunyonya hawapendi tuendelee looo!View attachment 3061593
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Tena Kwa jinsi wanavyo treat wafanyakazi kama wanyama ni miezi minne tangu nifukuzwe kama mbwa tena pekupeku tena mradi wa mahakama kabisa bila ya kosa la kueleweka. Mara ya kwanza nilikua naona jamaa Wanao muibia mchina wanakosea kumbe ni mm ndo nilikua bado Nipo gizani na nikaondaka na hii " kumuibia mchina sio ila ni kufidia Haki za watanzania zinazopolwa na wachina"
🤣🤣🤣 mkuu usimuone huruma kiumbe ujakizaa pga pesa amnaga zambi kweny mali yetu maana niyetu hyo rasimali
 
Yaani uchimbaji na uhunzi wa madini ya chuma leo 2024 ambapo wenzetu wanafikiria akili mnemba(AI) umeshindikana Mpaka mmetafuta kampuni ya kichina. Kwamba mmeshindwa kuwapa motisha kampuni za wazawa na vijana wazawa na nyinyi wenyewe mkishiriki Kwa pamoja. Hafu utasikia mabeberu wanatunyonya hawapendi tuendelee looo!View attachment 3061593
Pesa inatoka kwao bro,
Tukienda kukopa kwa, mchina, sharti mojawapo lazima mkandarasi awe mchina, tena wanakuchagulia wao, na gharama ya kumlipa,
Pesa haiwezi kutoka china harafu mkandarasi, awe mzungu,au mturuki, hata pesa ya World Bank ni hivyo hivyo,
Ili wakandsrssi wetu wapate kazi, pesa inabidi itoke hazina,sasa mapato ya ndani ni machache, maaana mkipigwa tozo,mnalia Lia, sasa, mama afanyeje? Lazima ukakope kwa masharti ya mkopeshaji
 
Back
Top Bottom