cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Habari iwafikie Taifa Stars na washirika wake wanaosema,tunahitaji uzoefu wakati Madagascar ni mara ya kwanza lakini inasonga,na kuingia robo fainali
Tuseme ukweli Tanzania hatuna ile ya kujitoa kwa ajili ya Taifa, tunakalia tu siasa na mbwembwe kwenye kamera
Tuseme ukweli Tanzania hatuna ile ya kujitoa kwa ajili ya Taifa, tunakalia tu siasa na mbwembwe kwenye kamera