FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Leo hii marekani akiamua kujichapishia madollar yake vile anavyotakabthen akaja bongo kununua ng'ombe wrote tulionao na kutuacha maskini tunamzuiaje. And how do we know hafanyi hivyo on a moderated scale na kututia umaskini. Wanajichaposhia makaratasi na kuja kutalii bongo na dollar zao. If they get good and services internationally for their papers then they should also give goods and services internationally for their bills (contract), other wise wanatuibia!Usishangae kuona hivyo. Tambua yakuwa USD ndio means of exchange ya biashara na ....ing katika miamala ya ndani. Ila bado wafanyabiashara wanapendelea USD kwasababu inwa TZS ndo maana kuna watu wanasema TZS ni fedha ya madafu . Kwahiyo usishangae kuona watu wanapenda USD.