FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #21
Leo hii marekani akiamua kujichapishia madollar yake vile anavyotakabthen akaja bongo kununua ng'ombe wrote tulionao na kutuacha maskini tunamzuiaje. And how do we know hafanyi hivyo on a moderated scale na kututia umaskini. Wanajichaposhia makaratasi na kuja kutalii bongo na dollar zao. If they get good and services internationally for their papers then they should also give goods and services internationally for their bills (contract), other wise wanatuibia!Usishangae kuona hivyo. Tambua yakuwa USD ndio means of exchange ya biashara na ....ing katika miamala ya ndani. Ila bado wafanyabiashara wanapendelea USD kwasababu inwa TZS ndo maana kuna watu wanasema TZS ni fedha ya madafu . Kwahiyo usishangae kuona watu wanapenda USD.
Kwa hiyo China na Japan hukataa pesa yao wenyewe? Ukienda Japan kununua gari kwa JP Yen watakukatalia?!pia hata .......na na Japan acheki kwa mtandao price yake ipo kwa USD.
Umekariri vibaya, naweza agiza maembe Kenya kwa Kenyan shillings. Kule China naweza pata huduma zote kwa Yuan.Usiwe mbishi. UnaNaw kutumia google kupata jibu na sio kuangalia porn.
Kifupi ni kwamba biashara zote za kimataifa lazima zihusike pesa za kimataifa kama Euro, Pound au Dollar.
Hata ukiagiza maembe hapo Kenya lazima utumie moja kati ya pesa hizo hapo juu.
Kwa kuwa Dollar zinapatikana kirahisi na zinaqualify kuwa 'vehicle currency' ndio maana biashara nyingi wanatumia dollar.
Hujawahi kuona hata tiketi za ndege za nchi nyingi wanaweka kwa dollar?
Huko China utapata kila huduma kwa kutumia Dollar.
Ukienda na Yuan watakukatalia?Umejibu vizuri bro.
Kwa kuongezea, Alibaba ni mtandao wa wachina ila bei za kule zote zimewekwa kwa Dollar.
jaribu!Ukienda na Yuan watakukatalia?
Wachina wanajaribu kila siku! Wananunua kila kitu kwa Yuanidoyo said:jaribu!
Usisahau noti ni karatasi tu ila imepewa mamlaka. Hata iandikwaje kama imenyan'ganywa mamlaka au nguvu haina maana. Ni kama kuwa na noti ya 10000 ya zamani utaitumia wapi wakati haina tena uhalali!?Hivi marekani from noehere wakachapisha let's say dollar trillion 100 wakasema wanaitaka Kigamboni tunawazuiaje wasiinunue? Watupe karatasi sisi tuwape ardhi
Kumbuka dollar inatumika kote duniani hivyo athari ya kuchapisha pesa inasambaa kote duniani. Tunawadhibiti vipi wasichapishe pesa zaidi ya bidhaa na huduma walizozalisha?Usisahau noti ni karatasi tu ila imepewa mamlaka. Hata iandikwaje kama imenyan'ganywa mamlaka au nguvu haina maana. Ni kama kuwa na noti ya 10000 ya zamani utaitumia wapi wakati haina tena uhalali!?
Biashara ni kutengeneza faida kwa hiyo utaangalia faida na hasara ya kufanya au kutofanya biashara hiyo.
Dollar Global currency .helewa hilo alafu endelea kulalamika kuanzia hapoKila mahali watu wana gombania dollar ya kimarekani , lakini cha kushangaza hanunui toothpick, simu, gari wala hata kahawa kutoka marekani. Vitu kama hajanunua China, basi atanunua Japan, la sivyo atanunua vya humu Tanzania. Sasa hii shobo ya kutaka dollar ni ya nini? Kwanini msitake Chinese Yuan au Japanese Yen kwenye bureau offices, au China na Japan hukataa pesa yao wenyewe?! Hivi hizo dollar mnanunuliaga nini huko marekani?
Global currency inajibu vipi hojaDollar Global currency .helewa hilo alafu endelea kulalamika kuanzia hapo
Ujue hata mimi huwa napasuka kichwa , hivi utaratibu wa uchapaji doller za kimarekani ukoje? maana duniani kote noti yao imetapakaa. wakati si kweli kuwa dunia inategemea bidhaa nyingi kutoka marekani. Mfano nchi nyingi za kiafrika zinategemea bidhaa nyingi sana toka nchi za China, Japan,india,Singapore (Asia) kwa ujumla, lkn sijaona noti za hizo nchi zikiwa zinapatikana kwa wingi kama ilivyo doller, nimejaribu kuangalia chumbani kwangu mpaka ofisini kwa boss sijakuta bidhaa kutoka marekani, nimeanda mpaka kwa majirani mta mzima nikawauliza kama kuna mwenye bidhaa kutoka marekani ndani kwake, majibu ni hakunaHivi marekani from noehere wakachapisha let's say dollar trillion 100 wakasema wanaitaka Kigamboni tunawazuiaje wasiinunue? Watupe karatasi sisi tuwape ardhi
mbona signature yako umeandika kwa kimombo nani alikuwekea plus your avatar.My question stands. Nifafanulie, mi sijui kiingereza cha kwenye Google huko
yaan hata mimi huwa sielewei. At least pawe na usimamizi katika uchapishaji Wa dollar ili wasija wakachapisha noti nyingi zaidi ya ukuaji Wa uchumi wao, otherwise wanatunyonyaaUjue hata mimi huwa napasuka kichwa , hivi utaratibu wa uchapajichi nyingiizo nchi sijakuta bidhaa kutoka marekani, nimeanda mpaka kwa majirani mta mzima nikawauliza kama kuna,..,..... marekani ndani kwake, majibu ni hakuna
sasa km hakuna matumiz ya hizo hela.zitumike za nn??ulishawahi kusikia mafuta yanauzwa kwa yen??au yuan???hata kwa pound japo nayo inanguvu.nenda shule ndugu elimu bure au km umesoma bc utakuwa umesoma mambo ya kijamii zaidi km ni biashara ungefaham.