Tusubiri mashindano ya kukata mauno labda hiyo haina ubishiWachezaji 7 tuu 😆😆
Huwa nashangaa Kenya inatuzidi Kwa kipi hasa?
Tanzania tuna wakimbiaji wa Marathon kwa wanaume
Tumejitahidi lakini Watanzania! Na supoort kubwa kutoka kwa Bongo Zozo! Nimemuoa leo akiwapatia support kina Simbu! Amemaliza nafasi ya 17 huku mwenzake akishindwa kumaliza. Kilomita 42 sio mchezo aisee. Jirani yeye kupitia kwa Benson Kipruto amepata nafasi ya tatu.