SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,068
- 1,150
Serengeti boys leo ilikuwa inacheza mchezo wa fainali dhidi ya Somalia huko nchini Burundi katika mashindano ya CECAFA U17. Mchezo ambao umeisha kwa Serengeti boys kuifunga Somalia (Ocean Stars) magoli mawili kwa bila hivyo kutwaa kombe hilo la CECAFA U17.
Hongera Serengeti Boys, Hongera Tanzania.
Hongera Serengeti Boys, Hongera Tanzania.