Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Kwa hiyo kujiajiri ni duka tu. Wengine tunafanya shuguli za msimu unatengeneza pesa ya kula mwaka mzima ndani ya miezi minne . Mfano biashara ya kununua mazao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaamshe waache waendelee kulala na ajira za serikaliniKwa hiyo kujiajiri ni duka tu. Wengine tunafanya shuguli za msimu unatengeneza pesa ya kula mwaka mzima ndani ya miezi minne . Mfano biashara ya kununua mazao
Wewe fisadi hujambo?. Toka ule teuzi unashaur vijana ujinga tu... wajiajiri wabeti auKwa hiyo kujiajiri ni duka tu. Wengine tunafanya shuguli za msimu unatengeneza pesa ya kula mwaka mzima ndani ya miezi minne . Mfano biashara ya kununua mazao
Mkuu Nikki Sio Mtumishi wa umma.Aliyejiajiri akumwa utamuonea huruma hata Bima ya Afya hana
😆😆😆
Ukiwasikia sasa mtaani maisha yakiwapiga
1. Kuajiriwa ni utumwa
2. Kuajiriwa unakosa uhuru- wakati anaamja saa kumi na moja asubuhi anarudi saa nne usiku- kuna uhuru gani hapa
Hawajiulizi Nikki wa Pili akiona wivu kwa wanaaheria wanapiga michongo ya pesa ndefu huku yeye alisoma masters ya sociology kakosa ajira alianza nyimbo za kuwananga walioajiriwa akaja na wimbo wa
- Mimi sitaki kuajiriwa
- Sitaki kutumwa natama kujituma
- Sitaki kazi, sitaki kuajiriwa
Alipopata upenyo wa DC hakugeuka nyuma na music akatupa kule.
We huoni Mtoto waMjini na michongo yake kaamua kuwa mtumishi wa Umma Ms Jokate?
Chawa woote wanatafuta ajira serikalini.
90% workforce Tanzania ni walojiajiri kwenye kilimo, machinga, chips, dagaa na samaki, bodaboda na mitumba wamechoka vibaya mno.
Umejitahidi sana kuwatetea.Mkuu Nikki Sio Mtumishi wa umma.
Jokate sio mtumishi wa umma.
Hao wote hawana Check Number, Jokate ni Mwanasiasa anayetumikia Chama chake.
Wamejiajiri kwenye siasa.
Acha uongo mkuu, kuajiriwa maanake unapokea pesa at a given time yaani weekly, monthly etc.Mkuu Nikki Sio Mtumishi wa umma.
Jokate sio mtumishi wa umma.
Hao wote hawana Check Number, Jokate ni Mwanasiasa anayetumikia Chama chake.
Wamejiajiri kwenye siasa.
Maana nyingine ni kuwa unapokea maagizo kutoka kwa mtu mwingime mwenye mamlaka juu yako kwenye utendaji kazi wako.Acha uongo mkuu, kuajiriwa maanake unapokea pesa at a given time yaani weekly, monthly etc.
Sasa ukisema wamejiajiri wakati hawana uwezo wa kuamka kesho wakasema hawaendi kazini unakuwa hueleweki.
Nafikiri mkuu hujamuelewa mtoa mada, yeye anawazungumzia walioajiriwa katika utumishi wa umma, Yaani Boss wao ni Katibu Mkuu Kiongozi Direct, Nikki na Jokate wao Katibu Mkuu Kiongozi sio Boss wao, hana uwezo wa kuwafuta kazi.Acha uongo mkuu, kuajiriwa maanake unapokea pesa at a given time yaani weekly, monthly etc.
Sasa ukisema wamejiajiri wakati hawana uwezo wa kuamka kesho wakasema hawaendi kazini unakuwa hueleweki.
Imagine hizi ndo akili za waliojiariwa..Huyo ni mwajiri, Business owner. Huyo "hajajiajiri". Know the difference.
Mada inazungumzia "waliojiajiri".