Tanzania ukitaka kutajirika wekeza kwa wajinga na masikini

Taikoni vs Walala hoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jamaa anawachukia masikini sana[emoji23][emoji23][emoji23]. Utawatisha, hawatoingia[emoji23][emoji23][emoji23]

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hapana Mkuu sipo hivyo.
Ila napandikiza sumu watu wauchukie umasikini, wasione sifa kuwa Masikini.
Wakiuchukia umasikini automatically nchi hii itasonga
 
Nimekusoma

Naenda kufungua kiwanda cha gongo
 
Hapo namba Tano hapo Kuna ukweli mwingi na mifano halisi
 
Kiukweli masikini roho ama moyo wake Ni cheap mno kuuteka ama kuununua na ukufanyie unachotaka. Sema hao masikini ukipigika ndio utajua umuhimu wao muda huo matajiri wenzako hawana habari nao. Na wao Ila Wana umuhimu wao wajameni.
Kabisa!! Matajiri wenzako wanakutenga
 
Sijui kwanini umemwaga hii siriiiiiii ungewaacha wajinga tuwapige vizuriiiii πŸ˜€ nakumbuka 2010 nimemaliza chuo hapo UDSM nikaaanza biashara ya dildos mpaka kufika 2015 nina 250M kwenye A/C ambazo zimenisaidia kuvuka nchi kuja kuishi canada, Hapa natafuta njia nyingine ya kuja kupiga hela Tanzania, kiukweli Tanzania ni mahali pazuri pa kupiga hela ndefu kupitia UJINGA na UMASKINI wa watu wanaoishi hapo ila sio kuishi. Robert umemaliza.
 
Na ndio hicho kimenifanya nitinge karibuni bongo. Nimetenga dollar elfu kumi mahsus kwa kugongwa tuuu. Na nitaajikisha natumia siyo zaidi ya elfu hamsin kwa Kila mbususy
Kumbuka kuna UKWIMWI.
 
Nikupongeze kwa andiko hili, ni zurr japo machache tu umekosea:
Nyumba za ibada watu hawapigi pesa, wanaandaa watu kuishi maisha salama ya baadaye, uwe tajir au maskini, mjinga ama mwenye hekima, mwerevu ama mpumbavu
 
Nikupongeze kwa andiko hili, ni zurr japo machache tu umekosea:
Nyumba za ibada watu hawapigi pesa, wanaandaa watu kuishi maisha salama ya baadaye, uwe tajir au maskini, mjinga ama mwenye hekima, mwerevu ama mpumbavu

Karibu sana
 
Hii ni CCM tupu! Mungu atusaidie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…