Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weee huyo ndio SI unit?
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo kwako Paskali ni superior sana?!
Vipi suala la bahasha kwa waandishi ziwepo au zisiwepo ?Naunga mkono hoja
P
Karibu Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni RushwaVipi suala la bahasha kwa waandishi ziwepo au zisiwepo ?
Hiyo 2002 uliyoweka kwenye huu urojo wako inahusu nini?Tanzania ni nchi safi sana kufanya clean politics. Wananchi wake ni wepesi kukufollow na ni wepesi kukuona mchumia turbo, mlafi na mazabizabina. Mpenda kula, mpenda biashara badala ya kutembea katika mstari wa utumishi.
Ukiwa upinzani inabidi zaidi uwe mtumishi wa umma.
Siasa kidooogo utafanikiwa.
Watanzania ni watu wazuri sana. Mtu mzuri anaweza bezwa ila sio mjinga hata kidgo. Ni Walpole na wenye sura wakati wote wanaona ni bora ibaki ccm pekee kuliko hii vyama, wengine wanakwenda mbalizaidi kwamba ni bora mkoloni yule German au Britain kuliko mkoloni mweusi.
Upinzani unakuwa kama unashindwa kucheza karata kudeal na serikali. Ni timu ambayo inafungwa magoli tu tangu mwaka 2002.
Natamani ccm ipambane imuondoe mkoloni mweusi aliye chamani upinzani unatia kinyaa.
Hata hiyo rudhuku hamstahili.
Mf.Kina halima mzee wameamua kwenda kula posho na kupiga domo bila kuwa na chama bora wangeanzisha chama.chao. bungeni wapo kama nani.
Prof lipumba kwanini hakai pembeni?
Mnapata nini huko chamani
Ni kweli upinzani Tanzania ni michosho. Mfano Chadema wamepata mtaji mpya wa kuwaingiza ikulu ki trampu trampu, suburia Jumamosi, huchelewi kuambiwa lile kokoro lao linarudi!.Tanzania ni nchi safi sana kufanya clean politics. Wananchi wake ni wepesi kukufollow na ni mpenda kutembea katika mstari wa utumishi.
Ukiwa upinzani inabidi zaidi uwe mtumishi wa umma.
Siasa kidooogo utafanikiwa.
Watanzania ni watu wazuri sana. Mtu mzuri anaweza bezwa ila sio mjinga hata kidogo. Ni Walpole na wenye sura wakati wote wanaona ni bora ibaki ccm pekee kuliko hii vyama,
Upinzani unakuwa kama unashindwa kucheza karata kudeal na serikali. Ni timu ambayo inafungwa magoli tu tangu mwaka 2002.
Hata hiyo rudhuku hamstahili.
Mnapata nini huko chamani
Kiukweli upinzani unatia hasira!.Naunga mkono hoja
P