barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hebu ni kumbushe kenya kama si Uganda wameanzia ugenini hivi walicheza na nani vile? Ni majuzi tuu ili nijaribu kupima unacho sema..
Mkuu, Carpe Verde wako juu sana, kenya wapo chini ya carpe verde!
Alichosema jamaa yuko sahihi.