barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hebu ni kumbushe kenya kama si Uganda wameanzia ugenini hivi walicheza na nani vile? Ni majuzi tuu ili nijaribu kupima unacho sema..
Biashara imekwisha..tukutane 2022
Waambie wachakachue kama kura za Lowassa
Kwa sababu ya ubokoharamu wao khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni waisilamu wajinga tu ndio wanaofanya hivyo lakini wakipata shida wanakimbilia nchi za kikristo.
Mh sitaki kuamini 2-2, kibao kiligeuka kumbe
Hayo uliyoyaandika yanahusiana nini na hii mechi?!! Haya ndio matatizo ya kuishi kwa kukariri!!