Na mimi nawatakia kila la kheri ila kutokana na kiwango chao nawapa 2% ya kufuzuBest wishes kwa Tanzania. Ingawa nawapa 10% ya kufuzu.
Kama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!Kuna Kibu Denis pale 😁
Hayo maajabu yatasababisha vifo vya Watanzania wengi sana wakiwa huko Qatar!! Maana wakati wa michezo yao, Watanzania wengi tutakua tunaishikilia mioyo yetu mikononi.😀😀 Watafanya maajabu.
Ngao ya jamii ipi wewe utopoloKama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!
Dogo umezaliwa baada ya tarehe 25/09/2021?Ngao ya jamii ipi wewe utopolo
Kibu hakuchezaKama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!
Kibu hakuchezaDogo umezaliwa baada ya tarehe 25/09/2021?
nina wasiwasi kuwa mpira hukuangalia ulipata story za vijiweni ndo umekuja nayo apa jf..Kama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!
Ushindi mapema sana.Ila hii game ya kesho vipi, ushindi upo lakini?
Kibu hakucheza ngao ya jamii hata benchi hakuwepo alicheza simba day vs mazembe na alifanya vizuri sanaKama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!