Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
Kibu alicheza ngao ya jamii ipi wewe utopolo wa kijani?Dogo umezaliwa baada ya tarehe 25/09/2021?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu alicheza ngao ya jamii ipi wewe utopolo wa kijani?Dogo umezaliwa baada ya tarehe 25/09/2021?
samatta anatupiahii ngoma ni droo
nimempa CONGO MazimaIla Taifa Stars ya Sasa ni kama imechangamka kiasi, Soka linachezwa tofauti na siku za nyuma.
Naitakia ushindi wa Goli moja au droo. (Nimeshawabetia hivyo ole wenu mchane mkeka wangu)
Madagascar hawatabiriki wale, wanaweza kutoa droo maana kila timu inataka nafasi hivyo ngoma inaweza kuishia kwa suluhu. Hizo game zilizobaki umetega vizuri ndoano.nimempa CONGO Mazima
TANZANIA 1X
Uganda or draw
kenya total u3
Uwepo wa 'captain' Bocco unatuhakikishia ushindi wa goli 3-1Tanzania(Taifa stars) and Benin meet at Mkapa Stadium on Thursday in a battle between two sides at the top of their World Cup 2022 qualifying group.
The sides are level on points and goal difference ahead of their double-header this week, with Tanzania set to travel to Benin on Sunday.
Another game of Group J is DR Congo vs Madagascar.
Haupo!!!!labda tu kuwa MUNGU SIO MZEE MKUMBA,Ila hii game ya kesho vipi, ushindi upo lakini?
Mmeanza uchawi wenuMwamnyeto na Job hawana experience wala international pedigree ya kucheza mechi kama hizi
Ni makosa makubwa sana kujaza watu ambao maisha yao hawajawahi hata kuona group stage ya CAF confederation cup inaonekanaje.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwamnyeto na Job hawana experience wala international pedigree ya kucheza mechi kama hizi
Ni makosa makubwa sana kujaza watu ambao maisha yao hawajawahi hata kuona group stage ya CAF confederation cup inaonekanaje.
Yule Mcongo wa Simba mbona hayumo kwenye list?Kikosi kinachoanza.
1.A.Manula 2.P.Mwenda 3.M.Hussein 4.D.Job 5.B.Mwamnyeto 6.N.Dismas 7.M.Yassin 8.F.Salum 9.J.Bocco 10.M.Samatta 11.S.Msuva
KILA LA KHERI NCHI YANGU TANZANIA.
Waambie sasa na wenzako nimewaelewa. Huenda nilimchanganya na yule mshambuliaji wenu hatari. Chris Mugalu.Kibu hakucheza ngao ya jamii hata benchi hakuwepo alicheza simba day vs mazembe na alifanya vizuri sana