Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

Ila Taifa Stars ya Sasa ni kama imechangamka kiasi, Soka linachezwa tofauti na siku za nyuma.

Naitakia ushindi wa Goli moja au droo. (Nimeshawabetia hivyo ole wenu mchane mkeka wangu)
 
Ila Taifa Stars ya Sasa ni kama imechangamka kiasi, Soka linachezwa tofauti na siku za nyuma.

Naitakia ushindi wa Goli moja au droo. (Nimeshawabetia hivyo ole wenu mchane mkeka wangu)
nimempa CONGO Mazima
TANZANIA 1X
Uganda or draw
kenya total u3
 
Correct Score
3-2 .................. 60,000/=
2-3 .................. 60,000/=
2-2 .................. 20,000/=
 
Tanzania(Taifa stars) and Benin meet at Mkapa Stadium on Thursday in a battle between two sides at the top of their World Cup 2022 qualifying group.

The sides are level on points and goal difference ahead of their double-header this week, with Tanzania set to travel to Benin on Sunday.

Another game of Group J is DR Congo vs Madagascar.
Uwepo wa 'captain' Bocco unatuhakikishia ushindi wa goli 3-1

Mungu ibariki taifa starz
 
hivi manabii wetu hawawez tenda miujiza tukaenda qatar? TFF pelekeni timu jamaa wakamalize kazi...sema amen
 
Mwamnyeto na Job hawana experience wala international pedigree ya kucheza mechi kama hizi

Ni makosa makubwa sana kujaza watu ambao maisha yao hawajawahi hata kuona group stage ya CAF confederation cup inaonekanaje.
 
Kikosi kinachoanza.

1.A.Manula 2.P.Mwenda 3.M.Hussein 4.D.Job 5.B.Mwamnyeto 6.N.Dismas 7.M.Yassin 8.F.Salum 9.J.Bocco 10.M.Samatta 11.S.Msuva

KILA LA KHERI NCHI YANGU TANZANIA.
 
Mwamnyeto na Job hawana experience wala international pedigree ya kucheza mechi kama hizi

Ni makosa makubwa sana kujaza watu ambao maisha yao hawajawahi hata kuona group stage ya CAF confederation cup inaonekanaje.
Mmeanza uchawi wenu
 
Mwamnyeto na Job hawana experience wala international pedigree ya kucheza mechi kama hizi

Ni makosa makubwa sana kujaza watu ambao maisha yao hawajawahi hata kuona group stage ya CAF confederation cup inaonekanaje.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kikosi kinachoanza.

1.A.Manula 2.P.Mwenda 3.M.Hussein 4.D.Job 5.B.Mwamnyeto 6.N.Dismas 7.M.Yassin 8.F.Salum 9.J.Bocco 10.M.Samatta 11.S.Msuva

KILA LA KHERI NCHI YANGU TANZANIA.
Yule Mcongo wa Simba mbona hayumo kwenye list?
 
Kibu hakucheza ngao ya jamii hata benchi hakuwepo alicheza simba day vs mazembe na alifanya vizuri sana
Waambie sasa na wenzako nimewaelewa. Huenda nilimchanganya na yule mshambuliaji wenu hatari. Chris Mugalu.

Waache sasa kuni quote.
 
ngoma hii ni draw kuna mawili 0-0 au 1-1
 
Back
Top Bottom