NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mkuu kama utojali embu shusha list ya Tanzania leo ndani ya pitch.upande wa kulia imekuwa chocho ya kupitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama utojali embu shusha list ya Tanzania leo ndani ya pitch.upande wa kulia imekuwa chocho ya kupitia
Au kwasababu hakuna jua upande huoNa wameona kulia ndio kwepesi
Na ndo kilichomfanya akose, kapiga shuti kama la kuku akijua hakuna mtu atakae uwahi.Sema kapiga kama ana uhakika kabisa
Mkuu kama utojali embu shusha list ya Tanzania leo ndani ya pitch.
Mkuu kama utojali embu shusha list ya Tanzania leo ndani ya pitch.
hahahahahahahahaaahAu kwasababu hakuna jua upande huo
Ahaa kumbe kulia yupo Israel na Bakari Mwamnyeto,nilitaka kujua kwanini kulia kuna chocho la Benin.
1.Aishi ManulaMkuu kama utojali embu shusha list ya Tanzania leo ndani ya pitch.
Upande wa kulia kuna chocho la kutosha kupita hata Scania, Mwenda na Mwamnyeto wamefeli.hawa jamaaa tusiwabeze wanaweza kutuhaibishaa
Naona hapo itakua 4:2:3:1 kwa hii formation na aina ya hao wachezaji atuwezi kufungwa tutashinda au kudraw.1.Aishi Manula
2.Israel Patrick
3.Mohaed Hussein
4.Dickson Job
5.Bakari Nondo
6.Novatus Dismas
7.Mbwana Sammata
8.Mzamiru Yasin
9.Bocco john
10.Feisal Salum
11.Simon Msuva
Upande wa kulia, beki wa katikati hawezi kwenda kusaidia mkuu hasa kwa mfumo huu, ila kwasababu kuna double pivot pale katikati yule Dismas inabidi ndio awe Anaenda kusaidia kulia na mzamiru kusaidia kushotoUpande wa kulia kuna chocho la kutosha kupita hata Scania, Mwenda na Mwamnyeto wamefeli.
sana mwalimu asiposhtukaUpande wa kulia kuna chocho la kutosha kupita hata Scania, Mwenda na Mwamnyeto wamefeli.
Hatuwabezi, ni kwamba hatuna uwezo.hawa jamaaa tusiwabeze wanaweza kutuhaibishaa
yes panapitika sanaAhaa kumbe kulia yupo Israel na Bakari Mwamnyeto,nilitaka kujua kwanini kulia kuna chocho la Benin.
Kama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!
sema mzee acha uongo ... kibu hajachezaKama kwenye ile mechi ya Ngao ya Jamii tu alianzishwa na mwenzake Mugalu, lakini mwisho wa siku aliishia kuruka ruka uwanjani kama panzi! Ndiyo mtu wa aina hii aje afanye maajabu ya kuipeleka Tanzania Kombe la Dunia!!
Big No!!!