Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Quality ya machezaji wao na wetu ndiyo imeamua game
Wajinga hao wengine yaani wameshindwa kuona kitu rahisi kwamba wale Guinea wanajua mpira na mda wote walicheza kwa ku relax yaani mpira wao halisi ni ule tulipowafunga bao la kutangulia kwa bahati

Angalia beki zetu mda wote fowadi wao wanacheza mpira mabeki hakuna wanafanya
 
Mipira yote ya juu wamewin japo centre back wetu wote ni warefu
 
Imeisha hiyo. Kauli mbiu ya sasa ni "staz rudi tz okoa kodi zetu"
 
Noooo! Work rate yetu iliyofanya tuka dominate game ilikuwa kubwa mno ndio maana walichanganyikiwa wale. We didn't have new game plan walipobadilika! Hiyo kazi ya nani? Hawa walikuwa wetu kabisa!!
Walituacha tucheze maana walikuwa na game plan ya kupata sare tuu ndio maana hawakucheza kwa pressure ko dkk pekee walizocheza seriously ni baada ya kutanguliwa goli waliporudisha wakarudi ku relax

Hata kama kocha angefanya mabadiliko kama unavyosema still hakuna kitu kingewazuia maana wanaquality kubwa ya mchezaji mmja mmja kuliko sisi
 
Forward kuwa Nchimbi heri kocha angeweka debe la viazi kwenye namba ya Nchimbi tungejua ni viazi
Dah ! Nimeshindwa nicheke vp make sahivi ni usiku.
Alafu sijajua maana yako hivi una maana gani mkuu, au ndo kusema anajua sana mpira ama vp
 
Naona watu povu linawatoka, toka lini Starz ikawa timu nzuri chini ya hii TFF?

Hata wale Namibia tuliwafunga kwa bahati tu ila walikuwa wanatupiga. Starz haieleweki kuanzia nyuma mpaka mbele.

Mpira wa mtaani ndo unachezeka timu ya Taifa. Tazama wale Namibia siku ile walivyocheza soka la kueleweka.

Ona leo jamaa tulipowafunga goli la 2, wao bado walibaki kucheza soka ka utulivu na kimbinu zaidi, kitu ambacho Starz hakuna.

Hakuna soka la maana tuliloonesha, na bora tumetoka maana mbeleni watu wangejiuliza tumepenyaje huko?
 
Ka nchi ka dogo , Rwanda kamepambana kundi gumu mpaka kameingia robo fainali. Bongo mpira bado sana...
 
Nitatuma maombi Mama yako akiwa assist coach ni mwendo wa vipensi kideoni hakuna kufungwa
Ndo imeshatoka hivyo mama yako kaliwa na Guinea,kunywa maji upunguze uchungu..Tuma maombi uwe kocha badala ya Ndailagije
 
Umemaliza mkuu, wanasema ukweli mchungu ila hakuna namna lazima ukweli usemwe.
 
"staz rudi tz okoa kodi zetu" Mkuu tatizo letu hatuna mipango thabiti bali tuna mihemko thabiti
 
Forward kuwa Nchimbi heri kocha angeweka debe la viazi kwenye namba ya Nchimbi tungejua ni viazi
Unamuonea kipindi cha kwanza Nchimbi kacheza vizuri sema yule Lyanga ndio hamna kitu inamaana Mhilu angecheza na Nchimbi toka mwanzo angalau beki zao zingeweza kujichanganya,kipindi cha pili Nchimbi alichoka lakini hakuna wachezaji wengine wa maana
 
Unamuonea kipindi cha kwanza Nchimbi kacheza vizuri sema yule Lyanga ndio hamna kitu inamaana Mhilu angecheza na Nchimbi toka mwanzo angalau beki zao zingeweza kujichanganya,kipindi cha pili Nchimbi alichoka lakini hakuna wachezaji wengine wa maana
Lakini huyu Lyanga kocha alimwamini kwa kitu gani maana hata mechi na Zambia alikuwa mzigo kabisa lakini mechi zote kamweka
 
Watu wanawashambulia muda wote na nyie mna concède corner za kizembe, Korner karibu 10 chini ya robo saa unategemea nini.... hii timu ni takataka...
Ule msako ni sawa na wanakijiji kuushambulia mawe msafara wa rais tena (MEKO)hapo utegemee nini?wewe kila sekunde wako golini kwako!!nilijua tu kwa pressure ile lazima tu goli litarudi!!!kulinda goli nako kunahitaji mbinu!!usimuone mourino anaweza ukadhania ni kila kocha anaweza!!
 
Watu wanawashambulia muda wote na nyie mna concède corner za kizembe, Korner karibu 10 chini ya robo saa unategemea nini.... hii timu ni takataka...
Majamaa walikuwa wanatafuta goli gaani unaona hawa wanaitaka quarter final.
Wala tusilalamike jamaa they deserve kupata lile goli.

Sasa hapa tunabaki kuulizana ..kanchi kadogo kama rwanda kanaenda robo final tena wakiwa na kocha mzawa, sie na foreign coach na nchi kubwa tunaaga mashindano mapemaa.

Zile million 60 sasa inakuwaje?
 
Ka nchi ka dogo , Rwanda kamepambana kundi gumu mpaka kameingia robo fainali. Bongo mpira bado sana...
Sio tu mpira binafsi naamini hatuna watu wenye vipaji vya soka wewe angalia marefa,makocha,wachezaji wetu nk nk wangapi wako nchi za nje kulinganisha na nchi ndogo kama Burundi na Rwanda kwa mfano?

Ko hapa Bongo hata tubadilishe makocha itaishia hivyo hivyo.Kitu pekee cha kufanya ni kuwekeza kwa vijana zaidi na kukuza ligi yetu iwe kama ya South Ili tuu ivutie wawekezaji lakini habari za mpira itakuwa kama England ligi kubwa na ina pesa ila nchi haina wachezaji wa maana kusaidia Taifa
 
Umeongea ukweli...watu wanamkandiaga mourinho kapaki basi....pale kuna mbinu kali zinatumika.
Wee ile barca ya wakati ule wa pep uzue kuanzia dakika ya kwanza mpaka 90 sii mchezo bwana.

Tactics za kocha hazikuonekana...the team never had an identity, wether ni possesion based team au counter attacking team.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…