Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wajinga hao wengine yaani wameshindwa kuona kitu rahisi kwamba wale Guinea wanajua mpira na mda wote walicheza kwa ku relax yaani mpira wao halisi ni ule tulipowafunga bao la kutangulia kwa bahatiQuality ya machezaji wao na wetu ndiyo imeamua game
Angalia beki zetu mda wote fowadi wao wanacheza mpira mabeki hakuna wanafanya