Wapate goli la nini bhana!? Wacha tufungwe tu, tushazoea.Dk 85
Tan 1 - 1 Malawi
Hizi dakika za mwisho Stars wanatakiwa kupata goli maana wanajitahidi kupanga mashambulizi...
mholanzi mmoja...
Bocco haramu bado kwann hafanyi mambo hapa ccm kirumba?
Wapate goli la nini bhana!? Wacha tufungwe tu, tushazoea.
Huwa unafurahia hivyo hata Azam ikipewa kibano?
Nahodha wa Malawi Joseph Kamwendo ambaye anacheza na Samtta TP Mazembe anahojiwa na kusema Taifa Stars ni moja timu ngumu sana Afrika
Nahodha wa Malawi Joseph Kamwendo ambaye anacheza na Samtta TP Mazembe anahojiwa na kusema Taifa Stars ni moja timu ngumu sana Afrika
Ndiyo maana yake! Asikitike nini wakati uraia wake ni utata mtupu, mara Mrundi, mara Mnyarwanda yaani ni vurugu tupu.
Hivi TBC wanajitambua kweli??
Sijamuona katika hiki kikosi au hakuitwa??Kwani vipi?
Msuva yupo kwenye STARS2(TIMU YA TAIFA YA MABORESHO)....Msuva vipi tena??