Tanzania vs Malawi, kutoka CCM Kirumba 29/3/2015

Tanzania vs Malawi, kutoka CCM Kirumba 29/3/2015

tunacheza HIGH BALLS na hatuna watu wa kaliba hiyo mbele
 
mpira una B TATU, Ball Control, Ball Balance na Ball Possesion, tatizo kubwa la Oscar ni Ball Control
 
udhaifu wa viuongo unafanya washambulizi kushuka chini
 
Huyu kocha hamnakitu, kiungo kibovu huyu mwinyi alivyokua bongo mpira ulishaaisha, leo anamuanzisha na huyu Kiemba alikua bench simba. hapo ili timu ibadilike anatakiwa awatoe hawa wote, Frank dumayo , na mrisho ngassa. pia samatta na ulimwengu walitakiwa waingie kipindi cha pili.
 
Huyu kocha hamnakitu, kiungo kibovu huyu mwinyi alivyokua bongo mpira ulishaaisha, leo anamuanzisha na huyu Kiemba alikua bench simba. hapo ili timu ibadilike anatakiwa awatoe hawa wote, Frank dumayo , na mrisho ngassa. pia samatta na ulimwengu walitakiwa waingie kipindi cha pili.
kocha bishoo balaa, miwani jens kachomekea halafu hataki kuongea na waandishi
 
Ni "The Flames" (Malawi) siyo Bata Bullets. Bata Bullets ni club kama Yanga, Simba, Azam nk.
 
Kuna wachezaji kama watatu wakiingia wanaweza kubadilisha sana hii team, Frank Domayo, Abdi Banda na Mrisho Ngasa.

Makocha wetu walivyo utaona wanafanya mabadiliko dk za lala salama
 
Back
Top Bottom