πππ Ukimuona mwenzio ananyolewa zako tia maji, muda mfupi utaona tutavyo wagalaliza hawa wachumba, ila ninyi anzeni kupaki mapema mualgeria hamumuweziJamani wabongo mbona mlituma team ya karatee kule,,,dah wanarusha tu mateke[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao Algeria tunawapiga 2-0 we ngoja tu.....ila kwa sasa naona mnatupa tu mateke ka punda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Ukimuona mwenzio ananyolewa zako tia maji, muda mfupi utaona tutavyo wagalaliza hawa wachumba, ila ninyi anzeni kupaki mapema mualgeria hamumuwezi
Naina Senegal ata inawahurumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]other wise wangebeba magoli na kikapu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii timu ya bongolala tutachapa kama mburukenge!
Its Europe vs Tanzania[emoji24][emoji24][emoji24] East Africa hatuna bahati. This group is way too strong for our national teams.
Utoke all the way from Tanzania, uende Total#AFCON20
Kama hiviShots on target ni zero bana, wachawi tunawasupport na tayari wameshaomba tushindwe π π, this people tho
19u posses 39% Ukule four (4 ) yellow cards na zero shot on target . Aibu tupu Thankyou for participating anyway . Tungoje Derby, game ya wazito...