Tanzania Vs Senegal....Kenya Vs Algeria..

Jamani wabongo mbona mlituma team ya karatee kule,,,dah wanarusha tu mateke[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukimuona mwenzio ananyolewa zako tia maji, muda mfupi utaona tutavyo wagalaliza hawa wachumba, ila ninyi anzeni kupaki mapema mualgeria hamumuwezi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ukimuona mwenzio ananyolewa zako tia maji, muda mfupi utaona tutavyo wagalaliza hawa wachumba, ila ninyi anzeni kupaki mapema mualgeria hamumuwezi
Hao Algeria tunawapiga 2-0 we ngoja tu.....ila kwa sasa naona mnatupa tu mateke ka punda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Second half tumejitahidi
 
Hao Algeria tunawapiga 2-0 we ngoja tu.....ila kwa sasa naona mnatupa tu mateke ka punda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Algeria wanawangoja in few hours
 
😭😭😭 East Africa hatuna bahati. This group is way too strong for our national teams.
 
Vous quittez I' expΓ©rience et envoyez les enfants [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Shots on target ni zero bana, wachawi tunawasupport na tayari wameshaomba tushindwe πŸ˜‚ πŸ˜‚, this people tho
 
Utoke all the way from Tanzania, uende Total #AFCON2019 u posses 39% Ukule four (4 ) yellow cards na zero shot on target . Aibu tupu Thankyou for participating anyway . Tungoje Derby, game ya wazito...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…