Utoke all the way from Tanzania, uende Total#AFCON2019u posses 39% Ukule four (4 ) yellow cards na zero shot on target . Aibu tupu Thankyou for participating anyway . Tungoje Derby, game ya wazito...
Nanna hii
Jamani wabongo mbona mlituma team ya karatee kule,,,dah wanarusha tu mateke[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kenya hola wanapigwa tatuHahaha, Kwakweli mchezo umekuwa mbaya sana,
Nawatakia kila la kheri wakenya walau mfanye jambo.
Shots on target ni zero bana, wachawi tunawasupport na tayari wameshaomba tushindwe [emoji23] [emoji23], this people tho
Ustaarabu huu? Mwanao akifariki usimuombee na wa jirani yamtokee ili muwe sawa [emoji23][emoji23]
No hard feelings naelewa, sisi sote we're from the same mother. Mipaka tu ndio katutenganisha. Nimependa game ya mlinzi wenu Hassan Ramadhani. He's a fighter!!Usiichukulie serious just utani wa jadi! Mkshindinda ni furaha kwetu wana EAC, manake sie na Burundi tushaoga yetu!
NYANG'AU NGAPI HUKONo hard feelings naelewa, sisi sote we're from the same mother. Mipaka tu ndio katutenganisha. Nimependa game ya mlinzi wenu Hassan Ramadhani. He's a fighter!!
Hii group stages East Africa hatupiti 😅😅***** naenda kulala
Hii group stages East Africa hatupiti [emoji28][emoji28]
Game Over....Updates kutoka Cairo kwa jirani zetu tafadharHahahaha,
Usihofu, Tunawatakia ushindi, Au hata Sare.
Kila la Kheri Michael Olunga.
Tuendelee kuwa pamoja mpaka mwisho wa mchezo, Mshakula 2 - 0 huko na ndo kwanza 1st half!Tanzania bana, mko na mchezo sana, mnarusha mateke tu
Uganda na Burundi possiblyHii group stages East Africa hatupiti [emoji28][emoji28]
Kweli mkuu, big games and big stages zitatupa uzoefu. Kuchapa hawa African powerhouse ni kazi kwa sasa.We probably need to qualify as many times as possible,
Nachokiona hapa ni Kama hatuna kabisa uzoefu wa mashindano makubwa.
Nipe matokeo, naona 2 - 0 bila shaka ni nyinyi mnaongoza!Hao Algeria tunawapiga 2-0 we ngoja tu.....ila kwa sasa naona mnatupa tu mateke ka punda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimebet AlG 3-0 KENTuendelee kuwa pamoja mpaka mwisho wa mchezo, Mshakula 2 - 0 huko na ndo kwanza 1st half!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]East Africa ni ZEROO!!!UPUUZI
Bilashaka wameshafanya jambo huko ndugu zako!Hahaha, Kwakweli mchezo umekuwa mbaya sana,
Nawatakia kila la kheri wakenya walau mfanye jambo.