Na midanganyika??/Tumeketi tukusikizeMbona unapenda kificha aibu yako nyuma ya kivuli cha Africa Mashariki? Tafadhali zungumzia Kenya yako,
Uganda wanafanya vizuri sana.
Na midanganyika??/Tumeketi tukusikize
ATLEAST tuko.sawa athletics, volleyball, cricket and rugby!!!
Harambee loosers have kicked Algerian players than they have kicked the ball 😂😂😂😂Niliwaambia ndugu zangu...
Wewe tuhurumie Bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila tungetoka Sare na Algeria mgehama jamii forums aki yanani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni Sawa na Yule baunsa aliyechoropoka na toka Vichakani akijisifu na kujipiga kifua akisema,
‘wamenifira ila kwa mbinde kweli?
Hahahaha, Mkuu ukifirwa umefirwa tu, Whether kirahisi ama kwa ugumu. Kifiro ni kilekile
Hahahah bado Kenya......!!!. Watafute kbs protectors za kriketi!!!. Ugoko unawahusu!!! Ni kugonga tu. 😂 😂 😂Algeria si Senegal mkuu...Senegal ndo mbabe Afrika...ila umenichekesha eti tumewapa za ugoko,wakakandwe na wake zao[emoji23]
Hahah,kabisa jana hawajalala ni maumivu kwa kwenda mbele,tumeshabihiana sisi maumivu ya kufungwa wao maumivu ya ngoko maana tumezidokoa sana!!!!.Waka kandwe etii[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni Sawa na Yule baunsa aliyechoropoka na toka Vichakani akijisifu na kujipiga kifua akisema,
‘wamenifira ila kwa mbinde kweli?
Hahahaha, Mkuu ukifirwa umefirwa tu, Whether kirahisi ama kwa ugumu. Kifiro ni kilekile
Mbona unapenda kificha aibu yako nyuma ya kivuli cha Africa Mashariki? Tafadhali zungumzia Kenya yako,
Uganda wanafanya vizuri sana.