Niksta254
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 397
- 214
Mbona hilo ni gazeti la kwenu ndilo lililochapisha hiyo habari, hiyo ni report ya reserch iliyofanyika nchi nyingi za Africa, soma ili upate kujua kwanini imeandikwa hivyo, acha kukariri GDP, reserch za uchumi hazitizami GDP, zinatizama individual income, wakeup nyang'au from hangover of GDP.
poor poor TZ