sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Huwa namsikia huyu Bwana Kambona alikuwa ni moja kati ya miamba katika behind the scenes hasa za kutafuta uhuru, tunachokiona baada ya uhuru ni tip of an iceberg,
Naskia alianza kuonekana mbaya ila siwezi fikia conclusion maana ni upande moja tu walimsema ni mbaya, so labda zilikuwa ni figisu na ni kawaida kwa wanadamu.
Huyo mwamba angewahi kupewa hata upm am amawazo yake yasikilizwe Tz ya sasa ingekuwa bora zaidi au tungerudi nyuma zaidi
Naskia alianza kuonekana mbaya ila siwezi fikia conclusion maana ni upande moja tu walimsema ni mbaya, so labda zilikuwa ni figisu na ni kawaida kwa wanadamu.
Huyo mwamba angewahi kupewa hata upm am amawazo yake yasikilizwe Tz ya sasa ingekuwa bora zaidi au tungerudi nyuma zaidi