Tanzania ya mitandaoni

Ni Tz ambaye huwezi kutofoutisha alie komea darasa la saba wa kidato cha nne wa cha sita na wa degree, wote niwataalamu wa kuchambua masuala ya taifa
 
Situmii WhatsApp zaidi ya miezi sita sasa,na maisha yangu hayajaharibika.

Napata muda mwingi zaidi kusoma na kusikiliza mambo ya kiimani na kujielimisha,na Nina raha sana tu.
 


Wewe unataka kutukanwa tu, tetesi zinasema kwamba kuna watu wamekupania kutaka kukudhuru kisa umesema ukweli.
 
Wewe unataka kutukanwa tu, tetesi zinasema kwamba kuna watu wamekupania kutaka kukudhuru kisa umesema ukweli.
[emoji34][emoji35][emoji35][emoji35]nitawaroga wote [emoji34][emoji35][emoji35][emoji34][emoji12][emoji86]
 
Kwenye magroup ya watsapp ndo umeniacha hoi, kuna jamaa kwenye daladala nlipata kuchungulia simu yake alipoitoa, dah si kwa magroup ile jamani
 
Tanzania nchi pekee ambayo mganga anaweza kutumia smartphone na kuvaa pensi.

C&P.
 
Huu uzi inatakiwa usomeke ujinga wa watanzania
 
Kwenye magroup ya watsapp ndo umeniacha hoi, kuna jamaa kwenye daladala nlipata kuchungulia simu yake alipoitoa, dah si kwa magroup ile jamani
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namba 6 ndio imenichekesha zaidi
 
Namba 6 imewahi nitokea I see. Usiku wa kitotolo nimevusha zigo, lakini cha ushangaza naamka asubuhi nakutana na gazeti. MAJIBU NIKAPATA KUWA WACHAWI NI WANOKO BALAA.
 
Namba 6 ndio imenichekesha zaidi
*6. Tanzania;Unavunjiwa nyumba usiku wezi wanaiba, hakuna jirani anaemuona mwizi, lakini usiku ingiza mchepuko, asubuhi wote wanajua!*
 
Namba 6 imewahi nitokea I see. Usiku wa kitotolo nimevusha zigo, lakini cha ushangaza naamka asubuhi nakutana na gazeti. MAJIBU NIKAPATA KUWA WACHAWI NI WANOKO BALAA.
*6. Tanzania;Unavunjiwa nyumba usiku wezi wanaiba, hakuna jirani anaemuona mwizi, lakini usiku ingiza mchepuko, asubuhi wote wanajua!*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…