Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu


Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Hakika ajenda ni yake Mwenzake Msiri na Mshirika wake hayati JPM [R.I.P] waliekuwa karibu na walitangaza ilani ya CCM pamoja na kuanza utekelezaji wake wakiwa pamoja.
 
Bado namkumbuka yule jamaa aliyeambiwa na Rais hadharani "baki na m.av.i yako nyumbani"

.....simuoni huyu mama akidhalilisha watu kwa namna hivyo! Unless tunasema hizo ndizo "agenda" za CCM ambazo mama lazima azitekeleze!
Kuna mada nilianzisha ya ‘Umagufuli bila Magufuli’.

Nimezungumzia jambo kama hilo.

Ila wengi wa waliochangia naona hata hawakunielewa!

Agenda ya Magufuli inaweza kutekelezwa bila lugha za namna hiyo.

Uongo?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Yani kumpongeza mtu within 3days tayari wapinzan wamepoteza agenda? Kwamba kwa hizo siku 3 upinzan umeacha kazi zake? Inamaana wapinzani wakiona jambo zuri wakasifia tayari wanakuwa wamepoteza agenda, mbona by then mlikuwa mnalaum kwa nini hawaungi mkono lolote. Halafu ulitakiwa ujifunze kwamba, kumbe wapinzani walikuwa against na model za Magufuli kufikia dhamira yake! Upinzan utaendelea kuji adjust ili ufit in kulingana na mazingir, atapongezwa akifanya vizur na akizungua atachachafya tu.
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Bendera fuata upepo,au?
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Mwaga raia mwaga..
 
Sasa kama Tanzania ya Samia ni ya Magufuli, sisi tufanyeje?

Mbona nyie watu wa CCM na hasa chawa wa The late Magu mnajishtukia sana? Shida ni nini?

Kubalini mambo yamebadilika, mkiweza hamishieni tu pambio kwa Bi. Mdashi.

Kakoko si aliteuliwa na Magu, hata kwenye ubadhirifu wa mwaka jana kwenye report ya CAG ilionekana? Alichukuliwa hatua gani? Huyu Jaffo si muda wote akiwa kwenye maziara kila baada ya maneno 10 anataja Magufuli!
Jaffo hata magu alishaanza kumsema. Mtashangazwa
 
Aliumiaje? makamu wa rais?

JPM was firm hakutaka kuleana, na hamkumpenda maana aliburuza vitu na we needed him sana
Hayo ni maswali gani unauliza sasa. Kwahiyo nyie mlipenda alivyoburuza vitu. And you needed him? Go get him....
 
Ikulu Chamwino
Dodoma, Tanzania

Muonekano mpya wa Rais wa Jamhuri ya Muungano akiingia ktk Ikulu ya Chamwino


Mh. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiingia bila mbwembwe za ulinzi mkali kujikinga dhidi ya njama za "mabeberu na vikaragosi wao waliopo Tanzania wasio wazalendo".
 
Hawa vijana wa bavicha ni wajinga Sana, na mbaya zaidi huu ujinga umefika Hadi kwa viongozi wao wakubwa. Wamesahau kabisa kuwa mama Samia ni CCM, na wanaonyesha kuwa ccm bado Kuna viongozi wengi wazuri na unabaki unajiuliza hivi 2025 watasimamisha mgombea?
Kama kuna viongozi wengi wazuri,kwa nini CCM ilitumia fedha nyingi kuwanunua wapinzani,na kisha kuwapa uongozi?.
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Waulize wakina sabaya na heri James watakufafanulia vizuri, naona somo hujalipata bado.
 
Ni kama watu wanajitahidi kuukataa ukweli. Wanaombea usiwe ukweli...Mama Samia hana ajenda yake Wala ahadi zake... Ameingia kumalizia ngwe ya pili Rais Magufuli. Sasa ataimalizaje bila kuangalia ahadi zao jwa wananchi?
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Mtoa mada you are very bright agree with you buddy.. hakika wapinzani ni vigeu geu kupitia mada hii uliyopost , mwenye macho haambiwi tazama that is the fact na ukweli utabaki pale pale hahahha asante kwa kudadavua kwa kina..BIG UP
 

Na. M. M. Mwanakijiji

Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani leo wanataka tuendelee kuamini kuwa chaguo lao limeingia madarakani sasa. Ndugu zetu hawa ndio wale huko nyuma na si mara moja wamekuwa wakisubiria kwa hamu "kitu" kitokee ili "mama" aingie madarakani. Tunawakumbuka hawa jinsi walivyosubiria kwa hamu wakati ule huku wakiposti picha za Makamu wa Rais kuwa ni suala la muda tu. Kama nitakavyoonesha katika makala yangu ya wiki hii (Gazeti la Raia Mwema) kwa baadhi ya watu kifo cha Magufuli hakikuja kwa mshtuko kivile; watu waliombea kisije kutokea lakini uwezekano wake ulikuwa mkubwa zaidi kuliko watu wengi walivyokuwa wanafikiria. Kwamba, sasa Rais Magufuli amefariki dunia basi ujio wa Mama Samia kwa ndugu zetu ni kama sala, dua, na maombi yao yamejibiwa. Katika kushangilia na kufurahia kwao ndugu zetu sasa wamekaa 'mkao wa kula' wakitegemea kuwa ndoto zao zote za Tanzania ya Samia zitatimia kwani haitokuwa ya Magufuli tena!

Yule mbaya wao, yule adui yao, yule kiongozi ambao hawakumtaka hayupo tena na sasa ameingia waliokuwa wamemtaka. Ndugu zetu hawa kwa uzuri au kwa ubaya sasa wamefikia mahali ya kutoa maelekezo, maombi, manuio, na hata matamanio yao chini ya Samia. Wanamuambia afanye nini kwanza, wanataka amtumbue nani kwanza, wanataka aanzie wapi kwanza ili waweze kuamini kuwa yuko nao. Wengine kwa wazi kabisa wanasema - tena siyo kusema wanamtaka aachane na 'mambo' ya Magufuli na akifanya hivyo basi wanaahidi kumuunga mkono na kuwa naye pamoja. Kwamba, hawatamnanga kama walivyomfanyia Magufuli na kuwa watampima Samia kwa jinsi gani anaenda mbali na siasa, mwelekeo, malengo na ajenda ya Magufuli. Ndugu zetu wanataka Samia awe "Rais" wao.

Wameacha kujipanga na uchaguzi, hawataki tena kutengeneza ajenda yao itakayowashindia uchaguzi, na hawataki kupambana kisiasa kushindana na CCM nyuma ya Samia. Wanataka kutengeneza "mgombea" wao na kudandia ajenda mpya ya Samia. Kwa kweli, inabidi tuwarudishe kwenye mstari wao ili wajipanga na kupambana na hali zao. Ajenda ya Samia bado ni ya Magufuli! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, hana ajenda yake tofauti na ya Magufuli. Samia hajauza ajenda yake katika uchaguzi wowote na hajapigiwa kura ya peke yake nje ya Magufuli. Kwa maneno mengine ni kuwa - na yeye mwenyewe ameshaelezea wakati huu wa maombolezo - kuwa ajenda ya Magufuli ya "hapa kazi tu" ipo pale pale! Hili halijawafurahisha sana ndugu zetu kwani wanataka aikane ajenda ya mtangulizi wake, aibeze, aipangue na kuitupilia mbali kama yale mapapai yaliyoambukizwa korona! Samia achukue ajenda ya wapinzani na kutawala nayo nchi huku akitupilia mbali mambo yote ya Magufuli!

Hata hivyo, wananchi wametuma salamu zao wazi, kamili, na hadharani; wamemlilia Magufuli kwa sababu walimuelewa. Hawakujificha wala kuona haya kujitokeza kumuombolezea Rais wao na kumlilia. Walimuaga kama shujaa aagwavyo. Ndugu zetu hawakutarajia hili wala kulitegemea. Wanaamini ukosoaji wao ndio pekee umejaa ukweli, maneno yao ni ya kuaminika tu na madai yao ndiyo pekee yenye kukubalika. Hawatakiwi kupingwa wala kukataliwa kwani ukiwafanyia hivyo wewe si muumini wa demokrasia. Kwamba, demokrasia ni kukubali, kukumbatia na kutetea yote yasemwayo nayo. Kwamba njia pekee sahihi, bora na ya kukubalika ya kutawala nchi ni ile inayopendekezwa nao. Usipoifuata njia hiyo basi wewe ni hatari kwa maslahi yao.

Huu ndio mtego wanaomtegea Mama Samia; kwamba aingie kwenye anga zao vinginevyo hawatochelewa kumgeuka. Hawa hawa ambao leo wanamuita "ni mama yao" ndio hawa hawa watamgeuka na kuanza kutukumbusha "uzuri" wa Magufuli. Hawa hawa wenye kumsifia ndo hawa hawa watamshukia siku viongozi wao watakapotiwa pingu kwa makosa au watakapozuiliwa kufanya wavitakavyo. Hatokuwa tena Rais wao na walimuita Magufuli "Jiwe" hawa hawa wataanza kumuita mama huyo "Chuma" a.k.a "Iron Lady". Na Samia asipokaa nao na kuwasikiliza na kuwakubalia na kuwapa matakwa yao ndugu zetu hawa wataanza tena kuzunguka duniani kutuambia "Yule Mwanamke Hawezi Kutawala Tanzania Angalau Magufuli...".

Bahati nzuri tupo ambao bado tunaamini ajenda ya Magufuli bado ni ajenda yenye nguvu, ya uhakika, na salama zaidi kwa Tanzania kupiga hatua ya haraka ya maendeleo. Kuiacha ajenda hiyo ni kuwaacha Watanzania zaidi ya asilimia 80 pembeni. Kuiacha ajenda hiyo itakuwa ni kuirudisha nchi yetu nyuma miaka ishirini na ushee. Na ni wazi kuiacha ajenda hiyo ni kukubali kushindwa. Samia akiacha ajenda ya Magufuli wapo wenye Wana-Magufuli (Pro-Magufuli) ambao nao watamuacha. Lakini hata yeye akiamua kuiacha haina maana hakuna watu walioiona na kuikubali ajenda hiyo ambao wanaweza kuisimamia na kuifufua huko mbeleni. Aliyekufa ni Magufuli na si ajenda yake ya "Tanzania Tunaweza". Samia akilirudisha taifa katika kuombaomba na kutokujiamini tena, akilirudisha taifa katika kujishukushuku basi Tanzania itaenda kuwa katika ubaya kuliko tunaoufikiria.

Tunapozungumzia ajenda ya Magufuli tusichanganye na namna Magufuli alivyotaka kuitekeleza ajenda hiyo. Samia asiwe kama Magufuli; hatutaki azungumze kama Magufuli au afanye kila kitu kama Magufuli. Kila mtu ameumbwa tofauti na ana hulka tofauti. Mama Samia anaweza kuitekeleza na kuipeleka mbele Tanzania bila kufanya kila kitu kama Magufuli. Na hapa ni muhimu Mama Samia awaweke sawa wote; wale wanaoombea asiwe kama Magufuli na wale ambao wanataka awe zaidi ya Magufuli; ni lazima atengeneza njia yake mwenyewe bila kufunikwa na kivuli cha Magufuli wala kujaribu kuvaa viatu vyake.

Ni lazima awaweke sawa wale wanaotaka achague Makamu wa Rais ambaye ataweza kufanya naye kazi, atakayeweza kumuamini, na ambaye likitokea lolote basi anaweza kuishikilia nchi. Na muhimu zaidi ni lazima awe mtu ambaye aliamini katika ajenda ya Magufuli na si NJE ya hapo. Mama Samia awe huru kumteua Makamu wa Rais anayeweza kushirikiana naye na kusimama naye; kuwa msiri wake, na afanye hivyo bila kuangalia Jinsia au Dini ya mtu huyo na kwa maoni yangu ni lazima awe mtu ASIYEUTAKA URAIS au aliyewahi kuonesha kiu na hamu ya kuwa Rais.

Kama nilivyosema hapo juu ajenda ya Magufuli ndiyo inaongoza nchi hadi 2025. Kama Mama Samia au MwanaCCM yeyote mwingine ana ajenda nyingine basi huyo ajiandae 2025. Mama Samia anaweza kuwa na ajenda yake; lakini hiyo itabidi aiandae 2025 (na wengine tayari tupo nyuma yake kwani tayari tunamuaini kwa vile tu alikuwa nyuma ya Magufuli). Kwa sasa hata hivyo, yeye na uongozi mzima wa nchi unatakiwa kuendelea na ajenda ya Magufuli. Na ili afanikiwe ni lazima ipange serikali yake kwa namna yake yeye na jinsi anavyoweza kuona inamfaa kuongoza nchi kuelekea 2025.

Si lazima arithi na kuendelea na kila kiongozi aliyeteuliwa na Magufuli; wale ambao anaona wanapwaya au tayari walishaona wanapwaya ni lazima AWAPANGUE bila aibu. Sasa hivi ni lazima atume ujumbe wa haraka kuwa HAKUNA aliyesalama kwenye cheo chake; kila mtu ni lazima astahili kuwepo kwenye serikali yake. Na katika kufanya hivyo ndio anaweza KUSAHIHISHA makosa ya Magufuli, kujenga katika MAFANIKIO yake na kuongoza kuelekea MALENGO yote yaliyokuwa yanawezekana chini ya AJENDA YA MAGUFULI.

Hii ni kwa sababu AJENDA YA SAMIA ni bado AJENDA YA MAGUFULI hadi 2025.

#TukonaSamia2025.
Bahati mbaya uelewa wa "Nyumbu wa Ufipa" ni mdogo sana!
 
Nilidhani Tanzania ni ya Watanzania..., kumbe ni ya mtu (aliyepo madarakani) Kwahio bado tupo kwenye enzi za utawala wa Kifalme ? Kwahio Rais ni Dictator anayefanya anayvotaka ? Kwahio kama Magufuli alijikwaa na kukosea na huyu mama aendelee kujikwaa ili tu kufuata nyayo ?

By the way niambie ni muongozo upi either wa CCM au popote pale uliosema kutofuata protokali na kuminya uhuru wa kujieleza, kuleta ubaguzi, dhiaka as well as kutochukua ushauri (Nadhani wengi wanaomlaumu Magufuli ilikuwa ni kwenye hizi issue)
 
Back
Top Bottom