Wabarikiwe sana MWASHITA, Maana mashambulizi ya RBC yako kasi sana mithili ya NYUKI.
Ndio! Na hizi nchi zote tatu za RWANDA ๐ท๐ผ, BURUNDI ๐ง๐ฎ NA KONGO ๐จ๐ฉ hawashambulii kutoka kwenye nchi zao! Wanashambulia kutoka MATAIFA YA NJE yanayozungumza LUGHA YA KIFARANSA, MATAIFA hayo ni UBEGILIJI ๐ง๐ช, UFARANSA ๐จ๐ต NA SWITZERLAND ๐จ๐ญ.
Yaani hauwezi kuamini kuwa haya MATAIFA MATATU YA RWANDA ๐ท๐ผ, BURUNDI ๐ง๐ฎ NA KONGO ๐จ๐ฉ wameingia au kwa lugha nyingine tunaweza kusema kuwa wamepenya mpaka jamii ya SERENGETI yaani CHUI. Kwahiyo wanafahamu kila kitu, yaani ni VERY PROFESSIONAL.
Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐ฆ wao wanatoa tahadhari kwa upande wa SERIKALI YA TANZANIA ๐น๐ฟ na wanajisafisha kwa upande mwingine dhidi ya haya MATAIFA MATATU YA RWANDA ๐ท๐ผ, BURUNDI ๐ง๐ฎ NA KONGO ๐จ๐ฉ.
Itafika mahala hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐ฆ wataacha kutoa tahadhari yoyote ili washughulikiwe vizuri, kwa sababu hizi nchi tatu za RWANDA ๐ท๐ผ, BURUNDI ๐ง๐ฎ NA KONGO ๐จ๐ฉ walishatuma WATU WENYE UJUMBE wao kwenye MIKOA YA TABORA, MWANZA NA SHINYANGA ili kuomba wawashikishe adabu SERIKALI YA TANZANIA ๐น๐ฟ lakini hawa MWASHITA waligoma.
Na baadae hao WATU WENYE UJUMBE walielekea KENYA ๐ฐ๐ช kwenda kuomba wawashikishe adabu SERIKALI YA TANZANIA ๐น๐ฟ lakini KENYA ๐ฐ๐ช na wao waligoma pia.
Kwahiyo haya MATAIFA MATATU YA BURUNDI ๐ง๐ฎ, RWANDA ๐ท๐ผ NA KONGO ๐จ๐ฉ kila wanachojaribu kufanya dhidi ya SERIKALI YA TANZANIA ๐น๐ฟ kinagoma kwa sababu kubwa ya TAIFA LA KENYA ๐ฐ๐ช na hawa MWASHITA kwa mbali.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐ฆ wana uzito kwa sababu wao ndio wameshika INTELIJENSIA YA RAIS WA UGANDA ๐บ๐ฌ na ndio jamii anayotoka MAMA MARGARET KENYATTA, mke wa RAIS WA KENYA ๐ฐ๐ช.
Sikuwahi kujiuliza kwamba ni kwa nini WAMISIONARI wale wanazungumza LUGHA ZAIDI YA 7 ZA KIMATAIFA ila ni kwa nini wanapendelea zaidi KUTUMIA KIFARANSA !? Naanza kuona picha.
Hawa WATU ni HATARI sana! Yaani VERY DANGEROUS.
Ni MUSA yupi au HARUNI yupi atakayeitua MIZIGO ilobebeshwa MOE pale NECTA !?!!
SERIKALI YA TANZANIA ๐น๐ฟ walishaambiwa tangu siku nyingi na suluhisho walipewa! Sema SIKIO LA KUFA, HALISIKII DAWA.
Waliambiwa hivi - KATIBU WA BARAZA LA MITIHANI yaani
NECTA | Home hatakiwi kuwepo hapo, kipindi hicho KATIBU WA BARAZA LA MITIHANI ni PROFESA JOYCE NDALICHAKO. Na ndio ikawa chanzo cha PROFESA JOYCE NDALICHAKO kurudi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM [ UDSM ].
Suluhisho la pili, wakaambiwa hivi - kwa wale wanafunzi wote walioongoza KITAIFA wapewe vyeti vyao kulingana na ufaulu wao kwa sababu hawa wanafunzi na wao pia wapo kwenye MFUMO WA AJIRA. Hili zoezi likawa gumu kwa WIZARA YA ELIMU NA BARAZA LA MITIHANI YAANI
NECTA | Home.
Wao yaani BARAZA LA MITIHANI yaani
NECTA | Home waliingiza SIASA na kusema ya kwamba VYETI VYA WANAFUNZI wanachapisha nchi za nje [ walitaja nchi moja ya AMERIKA YA KASKAZINI ]. Kwahiyo ni gharama kuchapisha VYETI VYA WANAFUNZI BORA kwa mara ya pili.
Ndio ikawa imeisha hivyo! Cha ajabu na cha kushangaza yule PROFESA JOYCE NDALICHAKO ndio akarudi na kuwa WAZIRI WA ELIMU mpaka leo hii. Kwahiyo hawa WATU walio nyuma yake sio WATU WA MCHEZO MCHEZO, ni WATU HATARI SANA.
NECTA 1990's vs NECTA 2010-2021.
WIZARA YA ELIMU kupitia BARAZA LA MITIHANI YAANI
NECTA | Home ndio wamehusika pakubwa sana kwenye kuharibu MFUMO WA ELIMU, pia wamehusika pakubwa sana kwenye kupitisha MAMLUKI kwa upande wa TANZANIA ๐น๐ฟ.
Kwahiyo njia sahihi na salama ni kumuondoa WAZIRI WA ELIMU na kufanya mabadiliko pale BARAZA LA MITIHANI yaani
NECTA | Home na kuwapatia wale WANAFUNZI BORA vyeti vyao kulingana na ufaulu wao, kwa sababu na wao pia wapo kwenye MFUMO WA AJIRA.