Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
IMG_20250223_232751 (1).jpg

Hiki kikundi cha WAASI WA FDLR, hasa hao wanaonekana katika picha ya pamoja waliovaa SOKSI ZA BLUU [BLUE SOCKS] ndiyo wanaodhamini wapiganaji wakiwa MSUTUNI.

2777c221acfe6d92972853e3242be5d5.png

Ukiwa pale MWANZA, hii kampuni inapatikana na wamefanikiwa kuwekeza nje ya nchi.

Pia kipindi fulani waliwahi kutumia jina la mmiliki wa kampuni kama MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007] na sijui kama wamebadilisha au bado.

Pale MWANZA huwa ni pagumu sana, maana kuna kampuni nzito zinazohusika na SIASA ZA MATAIFA YA MAZIWA MAKUU.



Kwahiyo, hii hali huwa siyo nzuri na MWANZA inataka kufanana na SHINYANGA kwa namna ambavyo hizo kampuni zinavyofanya kazi.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hata ukiwa pale kituo cha TABATA AROMA, kuna jengo lipo barabarani na limeandikwa kwa jina la umiliki likiwa linaonesha jina la MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007] bila ya ridhaa yake.

Hii imekuwa ni desturi kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na wanaendelea kuyatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali.

IMG-20250227-WA0023.jpg

Unadhani ni kwa nini wanatumia MAJINA YA WANAFUNZI BORA katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?

Hii pia ni siasa na ukiweza kufanikiwa kujibu hili swali utakuwa umeanza kuelewa SIASA YA TANZANIA.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Eti kwa nini majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?

IMG-20250306-WA0010.jpg

Au kwanini majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI ndiyo huwa yanapigiwa chapuo katika kuongoza WIZARA YA MAMBO YA NJE na hata uwakilishi wa nchi katika nafasi ya UMOJA WA AFRIKA YA MASHARIKI [EAC] au UMOJA WA AFRIKA [AU] au UMOJA WA MATAIFA [UN]?

IMG-20250306-WA0006.jpg

Ipo sababu na huwa inatumika ulimwenguni kote! Yaani kwa kifupi haiwezekani kuwa MWANADIPLOMASIA kama jina la mhusika halipo katika ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA waliofanya vizuri kitaifa kwa upande wa masomo ya SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI, iwe kwa matokeo ya ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA.

IMG-20250306-WA0005.jpg

Unaweza kuta mhusika amesoma masomo ya DIPLOMACY au INTERNATIONAL RELATION, halafu akawa bado hana sifa ya kuwa MWANADIPLOMASIA.

Hali hii huwa inatokea mara nyingi pale CHUO CHA DIPLOMASIA [DAR ES SALAAM], unaweza kuta GRADUATES wote ambapo kunakuwa hakuna hata mmoja ambaye anakuwa na sifa ya kuwa MWANADIPLOMASIA.

Pia kwa upande mwingine, unaweza kuta mhusika amesoma masomo ya GEOLOGY au CIVIL ENGINEERING au MEDICINE au AGRICULTURE au COMPUTER SCIENCE au ECONOMICS na akawa MWANADIPLOMASIA mzuri.

IMG-20250306-WA0004.jpg

Sasa kwanini majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
WIZARA YA MAMBO YA NJE huwa ni "HALF PRESIDENTIAL POSITIONED" au katika mataifa yaliondelea zaidi kisiasa huwa ni "THREE QUARTER PRESIDENTIAL POSITIONED".



Yaani WIZARA YA MAMBO YA NJE huwa ni WIZARA ambayo ina ukaribu zaidi na OFISI YA URAIS na MAWAZIRI wanaongoza hii WIZARA huwa ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] au GOLDEN INK PERSONNEL [GIP] kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, na wanakuwa na SIFA ZA URAIS.

IMG-20250306-WA0007.jpg

Kipindi cha HAYATI MWALIMU alikuwa anachagua MABALOZI ambao ni WANAFUNZI BORA katika masomo ya SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI na TANZANIA ilikuwa inaheshimika sana kimataifa.

Yaani kwa kifupi, WANADIPLOMASIA ni WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI waliofanya vizuri kitaifa kwa ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA.

IMG-20250306-WA0008.jpg

Pale BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], ndiyo sehemu pekee ambayo wanaandaliwa DIPLOMATS pamoja na PRESIDENTIAL MATERIALS kutoka katika MITIHANI YA TAIFA ya DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA.

Pia wale wanaoifahamu SIASA YA TANZANIA vizuri huwa wanaandaa WANASIASA WA BAADAE, baada ya kuangalia matokeo ya mhusika kwa upande wa MITIHANI YA DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA.

IMG-20250306-WA0009.jpg

Hii ndiyo SIASA YA TANZANIA na huu ndiyo mfumo katika MATAIFA YA KIDEMOKRASIA.

Sasa kwanini majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?

CamScanner 01-29-2025 12.24-1.jpg

Mfano mzuri ni BAR zinazoitwa MATAKO zinazopatikana ARUSHA MJINI, ambapo zote kwa pamoja zilishawahi kuandikwa jina la MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007] katika umiliki wake bila ya ridhaa ya mhusika na mambo haya yanafanyika kupitia SERIKALI, ndiyo maana mara nyingi CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] huwa kinaandaa VIONGOZI wake kupitia SEKTA BINAFSI.
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Katika MATAIFA YA KIDEMOKRASIA ~ KIONGOZI WA NCHI, WAZIRI WA MAMBO YA NJE na MABALOZI WA NCHI wote huwa ni WANADIPLOMASIA ambao kwa namna moja ama nyingine walitokana na kuwa WANAFUNZI BORA kwa upande wa SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI iwe katika matokeo ya ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA.

a30c2f4a4da807842fb7081e4a7bb4ed.png

Yaani WANADIPLOMASIA huwa ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] au GOLDEN INK PERSONNEL [GIP] kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na kipindi cha HAYATI MWALIMU alihakikisha kila KAMBI YA JESHI inakuwa na MWANADIPLOMASIA angalau mmoja.

20e7cebb196449b9be9d1d2c8f98b910.jpg

Kabla ya kupitishwa na kuwa sheria ya UMOJA WA MATAIFA [UN CHARTER], kuna TAFITI YA MASUALA YA KIJAMII [SOCIAL SCIENCES PROJECT] iliyofanywa na TAIFA LA UFARANSA katika karne ya kumi na nane [karne ya 18] kuhusu namna ya kupata VIONGOZI BORA NDANI YA JAMII na walibaini kuwa ~ "Katika kipindi cha miaka kumi [10] kila jamii yenye idadi ya watu wapatao laki nane [800,000] wakifanya MITIHANI YA TAIFA kwa upande wa SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI watafanikiwa kupata WANAFUNZI BORA iwe katika matokeo ya ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA na hao ndiyo watafanyika kuwa viongozi katika kuwakilisha jamii zao."

IMG_20250310_211842.jpg

Hii TAFITI YA MASUALA YA KIJAMII [SOCIAL SCIENCES PROJECT] ilifanikiwa na kufanyika kuwa sheria ya UMOJA WA MATAIFA [UN CHARTER] na ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuwa na sheria ya kuanzisha kila mji ambao utakuwa na idadi ya watu wapatao laki nane [800,000] kuwa ni WILAYA [LE QUARTIER].

Hivyo WAFARANSA ndiyo waliokuwa nyuma ya masuala ya kijamii [SOCIAL SCIENCES PROJECT] ambapo matokeo yake yalikuwa ni namna ya kupata VIONGOZI BORA KATIKA JAMII na pia walikuwa ni jamii ya kwanza ambayo walikuja na tafsiri ya kila mji wenye huduma za kijamii kuwa ni WILAYA [LE QUARTIER] endapo itakuwa na idadi ya watu wapatao laki nane [800,000].

IMG_20250310_211859.jpg

Sasa kwanini kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA majina ya WANAFUNZI BORA WA SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Wale waliofanikiwa kuifahamu aina hii ya SIASA, walijikita katika kuboresha miundombinu ya SHULE ZA MSINGI pamoja na SHULE ZA SEKONDARI katika maeneo yao.

Miongoni mwao, ni wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA KILIMANJARO, MBEYA pamoja na KAGERA.

IMG-20250312-WA0010.jpg

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA KILIMANJARO, MBEYA pamoja na KAGERA ndiyo MIKOA ambayo inaongoza kwa kutoa MABALOZI WA NCHI kuliko wenyeji wa MIKOA mingine.

IMG-20250312-WA0006.jpg

Yaani hii MIKOA YA KILIMANJARO, MBEYA pamoja na KAGERA ndiyo MIKOA ambayo inaongoza kwa kutoa WANAFUNZI BORA kwa kipindi kirefu tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI. WANAFUNZI BORA ndiyo WANADIPLOMASIA wa siku za usoni!

IMG-20250312-WA0002.jpg

Hasa MKOA WA KILIMANJARO! Huu MKOA upo mbali sana kielemu kuliko MIKOA mingine ya TANZANIA. Ukiachana na SERIKALI, wale wenyeji wa asili wa MKOA WA KILIMANJARO kipaumbele chao huwa ni ELIMU na huwa wanajivunia SHULE zao.
Pia ukiachana na MIKOA YA KILIMANJARO, MBEYA pamoja na KAGERA! KANISA KATOLIKI limo, kwani na wao pia kwa kipindi kirefu wamefanikiwa kutoa WANAFUNZI BORA, ambao kwa namna moja ama nyingine ni WANADIPLOMASIA kwa siku za usoni.

5dcfd366662d6bc0b2afafc507171da8.png

Yaani KANISA KATOLIKI ndiyo wameshikilia SOMO LA BIBLE KNOWLEDGE na DIVINITY kwa upande wa SHULE ZA SEKONDARI na kila mwaka wanatoa WANAFUNZI BORA kwa upande wa SOMO LA BIBLE KNOWLEDGE na DIVINITY kupitia SHULE ZA SEMINARI. Hawa wote wanafanyika kuwa ni WANADIPLOMASIA kwa siku zijazo.

Sasa kwanini kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA wanatumia majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?
 
Aaah sawasawa hapo nimekupata mkuu
Hata CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] wanamiliki SHULE zao, kwa upande wa SHULE ZA MSINGI pamoja na SHULE ZA SEKONDARI na huwa wanafanya vizuri kitaifa.

IMG_20250117_194529.jpg

Miongoni mwa shule ambazo huwa zinafanya vizuri kitaifa, ni ile shule inayopatikana SHINYANGA MJINI.

CamScanner 03-13-2025 15.26.jpg

Hii SHULE huwa inafanya vizuri kitaifa, ambapo kwa miaka kadhaa imekuwa ikitoa WANAFUNZI BORA kwa upande wa ujumla na katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA.

CamScanner 03-13-2025 15.24.jpg

WANAFUNZI BORA kwa upande wa SHULE ZA MSINGI pamoja na SHULE ZA SEKONDARI huwa ni WANADIPLOMASIA ambao kwa namna moja ama nyingine watafanyika kuwa ni VIONGOZI WA CHAMA pamoja na TAIFA kwa siku za usoni na hii ni kwa mujibu wa SHERIA ZA UMOJA WA MATAIFA [UN CHARTER].

CamScanner 03-13-2025 15.27.jpg

Pale mwaka wa 2007, walifanya vizuri sana maana kuna wanafunzi walijiunga na masomo ya sekondari wakiwa tayari wameshaongoza kitaifa kwa masomo ya SHULE YA MSINGI ~ walikuwa kwenye ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA waliofanya vizuri kitaifa kwa upande wa masomo ya HISABATI pamoja na MAARIFA YA JAMII.. 😁

Hawa ndiyo wenzao, wakina DAZ BABA, SEWA SIDE pamoja na SCOUNT JENTAZ! Jaribu kusikiliza ubeti wa tatu..

CamScanner 03-14-2025 13.55.jpg

Kwahiyo wale wenzenu waliofanikiwa kuifahamu SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi, walijikita katika kuboresha miundombinu ya SHULE ZA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI kwa nia ya kupata WANAFUNZI BORA. Ijapokuwa kuna changamoto pia, ambapo majina ya WANAFUNZI BORA yanatumika katika kufanya BLACK MARKET na yanatumika hata na VYAMA VYA KISIASA vingine, yaani huwa ni vurugu tupu!

Sasa kwanini majina ya WANAFUNZI BORA wa SHULE YA MSINGI pamoja na SHULE YA SEKONDARI yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao?
 
Back
Top Bottom