Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mwalimu is overrated, wale waliomfadhili kipindi anapigania Uhuru aliwageuka, maduka ya ushirika yalitesa watu, baada ya kufeli vibaya akaamua kuachia madaraka kuepuka aibu lakini anavyoimbwa unaweza kudhani alikua malaika
Angalau rasilimali za Taifa hakuzigusa wala kuwauzia wazungu.
 
Duu umenikumbusha enzi za akina madelu vyeti vya NECTA havikuwa na picture ya candidate, ukawa mwanya wa Wana ccm kutumia vyeti vya waliofanya vizuri kujiendeleza kielemu
_20250124_234942.JPG

Wenzenu walikuwa wanafahamu kabisa, kwa namna ambavyo MITIHANI ilivyokuwa inakuja kwa kipindi kile cha miaka ya 2010's na walikuwa wanasali MISA ZA USIKU kabla ya kwenda prepo. Maana ile ndiyo ilikuwa ingwe ya mwisho..😂

_20241220_144910.JPG

Ile kitu walikuwa wanaita ni EXAMINATION FEVER, yaani walikuwa wanapata HOMA kutokana na hofu ya mtihani.

_20241106_163147.JPG

Umemuona RUTI GASPAR wa MAWENZI! Sijui yupo wapi sasa hivi..😁 Wengine walikuwa wanakwenda kupumzika na wadada wa MAWENZI, ili kuondoa STRESS na baada ya matokeo ya KIDATO CHA SITA [2010] kutoka ile SHULE YA MOSHI ilifanya vizuri kitaifa.

bdf1800079834b94bce6f69f60ba0716.jpg

Kwahiyo malengo yalitimia na mwenzenu alianza kupewa ULINZI kama MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] TAIFA. Lakini sio USALAMA WA TAIFA wala hajawahi kwenda mafunzo ya kijeshi, bali anaweza kuja kuwa MWENYEKITI TAIFA kwa siku za usoni.

IMG-20250120-WA0015.jpg

Hata CHUO KIKUU alivyojiunga alikuwa anapewa ULINZI kama MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAIFA. Yaani ni MWENYEKITI TAIFA, sio USALAMA TAIFA.
 
Duu umenikumbusha enzi za akina madelu vyeti vya NECTA havikuwa na picture ya candidate, ukawa mwanya wa Wana ccm kutumia vyeti vya waliofanya vizuri kujiendeleza kielemu
Wenzenu miaka hiyo ya 2010's, walikuwa wamoto kweli! Lakini TANZANIA iligeuka na kuwa UWANJA WA FUJO, kulikuwa kuna kila aina ya michezo michafu [rafu zilikuwa nyingi].

Wanafunzi wengi walienda kusoma ng'ambo na wengine sidhani kama walifanikiwa kurudi TANZANIA.

Kipindi hicho ilikuwa mwanafunzi akitoa Tsh. 200,000 anapangiwa CHUO KIKUU CHA MLIMANI, yaani ilikuwa ni BIASHARA HURIA halafu baada ya hapo wanajiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. Ndiyo maana tunasema huko..

_20250127_124953.JPG

Yaani kuna wanafunzi waliaapa hawataweza kufanya kazi kwa upande wa SERIKALI [Kwanini watu walioajiriwa serikalini wengi wana uwezo mdogo wa akili?] na hadi leo wapo SEKTA BINAFSI. Kwa baadae wanaweza kutokea CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

DSC_0002~2.JPG

Yule MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007] alifanikiwa kupata nafasi ya masomo katika CHUO KIKUU CHA LONDON [UOL], nchini UINGEREZA na alikuwa anakwenda kusoma masomo ya BSC. ECONOMICS.

_20250126_160926.JPG

Pia kwa upande mwingine, alifanikiwa kupata nafasi ya masomo katika CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM] na alikuwa anakwenda kusoma masomo ya BSC. METALLURGY AND MINERAL PROCESSING ENGINEERING.

DSC_0004~2.JPG

Baadae, kwenye miaka ya 2013's alifanikiwa kuwa RAIS WA TANO WA SERIKALI YA WANAFUNZI, pale KITIVO CHA COHSS.

CamScanner 12-20-2024 14.11.jpg

Kwahiyo, wenzenu walimaliza MASOMO YA VYUO VIKUU akiwa tayari ni viongozi wa SERIKALI ZA WANAFUNZI katika nafasi mbalimbali na hii ilikuwa ni jitihada ya MISTER CLEAN.
 
Duu umenikumbusha enzi za akina madelu vyeti vya NECTA havikuwa na picture ya candidate, ukawa mwanya wa Wana ccm kutumia vyeti vya waliofanya vizuri kujiendeleza kielemu
Kipindi kile cha miaka ya 2015's, kipindi ambacho MISTER CLEAN anakabidhi madaraka kwa JPM kupitia KHALFAN [BESS SURVIVED], nchi ilikuwa imechafuka mno!

IMG_20250128_142525.jpg

Tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI [1964], TANZANIA ilikuwa haijawahi kupata RAIS kutoka sehemu nyingine yoyote, tofauti na KISHAPU ~ JPM ndiyo alikuwa RAIS WA KWANZA WA TANZANIA kuchaguliwa kwa njia ya kidemokrasia ambaye hajatokea KISHAPU.

Ukianza na HAYATI MWALIMU mwenyewe! MZEE RUKSA! MISTER CLEAN na KHALFAN [BESS SURVIVED] wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

fe0bdb65e0d32b40080f32d206b8e00a.png

Hivyo JPM alikuwa na wakati mgumu sana kutoka kwa watangulizi wake! Kwani TANZANIA ni UWANJA WA FUJO na kuna kila aina ya michezo michafu, kwani rafu ni nyingi sana.

Kwahiyo JPM alipokea nchi ikiwa katika hali mbaya na mtangulizi wake ambaye ni MISTER CLEAN kupitia KHALFAN [BESS SURVIVED] alikuwa tayari ameshaandaa vijana wa kushika nafasi mbalimbali ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

977dac82fdfc51d5e2667d971ed56d4b.png

Hawa wakina MISTER CLEAN kupitia KHALFAN [BESS SURVIVED] wana vijana wengi ambao ni "NATIONAL FLAG BEARERS" tangu wanasoma SHULENI.
 
NATIONAL FLAG BEARERS ?
Ndiyo! Hawa wote ni NATIONAL FLAG BEARERS tangu wanasoma SHULENI, walikuwa ni WANAFUNZI BORA.

IMG-20250128-WA0013.jpg

MWANAFUNZI BORA yoyote huwa anapeperusha BENDERA YA TAIFA [NATIONAL FLAG BEARING] kwa upande wa taaluma.

ffb9825361b88df7012419bd7ce1e602.png

Wengine wapo wanakuja! Bado hata kuingia kwenye SIASA ZA TANZANIA, lakini wanatumainiwa pakubwa sana ndani ya SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Kwahiyo JPM alikuwa na wakati mgumu sana wa kuongoza TAIFA LA TANZANIA, kwani mitego ipo mingi na ndiyo iliyommaliza.
 
NATIONAL FLAG BEARERS ?
NATIONAL FLAG BEARERS wana nafasi kubwa sana ya kuwa VIONGOZI BORA kuliko hata WANANCHI WA KAWAIDA [PRIVATE CITIZENS].

IMG-20250128-WA0002.jpg

NATIONAL FLAG BEARERS wana nafasi kubwa sana ya kuwa VIONGOZI BORA kuliko hata MILITARY PERSONNEL kutoka katika MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA [COHESIVE APPARATUS].

IMG-20250128-WA0003.jpg

Ndiyo maana ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], MTANZANIA yoyote aliyefanikiwa kuongoza mara tatu kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI [NECTA] anakuwa na sifa ya kuwa MWENYEKITI WA CHAMA.
 
NATIONAL FLAG BEARERS ?
VIONGOZI wote wa MATAIFA YA ULAYA ni NFB au wengine wanapenda kuita kwa kifupi FB.

7c83fcce7d00296875350dff65839bb1.png

Hata huyu ni NATIONAL FLAG BEARER [NFB], tena ni POLISI kwa upande wa TAIFA LA URUSI. Aina hii ya SIASA ilianza kutumika kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA na ilienea MATAIFA yote yaliyoamini katika MFUMO WA KIDEMOKRASIA.

Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?
 
VIONGOZI wote wa MATAIFA YA ULAYA ni NFB au wengine wanapenda kuita kwa kifupi FB.

Hata huyu ni NATIONAL FLAG BEARER [NFB], tena ni POLISI kwa upande wa TAIFA LA URUSI. Aina hii ya SIASA ilianza kutumika kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA na ilienea MATAIFA yote yaliyoamini katika MFUMO WA KIDEMOKRASIA.

Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?
Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?.
Elimu elimu elimu
 
Niliwahi kumwambia mtu mmoja kuwa Nyerere angezaliwa miaka ya hivi karibuni Wala asingekuwa Rais wa nchi hii, alibahatika kuzaliwa kipindi hicho taifa likiwa gizani lakini to be honest Nyerere Yuko overrated sana angalia kuanzia muungano mpaka siasa zake za ujamaa
 
Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?.
Elimu elimu elimu
TANZANIA imefanikiwa kuakisi utamaduni na mtindo wa KIINGEREZA katika tasnia mbalimbali, ikiwemo SIASA YA TANZANIA.

SIASA YA TANZANIA inaanzia SHULENI kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] ~ inaanzia kupitia MITIHANI ya DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA.

IMG_20250131_165346.jpg

MWANAFUNZI BORA WA DARASA LA SABA [PSLE] na MWANAFUNZI BORA aliyeongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] huwa wanaitwa ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] au FLAG BEARERS [FB] na huwa ni POLICE BY DEFAULT.

IMG_20250131_164010.jpg

MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [CSEE] na MWANAFUNZI BORA aliyeongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] huwa wanaitwa ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] au FLAG BEARERS [FB] na huwa ni POLICE BY DEFAULT.

IMG_20250131_165706.jpg

MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA SITA na MWANAFUNZI BORA aliyeongoza kitaifa katika kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] huwa wanaitwa ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] au FLAG BEARERS [FB] na huwa ni POLICE BY DEFAULT.

56733a1943dbef0e7f687584fadafb8e.png

Kwahiyo WANAFUNZI BORA ndiyo wanafanya JESHI LA POLISI TANZANIA kuwa namba tisa [9] kwa upande wa BARA LA AFRIKA na hawa ndiyo wanapaswa kuwa ASKARI WA KUAMINIWA.

dc7c3e47d08be806aaed4eea813a3442.png

Upande mwingine wa SIASA YA TANZANIA ~ wale WANAFUNZI KUMI [10] BORA WA DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA kwa upande wa ujumla au katika kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] ndiyo wana sifa ya kuwa RAIS au MAKAMU RAIS ikiwa ni MTANZANIA HALISI [Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo].

Kama jina halipo katika ORODHA YA WANAFUNZI BORA WA DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA iwe ni matokeo ya ujumla au matokeo ya kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], basi mhusika anakuwa hana sifa ya kuwa RAIS au MAKAMU WA RAIS.

Hawa VIONGOZI WA KITAIFA katika ngazi ya URAIS na UMAKAMU WA RAIS, tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI [TANZANIA] wote ni WANAFUNZI KUMI [10] BORA WA DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA kwa upande wa ujumla au matokeo ya kila somo moja lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA].

3cf8854913d177b8459c644df2c9bb4d.png

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ~ huwa wanaamini katika kubalansi jinsia [GENDER] na walipendekeza kuwepo na ORODHA YA WANAFUNZI BORA kwa upande wa JINSIA YA KIUME na JINSIA YA KIKE, walifanikiwa. Sasa hivi kuna ORODHA YA WANAFUNZI BORA katika kila jinsia [ikiwa ni JINSIA YA KIUME na JINSIA YA KIKE].
 
Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?.
Elimu elimu elimu
Kwa kutambua umuhimu wa ELIMU, CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kina utaratibu wake wa kupata MWENYEKITI WA CHAMA kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA].

IMG-20250201-WA0003.jpg

CHAMA huwa kina utaratibu wake wa kupata MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] na mwanafunzi yoyote atakayefanikiwa kuongoza mara tatu [3] kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] atakuwa na SIFA YA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA.

_20241220_144910.JPG

Tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBARI [TANZANIA], mwaka 2010 ndiyo alipatikana MWANAFUNZI BORA aliyeongoza mara tatu [3] kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] na kuwa na SIFA YA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ndiyo maana analindwa kama MWENYEKITI WA CHAMA.

CamScanner 12-20-2024 14.11.jpg

Ndiyo huyo aliyekuja kuwa RAIS WA TANO WA KITIVO CHA COHSS, UDOM na ana nafasi kubwa sana ya kuwa MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hata kuwa KIONGOZI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBARI, kwa sababu alifanikiwa kuongoza mara tatu [3] kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] ikiwa inajumuisha TANZANIA BARA na TANZANIA VISIWANI [UNGUJA na PEMBA].
 
Haya, kwanini POLISI TANZANIA ni namba tisa [9] kwa POLISI wenye weledi, barani AFRIKA?.
Elimu elimu elimu
Sasa ukitaka kuona umuhimu na ulazima wa BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], jaribu kuangalia ule mchakato wa kupata MGOMBEA URAIS kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] uliofanyika mwaka 2015.

853babca90a7d1ab5ad0caeda11716df.png

WHITEY HAIR alikuwa anapigiwa chapuo sana, kutokana na namna alivyokuwa amejijenga kisiasa.

Lakini kwa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], ndiyo lililomkwamisha kufikia malengo ya kuwania URAIS kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

6fa8febebf5e0b1259fb9c29c7e120d2.png

Kama jina la muhusika halipo kwenye orodha ya WANAFUNZI KUMI [10] BORA waliofanya vizuri kitaifa iwe ngazi ya DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA. Basi muhusika anakuwa hana sifa ya kuwania URAIS kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hauwezi kuwa MWENYEKITI WA CHAMA wala RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA.

Kwa upande mwingine pia, huwa wanaangalia ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA katika kila somo lililosajiliwa na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] iwe ni DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA. Kama muhusika jina lake linakuwa halipo kwenye orodha tajwa anakuwa hana sifa ya kuwania URAIS kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hawezi kuwa MWENYEKITI WA CHAMA wala RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA.

0acb7428f9b29a1a1b9e355ebd285996.png

Huyu JPM kuna somo moja yupo katika ile ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA kwa upande wa KIDATO CHA NNE. Somo hilo ni CHEMISTRY, ijapokuwa alikuwa hajaandaliwa kuwa RAIS.

Hivyo PRESIDENTIAL MATERIALS huwa wanaandaliwa kutoka katika BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA]. Ndiyo maana pale BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA] huwa kuna figisu nyingi sana.

CamScanner 01-20-2025 15.45.jpg

Sasa wale WANASIASA wanaoifahamu SIASA YA TANZANIA vizuri, huwa wanaandaa viongozi wakiwa SHULE YA MSINGI au SHULE YA SEKONDARI.

CamScanner 01-20-2025 15.47.jpg

Hii SHULE YA UHURU ilikuwa chini ya MISTER CLEAN kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na walikuwa wanafanya vizuri hata kwa upande wa JINSIA YA KIKE.

_20250129_123301.JPG

Mwaka 2007, kulikuwa na JINSIA YA KIKE katika orodha ya WANAFUNZI BORA kwa upande wa SOMO LA KISWAHILI. Hata huyo JINSIA YA KIKE anafanyika kuwa ni PRESIDENTIAL MATERIAL.

CamScanner 01-24-2025 12.05.jpg

Ndiyo CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] hicho! Sema pia kuna changamoto ambazo huwa zinajitokeza kwa WANAFUNZI BORA wanaofanya vizuri kitaifa na changamoto hizo huwa ni kutumia majina yao katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao. Huwa wanatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kufanya BLACK MARKET..

CamScanner 01-29-2025 12.16.jpg

Hata sasa hivi, pale SHINYANGA MJINI kuna BODABODA zipo na zimeandikwa zinamilikiwa kwa jina la MWANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE [2007].

Kwahiyo SIASA YA TANZANIA tangu kipindi cha MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI [1964] ilianzia SHULENI na changamoto zilianza kuwa nyingi baada ya UTAWALA WA AWAMU YA PILI kufungua milango ya SOKO HURIA.
 
Unajua ukiwa kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA, hauwezi kuwa kiongozi wa kijamii kama siyo NFB au wengine wanaita FB.

cbf02d306f2575bf9d149f6cc141a663.png

Kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA ~ MASHIRIKA YA UMMA yote pamoja na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA huwa yanaongozwa na NFB au wengine wanaita FB. Hawa ndiyo huwa WAZALENDO kwa MATAIFA yao.

10b2186e60d41ea3f1382e2acda2f728.png

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA huwa wanazingatia "ACADEMIC EXCELLENCE" katika TAASISI mbili tu ~ ambazo ni NAFASI YA URAIS NA MAKAMU URAIS pamoja na MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. TAASISI nyingine sina uhakika..

06f252f6b7d906790325fab3a5b44285.png

Kwahiyo CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kitaendelea kuwepo kwa kipindi kirefu kutokana na aina pamoja na mtindo wa SIASA wanazofanya. Ule mchakato wa kupata MWENYEKITI WA CHAMA ndiyo unafanya CCM ionekane mpya kila siku.
 
MAREKANI pamoja na kuwa ni BABA WA DEMOKRASIA, lakini bado hauwezi kuchaguliwa kuwa RAIS au hata SENETA kama siyo NFB au wengine wanaita FB.

1f013a5813b714309d21a777aa181afc.png

Hawa wote ni NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] na walikuwa katika ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA kwa ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA, aidha kwa upande wa SHULE YA MSINGI [wao wanaita SHULE YA AWALI] au SHULE YA SEKONDARI.

b6407c03d225f03c114e2dcdcc928352.png

Kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA, hauwezi kuwa kiongozi wa kijamii kama siyo NATIONAL FLAG BEARER [NFB].

d8f99e3ce9ead51fe70655de23342e89.png

Hata huyu ni NATIONAL FLAG BEARER [NFB] kwa upande wa TAIFA LA URUSI, ndiyo maana hadi leo ni RAIS. Hawa NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] ndiyo wanaamika kuwa wazalendo katika MATAIFA yao.

d2797735ace673f79850d1bdde5a13b9.png

FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA inashindwa kutoa WAZIRI MKUU WA UINGEREZA kutokana na sababu ya NATIONAL FLAG BEARERING [NFB]. Wao wameshindwa kupata mwanafunzi bora kutoka katika familia yao.

Pamoja na kuwa na ushawishi mkubwa kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA, lakini wameshindwa kupata WAZIRI MKUU kutokana na sababu ya NATIONAL FLAG BEARERING [NFB] au wengine wanaita FB.

660dd790381bf0218864dee0894b0dc4.png

Hata KIONGOZI MKUU WA KANISA KATOLIKI [PAPA] huwa anachaguliwa kwa kuzingatia kigezo cha NATIONAL FLAG BEARERING [NFB] katika TAIFA ambalo anakuwa ametoka.

d9c5e76943ffa7faf557d7d3f11283e7.png

Kwahiyo hiki kigezo cha kuangalia ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA kwa ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA, huwa hakifanyiki kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] pekee yake bali kwa taasisi zote zinazoamini katika DEMOKRASIA.

b9ad593f8d59489935c141523be4e469.png

Haiwezekani kuwa MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] TAIFA kama jina la mhusika halipo katika ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA kwa ujumla au katika somo moja lililosajiliwa kama MTIHANI WA TAIFA na BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA].
 
NATIONAL FLAG BEARERS wana nafasi kubwa sana ya kuwa VIONGOZI BORA kuliko hata WANANCHI WA KAWAIDA [PRIVATE CITIZENS].


NATIONAL FLAG BEARERS wana nafasi kubwa sana ya kuwa VIONGOZI BORA kuliko hata MILITARY PERSONNEL kutoka katika MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA [COHESIVE APPARATUS].


Ndiyo maana ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], MTANZANIA yoyote aliyefanikiwa kuongoza mara tatu kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI [NECTA] anakuwa na sifa ya kuwa MWENYEKITI WA CHAMA.
Achana na hizi hadithi Kwa Sasa watoto wa vigogo wa CCM na wajukuu zao ndo Wananafasi kubwa sana ya kushika madaraka
 
Achana na hizi hadithi Kwa Sasa watoto wa vigogo wa CCM na wajukuu zao ndo Wananafasi kubwa sana ya kushika madaraka
Watoto wa vigogo wa CCM pamoja na wajukuu zao watashika nafasi mbalimbali ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], lakini siyo NAFASI YA MWENYEKITI WA CHAMA.

IMG-20250201-WA0000.jpg

NAFASI YA MWENYEKITI WA CHAMA huwa ni nadra sana kuweza kusema mapema, maana huwa haitabiliki!

3c4a9c1d1cfb1189d14cc08a42ef2933.png

Kama majina yao ni miongoni mwa majina ambayo yanapatikana katika ORODHA YA WANAFUNZI KUMI [10] BORA waliofanya vizuri kitaifa kupitia BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], basi watakuwa na haki ya kuongoza CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Tofauti na hapo, wataendelea kupigania nafasi ya UWAZIRI UKUU.

42561732a70e7d4166c5625f303c2b13.png

Lakini kama ikitokea maboresho katika mifumo ya KISERIKALI ~ hata nafasi ya UWAZIRI UKUU itakuwa ni ngumu kupata kwa sababu TANZANIA imekuwa ni UWANJA WA FUJO na kuna rafu za kila aina! Ujanja ujanja umekuwa mwingi..

_20241220_144910.JPG

Kwahiyo hata mifumo mingine ya KISERIKALI kama UTENDAJI UKUU WA SERIKALI [UWAZIRI UKUU] na BUNGE kuna hatari kwa siku za mbeleni kuongozwa na NATIONAL FLAG BEARERS [NFB] kama ilivyo kwa nafasi ya URAIS na MAKAMU wake.
 
Back
Top Bottom