Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mtu kazaliwa na kukulia Marekani unasema alihamia? Una uthibitisho wowote kwenye kuhamia kwake. Una tatizo la akili.
Kusoma pekee yake haitoshi! Inabidi baada ya kumaliza masomo ya shule na chuo, ni vyema kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. Kwani huko utapata fursa ya kufahamu mambo mengine mengi.

FB_IMG_1734288520995.jpg

Even those guys! Ni miongoni mwa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini MAREKANI kutokana na sababu za KIDIPLOMASIA, kabla hata ya MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBARI.


Yaani punde tu, baada ya kupata UHURU WA TANGANYIKA ~ kuna raia walianza kuhama TAIFA lao kutokana na sababu za KIDIPLOMASIA.

IMG-20241214-WA0013.jpg

Even those guys! Ni miongoni mwa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA waliohamia sehemu mbalimbali za nchi baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBARI.

IMG-20241213-WA0017(1).jpg

Mmoja alihamia MKOA WA DODOMA akitoka WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI na alifanikiwa kuwa WAZIRI MKUU! Mwingine alihamia MKOA WA RUVUMA akitoka WILAYA YA KISHAPU na alifanikiwa kuwa BALOZI na sasa hivi ni KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]!

IMG-20241214-WA0012.jpg

Huyu WAZIRI MKUU MSTAAFU kuna jambo alilifanya kwa WATU WA SHINYANGA ambalo hadi leo limekuwa ni tukio la kukumbukwa sana na wengine wanajaribu kumuiga.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliokuwa wamebaki katika MIKOA yao ndiyo waliofanikiwa kuifahamu SIASA YA TANZANIA vizuri na wao walifanikiwa kujijenga KIUCHUMI kupitia VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].
 
Hii Kali kwakweli 😳😳😳😳
Kipindi kile cha miaka ya themanini [1980's] ambapo VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA vinaanza kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, kulikuwa tayari kuna WATANZANIA walikuwa wanamiliki kampuni za kibiashara.

_20241216_045707.JPG

Mmoja wapo, ni UCHIFU WA BUSIA! Kwani hao ndiyo waliokuwa wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya SKANDINAVIA iliyokuwa inafanya safari zake kutoka DAR ES SALAAM kwenda IRINGA [1984/85] na walikuwa wanapaki pale KARIAKOO, MTAA WA AGGREY.

Hivyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliambiwa ukweli kuwa wale UCHIFU WA BUSIA walikuwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA.

Hata lile KABILA LA WAMBUNGU kutoka MBEYA, CHUNYA [kuanzia maeneo ya MAKONGOLOSI, MBANGALA, SAZA, MALEZA] walikuwa tayari wameshahamia WASUKUMA na kufanikiwa kuakisi tamaduni za WAMBUNGU. Sasa hivi 80% ya KABILA LA WAMBUNGU ni WASUKUMA wa kutoka katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Hali kadhalika, lile KABILA LA WAZIGUA kutoka TANGA, HANDENI walikuwa tayari wameshahamia WASUKUMA na kufanikiwa kuakisi tamaduni za WAZIGUA. Sasa hivi 80% ya KABILA LA WAZIGUA ni WASUKUMA wa kutoka katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walishauriwa kuingia mahusiano ya kibiashara na WAJERUMANI na hadi kufikia miaka ya tisini [1990's] walianza kuhamisha watu wao pamoja na kumiliki kampuni za kibiashara.

FB_IMG_1734167806021.jpg

Mfano mzuri wa kampuni ya kibiashara ilikuwa ni SIMBA VIDEO COACH ambayo ilikuwa inafanya safari zake kutoka DAR ES SALAAM kwenda TANGA. Hii kampuni ya SIMBA VIDEO COACH ilikuwa inamilikiwa na mmoja wa KUNDI LA BOYZ II MEN ambaye aliandika jina la mtoto wake aliyekuwa anapatikana SHINYANGA.

KUNDI LA BOYZ II MEN wote walikuwa ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU na KHALFAN alikuwa ametoka katika KIJIJI CHA BUBIKI, kule kwingine walifanya kuhamia tu.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN waliungana kwa pamoja na kuanza kuhamisha wale wenyeji wa asili waliokuwa wamebaki katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.
 
Hii Kali kwakweli 😳😳😳😳
Wenzenu waliambiwa SIASA YA TANZANIA inaanzia SHULENI! Wengi walishindwa kuamini kwa sababu walikuwa hawafahamu kwanini SIASA YA TANZANIA inaanzia SHULENI, wakati MATAIFA mengine SIASA huwa inaanzia kwenye MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.

IMG-20241106-WA0001.jpg

Jambo la kwanza, waliambiwa [kwa sababu wote walikuwa ni WANACCM] mwanafunzi yoyote atakayefanikiwa kuongoza mara tatu [3] kitaifa atakuwa na SIFA YA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Hiyo ni SIASA YA UINGEREZA katika kupata WAJUMBE WA HOUSE OF LORDS.

IMG-20241219-WA0009.jpg

Sio lazima mwanafunzi aongoze kwa matokeo ya jumla, bali hata mwanafunzi akiongoza somo moja katika kila hatua ~ kuanzia DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA atakuwa na SIFA YA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

IMG-20241121-WA0003.jpg

Jambo la pili, waliambiwa mwanafunzi yoyote atakayefanikiwa kuongoza kitaifa ~ iwe ni DARASA LA SABA au KIDATO CHA NNE au KIDATO CHA SITA atakuwa na SIFA YA KUJIUNGA NA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA [hasa JESHI LA POLISI] na hii inakuwa ni "BY DEFAULT", hata asipoenda kozi anakuwa na SIFA YA KUVAA SARE ZA JESHI LA POLISI au NGAO YA JESHI LA POLISI na anakuwa na namba ~ kwa sababu JESHI LA POLISI ni jeshi ambalo linahusika na USALAMA WA RAIA.

2f81415f10e13b9a1d90135833093eae.png

Jambo la tatu, waliambiwa watumishi wote wa MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA huwa wanastaafu na hata utumishi wao unaweza kukoma endapo pale utendaji kazi wao unapokuwa umefikia mwisho. Lakini wale WANAFUNZI BORA utumishi wao katika MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA huwa hakuna kikomo, hadi kufa.


Jambo la nne, waliambiwa ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA huwa ina URASIMU sana na inahusisha "ACADEMIC GENOCIDE". Lakini kunakuwa kuna mwanafunzi wa kwanza hadi mwanafunzi wa mwisho kitaifa. Hivyo walitakiwa kujikita katika kuwekeza ELIMU kwa watu wao pamoja na watoto wao.

Jambo la tano, mwanafunzi yoyote atakayefanikiwa kuongoza mara tatu kuanzia DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA atakuwa na sifa ya kuwa kwenye TUME YA MAADILI YA WATUMISHI WA UMMA na kuwa kwenye MAKUNDI MAALUM YA KUHALALISHA MGOMBEA URAIS [PRESIDENTIAL VETTING].

Sasa kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, miongoni mwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN kulikuwa hakuna MWANAFUNZI BORA.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walianza kuandaa watoto pamoja na watu wao ili kuweza kupata MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kupitia BARAZA LA MITIHANI [NECTA] na hapa waliingia wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA KAGERA [KCU].
 
Hii Kali kwakweli 😳😳😳😳
Wenzenu waliambiwa baada ya kufanya ACADEMIC GENOCIDE kinachofuata ni BLACK MARKET na hiyo ndiyo SIASA YA UINGEREZA, kuyatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

Hiyo huwa ni BIASHARA na kuna watu wanajipatia FEDHA kwa namna ya kuyatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali.

CamScanner 12-20-2024 14.01.jpg

Ndiyo maana huwa ni nadra sana kusikia mbele ya umma wakitangaza matokeo ya WANAFUNZI WA DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE NA KIDATO CHA SITA.

Hivyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walitakiwa kujipanga na kufuatilia kila kinachojiri katika kila MTIHANI WA TAIFA.

Maana WANAFUNZI BORA huwa wanapitia misukosuko mingi pamoja na kukosa ajira, kwa sababu majina yao yanakuwa yanaonekana yakimiliki kampuni, miradi na amana mbalimbali. Hivyo inakuwa ni vigumu sana kwa MUWEKEZAJI kuweza kupata AJIRA!

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] na KAGERA [KCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN waliamua kusambaza watu wao ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA na njia sahihi ilikuwa ni kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.
 
Sasa kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, miongoni mwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN kulikuwa hakuna MWANAFUNZI BORA.
 
Sasa kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, miongoni mwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN kulikuwa hakuna MWANAFUNZI BORA.
Baadae wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN waliambiwa kuwa TANZANIA inakaribia kufanana na KONGO, tofauti iliyopo ni VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani "CIVIL WAR" ambavyo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA inakuwa ni hakuna.

Lakini kwa upande wa TAIFA LA KONGO huwa hakuna MAMLAKA YA KISHERIA yaani "JURISDICTION", kule NGUVU YA FEDHA ndiyo inatawala na kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA huwa hakuna MAMLAKA ZA KUHOJI yaani "INTERROGATION".

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, TAASISI ZA UMMA zikiwemo MAMLAKA ZA KISERIKALI zinakuwa na namna yake ya kuchunguza jambo na huwa inafikia hatua ya kuhoji endapo mhusika atakutwa na hatia au jinai ya kuweza kujibu.

d30c7eba93df179ec5a345d6c93fcdc1.png

Hivyo na wao, yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN waliambiwa kuwa wanaweza kuyatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali.

142487d95626537b957f947d7791585e.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walianza kuyatumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali.

Yaani ilikuwa ni kama VITA! Kila mmoja alijaribu kufanya kila aliwezalo kutumia majina ya watoto wa mwenzie ilmradi kumuharibia!. Hicho kipindi ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuibuka kwa wingi MAJINA YA WATU pamoja na WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

Wao, MAMLAKA ZA KISERIKALI wanalenga kukusanya KODI tu! Lakini mambo mengine hayawahusu.
 
Yaani kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, unaweza kukuta MAMLAKA ZA KISERIKALI zinatumia gharama kubwa na muda mwingi wa kufanya uchunguzi wa jambo fulani, ilhali jambo hilo walikuwa wanaweza kulitatua ndani ya dakika tatu kwa kuhoji [INTERROGATE] mhusika.

Lakini kwa bahati mbaya, huwa hawana utaratibu wa kufanya INTERROGATION kama ilivyo kwa MATAIFA mengine ya AFRIKA YA MASHARIKI kama RWANDA [baada ya 1994], KENYA na hata UGANDA.

IMG_20241001_121605-1.jpg

Kwahiyo mianya ya kutoa na kupokea rushwa huwa ni mingi na hata uwezekano wa kutokea hali ya uonevu huwa ni mkubwa pia, kwa sababu mhusika anakuwa hajashirikishwa.
 
Mfano, kuna kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] na inafanya shughuli zake kutoka ARUSHA hadi DAR ES SALAAM.

Hiyo kampuni kipindi inasababisha ajali ya kugonga gari ndogo na kuua binti, ilikuwa imeandikwa kuwa inamilikiwa na MWANAFUNZI BORA WA 2007.

Wakati huyo MWANAFUNZI BORA hawajawahi hata kuonekana katika hiyo kampuni na kipindi anasoma SHULE YA SEKONDARI YA MOSHI [2008-2010] hakuwahi kabisa kupanda hiyo gari inayodaiwa kuwa ni anamiliki.

Yeye alikuwa anatumia kampuni ya DAR EXPRESS kipindi chote ambacho alikuwa anakwenda DAR ES SALAAM. Yaani kutoka mwaka 2008 hadi mwaka 2010, alikuwa anatumia DAR EXPRESS tu.

6be56abaf161c064ac48798c70d0aaf9.png

Sasa hivi kesi ipo MAHAKAMANI na WAHANGA WA AJALI wamefanikiwa kushinda kesi na kudai fidia inayokadiriwa kufika Tsh300,000,000.00 na ule upande mwingine kwa kuangalia madhaifu ya kampuni iliyosababisha ajali wanatakiwa kulipa tena kiasi cha FEDHA zinazokadiriwa kufika Tsh200,000,000.00. Tofauti na hapo wanamuhitaji mmiliki halali anayetambulika kwenye nyaraka za kampuni.

IMG_20241001_121605-1.jpg

Kwahiyo hawa kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] wanatumia jina la MWANAFUNZI BORA WA 2007 bila ya ridhaa yake na tayari wameshakutwa na hatia ya kujibu.

Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] ni miongoni mwa kampuni zilizosajiliwa TANZANIA kwa kutumia majina ya watoto wa watu wengine, bila ya ridhaa ya wahusika.

Yaani wapo kishari shari!! Lakini huwezi kukuta wameandika majina ya watoto wao kwenye nyaraka za kampuni ambazo wanamiliki na hata kufanyia kazi..
 
Mfano mwingine, pale ARUSHA MJINI kuna baa inaitwa MATAKO na jina la mmiliki ni MWANAFUNZI BORA. Sijui sasa hivi kama wamebadilisha, eti MWANAFUNZI BORA anamiliki baa inaitwa MATAKO..😂

Yaani hawa WANAFUNZI BORA wanaoneka ni MATAJIRI SANA, lakini kiuhalisia hali huwa ni tofauti kabisa.

And that's pure politics! Wanaofanya hii SIASA wanaanzia SERIKALINI na hiyo ndiyo BLACK MARKET.

IMG_20241001_121605.jpg

Hata MAUAJI YA KIMBARI kwa upande wa TAIFA LA RWANDA ilianza hivi hivi ~ pale RWANDA kulikuwa kuna KIWANDA CHA KUBANGUA KARANGA.

Kile KIWANDA CHA KUBANGUA KARANGA baada ya kuanza machafuko ya mwaka 1994, kiligeuka na kuwa GHALA LA KUIFADHIA SILAHA na SERIKALI YA RWANDA kwa kipindi hicho ndiyo wakafahamu kuwa ni KIWANDA kinachomilikiwa na MTANZANIA. Lakini ile ilikuwa ni too late..

Huyo MTANZANIA aliyekuwa anamiliki hicho KIWANDA CHA KUBANGUA KARANGA pale RWANDA, pia anamiliki kampuni nyingi za kibiashara hapa TANZANIA na anatumia majina ya WATU WENGINE pamoja na watoto wa watu wengine katika umiliki.

Kabla ya machafuko ya 1994, RWANDA walikuwa hawafanyi INTERROGATION, yaani ni kama TANZANIA ilivyo leo. Lakini baada ya MAUAJI YA KIMBARI [1994], RWANDA wapo vizuri sana.
 
Pia pale SHINYANGA MJINI kuna KIWANDA CHA KUBANGUA PAMBA kinachoitwa [...] na kinamilikiwa na MWANAFUNZI BORA kwa kutumia nyaraka za kampuni..😁

Eti ulishaona wapi mtu anamiliki KIWANDA CHA KUBANGUA PAMBA [GINNERY], halafu hata kwenye vikao vya wakulima hawajawahi kuonekana? Hii ndiyo BLACK MARKET..

Hata kwenye MAKONGAMANO YA KIJAMII hajawahi kuonekana! Kwenye BARAZA LA WILAYA hali ni hivyo hivyo..

Hali hiyo, ipo hivyo hivyo kama ilivyo kwa upande wa ile kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa [...] inayofanya shughuli zake kutoka ARUSHA hadi DAR ES SALAAM.

IMG_20241001_121605.jpg

Yaani hawa watu wapo kishari shari na wanaendelea kutumia madhaifu ya SERIKALI, kwa sababu wao [SERIKALI] hawafanyi INTERROGATION kwa wahusika na majina ya WANAFUNZI BORA yanaendelea kutumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

740a50cfa665fd20b03b1ed42595dfe7.png

Yaani ni kama ilivyo kwa upande wa TAIFA LA KONGO, namna ambavyo watoto wadogo waliochini ya miaka 18 wanavyotumika katika VIKUNDI VYA WAASI, SEKTA YA MADINI na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, ndivyo ilivyo kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA wanavyotumia majina ya WANAFUNZI BORA katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

7ca52c23dbc61aef71181368ef04cb55.png

Hii ni SABOTAGE! Lakini kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA wanaona ni utundu utundu wa kawaida wa namna ya kufanya biashara kwa sababu madhara bado hawajayaona.

9f2d986415f299a6a38b1650b3f4a9c1.png

Lakini watu wanaopata shida na kuathirika na hii BLACK MARKET ni WANAFUNZI BORA pamoja na WATU WENGINE ambao majina yao yanatumika katika umiliki wa kampuni na amana mbalimbali bila ya ridhaa yao.

3b9970e1a9e68da28a34eb4b5ff3ec8e.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili waliobaki wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walifahamu aina hii ya SIASA tangu miaka ya tisini [1990's] na walijikita katika kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kama KINGA dhidi ya WAHALIFU na WATU WENYE NIA MBAYA.
 
Pale katika MKOA WA KAGERA, kuna jina la MWANAFUNZI BORA linatumika katika umiliki wa mashamba ya chai.

Uwekezaji ni mkubwa sana! Anaonekana ananunua madawa ya kilimo na analipa wakulima kwa wakati, lakini hawajawahi kumuona.

Huyo MWANAFUNZI BORA ni muwekezaji katika sekta ya kilimo na hawezi kuajiriwa popote, sababu jina lake linaonekana katika sekta ya kilimo kama MUWEKEZAJI.

Hii ni BLACK MARKET na hiyo ndiyo SIASA YA TANZANIA, kwa sababu SERIKALI YA TANZANIA huwa hawafanyi INTERROGATION kwa muhusika na huwa inafikia hatua hawa WANAFUNZI BORA huwa wanadhohofika kabisa kama wasipowahiwa mapema.

IMG_20240930_065544.jpg

Kwahiyo njia sahihi na salama ni kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, kwa sababu akiendelea kukaa uraiani anadhohofika, huku wengine wakiendelea kunufaika katika sekta ya kilimo kwa kulitumia jina lake.
 
Mfano mwingine, pale TABORA MJINI kuna baa inaitwa O2 na ulikuwa ukiangalia jina la umiliki lilikuwa linaonesha jina la MWANAFUNZI BORA, sijui kama sasa hivi watakuwa wamebadilisha.

_20241224_204615.JPG

Sasa hawa wenzenu baada ya kuongoza kitaifa katika masomo ya SHULE YA MSINGI, hasa SOMO LA HISABATI [2003] alianza kuvaa NGAO YA JESHI LA POLISI kupitia MKOA WA SHINYANGA akiwa KIDATO CHA TATU.

CamScanner 12-20-2024 14.19.jpg

Baada ya matokeo ya kidato cha nne [2007], hali ilikuwa hivyo hivyo ~ ndiyo alikuja kuwa mwanafunzi bora kwa mwaka wa 2007.

_20241220_144910.JPG

Hata alivyoenda KILIMANJARO, aliripoti shule siku ya kwanza na akaenda kusaini kitabu cha wageni katika OFISI YA MKUU WA WILAYA YA MOSHI.

IMG-20241126-WA0000.jpg

Kipindi kile ilikuwa amebakiza kuongoza KIDATO CHA SITA ili awe na SIFA YA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kupitia BARAZA LA MITIHANI [NECTA] na alifanikiwa kuongoza SOMO LA PHYSICS na GENERAL STUDIES katika mtihani wa kumaliza KIDATO CHA SITA [2010].

CamScanner 12-20-2024 14.11.jpg

Hao hao ndiyo waliofanikiwa kumuweka kuwa RAIS WA TANO WA COHSS [2012/13] kipindi kile cha vurugu pale CHUO KIKUU CHA DODOMA na walimsimamisha makusudi kwa kipindi cha miaka kumi [10] tangu 2014 ili kupisha upelelezi, lakini ule ulikuwa ni mwanya wa kuchukua hela tu! Wenzenu walikuwa wanaenda DODOMA kulala HOTELI na wamefanikiwa kuchukua hela kwa kipindi cha miaka kumi [10]..😁

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN waliifahamu aina hii ya SIASA tangu miaka ya tisini [1990's] na wanajiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA kama KINGA dhidi ya watu wenye nia mbaya.
 
Wakaambiwa tena, siku ambayo TANZANIA itaanza kufanya INTERROGATION itakuwa ni mwanzo mpya wa TANZANIA tunayohitaji.

Na kuna vitu kwenye SEKTA BINAFSI ambavyo vitataifishwa, kwa sababu hata ukiuliza mmiliki aliyeandikwa kwenye nyaraka za baadhi ya kampuni binafsi hutawapata!

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, kuna kampuni binafsi zilizoanzishwa kwa ajili ya kufanya SABOTAGE na CHILD ABUSE kwa kuandika majina ya WANAFUNZI BORA kama wamiliki bila ya ridhaa yao.

IMG_20240824_114715.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walipewa taswira kamili ya uhalisia wa mambo yanayoendelea kufanyika nchini TANZANIA.

Hivyo na wao wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN [hasa WHITEY HAIR] walionja, wakapenda na kusema ukweli walinogewa na hadi sasa hivi wanamiliki mambo mengi kwa kutumia majina ya watu wengine.
 
Unajua INTERROGATION sio lazima ifanyike na JESHI LA POLISI! INTERROGATION inafanyika na TAASISI yoyote au IDARA yoyote inayohusika na masuala ya kijamii.

Unakuta ardhi au jengo au kampuni imeandikwa jina ambalo hata mhusika mwenyewe hajaridhia! Hiyo inakuwa ni SABOTAGE na adhabu yake huwa ni KUTAIFISHA au wengine wanapenda kuita CONFISCATION au SEIZURE.

a4f4ce0253f59b038cb29ce7cc13e265.png

Hata KIOO kipindi fulani iliwahi kumilikiwa na MWANAFUNZI BORA na sijui sasa hivi kama wamebadilisha jina! Huyo MWANAFUNZI BORA aliwahi kuomba kazi pale KIOO na akakosa, yaani mmiliki anaomba kazi kwenye kampuni yake halafu anakosa kazi.

Katika hatua za kumiliki ardhi au jengo au kampuni au amana yoyote huwa ina taratibu zake na vitu kama pasipoti, sahihi, alama ya dole gumba, namba ya simu, barua pepe, barua ya mtendaji wa kijiji/mtaa, kitambulisho cha nida na namba ya TIN huwa vinahitajika.

Sasa unakuta ardhi au jengo au kampuni imeandikwa jina ambalo hata mhusika mwenyewe hajaridhia! Ina maana ni makosa ya kisheria na hawa watu wanaofanya BLACK MARKET huwa wanachukuliwa hatua za kisheria na huu mtandao huwa ni mkubwa sana.

f9edd33219567f81b77e3f50cc46dfd6.png

SABOTAGE na CHILD ABUSING huwa inaanzia ndani ya SERIKALI yenyewe, sababu MTUHUMIWA atapataje majina ya WANAFUNZI BORA bila ya kuwa na watu ndani ya SERIKALI?

Hivyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa na wanaendelea kufanya BLACK MARKET.

Pia, baada ya TANZANIA kuwa SOBER HOUSE kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS ~ hawa nao wanafanya BLACK MARKET, tena wanamiliki vitu vingi kwa kutumia majina ya WANAFUNZI BORA.

f0a7e74762bd2e8f988fc8b90e51ce9c.png

Kwahiyo wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA ~ walifanikiwa kuyafahamu haya mambo tangu siku nyingi sana na ilikuwa ni miaka ya tisini [1990's]. Njia pekee na salama ni kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kama KINGA.
 
Hii BLACK MARKET inafanyika hata ndani ya VYAMA VYA KISIASA, hasa VYAMA VYA UPINZANI.

IMG_20241229_112537.jpg

Unaweza kukuta jina la MWANAFUNZI BORA kwenye orodha ya WAJUMBE WA BODI YA UDHAMINI wa CHAMA CHA KISIASA, limeandikwa bila ya ridhaa yake na hii ilishatokea kwa upande wa CHAMA CHA WANANCHI - CUF.

Hata hawa VYAMA VYA UPINZANI wanafanya BLACK MARKET na CHILD ABUSING. Wakati mwingine unaweza kukuta jengo la ofisi ya MAKAO MAKUU YA CHAMA limeandikwa jina la MWANAFUNZI BORA [hati ya jengo] bila ya ridhaa yake.



Yaani hivi VYAMA VYA UPINZANI vina hati chafu kila wakati na hati chafu inatokana na haya mambo ya kufanya BLACK MARKET. Hawa wahusika wanaofanya BLACK MARKET huwa hawana nia njema, ni watu wa kupenda na kutaka shari.

IMG-20241228-WA0013.jpg

Kwahiyo hili suala la BLACK MARKET linaanzia ndani ya SERIKALI yenyewe na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA waliyafahamu haya mambo tangu siku nyingi sana na walijikita ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].
 
Mfano mwingine, pale MWANZA MJINI kuna kampuni ya siku nyingi sana inayoitwa [...] na inapatikana maeneo ya NYAMHONGOLO.

0e16979c66cdd484ff81b9baf7e7fa43.png

Ile kampuni ina mambo mazito kweli kweli na huwa wanasema wamiliki halali wa kampuni wapo SHINYANGA MJINI.

Tena walikuwa wanasema mmiliki wa kampuni amekuwa MWANAFUNZI BORA! Pale watu hawakushituka, kwa sababu WANAFUNZI BORA wapo wengi..

a05e73d395ddc8c9e58175cfe8e79e75.png

Walikuja wakajichanganya tena! Wakasema mmiliki wa kampuni amekuwa RAIS WA CHUO KIKUU! Aah pale watu wakafahamu..

Siku moja yule kijana waliokuwa wanamtaja kama mmiliki, alitafuta namba ya simu ya hiyo kampuni na akawapigia simu mbele ya ASKARI POLISI akajitambulisha na kuwaomba Tsh. 50,000,000 kwa ajili ya kwenda kusoma.

e66ff278e67557d7a5b7fe449523a543.png

Wale watu walikata simu kwa aibu kubwa na akiwa mwisho! Sasa sikujua baada ya hapo kama walibadilisha majina kwenye umiliki wa kampuni au lah! Lakini ilikuwa ni aibu kwao..

Kwahiyo haya mambo ya kutumia majina bila ya idhini ya mhusika yanafanyika sana TANZANIA na wanatumia madhaifu ya SERIKALI kwa kutokufanya INTERROGATION.
 
Unajua jamii yoyote inayofanya BLACK MARKET siyo ya kuamini, hata wanafamilia wao siyo wa kuamini!.

Jamii yoyote inayofanya GENOCIDE [iwe ni ACADEMIC GENOCIDE au MASS GENOCIDE] siyo ya kuamini!.

Jamii yoyote inayofanya ABUSING OF HUMAN RIGHTS [hasa CHILD ABUSE] siyo ya kuamini!. Hawa watu huwa sio wazuri, kwa sababu wao huwa wanatumia majina ya watoto wa watu wengine katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali, yaani inakuwa ni kama MODERN DAY SLAVERY.

Halafu wanatumia gharama kubwa kuingiza watoto wao ndani ya MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA, AJIRA ZA SERIKALINI na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], huku wale watoto wengine wakiendelea kutaabika.

Kama wengine wale wamiliki wa kampuni ya usafirishaji ya abiria inayoitwa [...] walishaanza kutia nia ya UCHAGUZI MKUU WA 2025, kupitia CHAMA TAWALA, katika MKOA WA KILIMANJARO. Lakini upande mwingine wanafanya CHILD ABUSE!

Ndiyo MATAIFA yaliyoendelea huwa yanafanya hivyo, hasa MATAIFA YA MAGHARIBI. Pia ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] huwa wanafanya hivyo, endapo pale mchujo wa wagombea unapokuwa mkali.

28a65eeec892a397e2a4f6fdad49a191.png

Hao ndiyo "WANAMTANDAO" ambao wanafanya BLACK MARKET kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ~ ni mtandao hatari sana.

d9b07ec0dcfc3b4386403bb0f67db763.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] walikuwa wanasema WHITEY HAIR alikuwa anaweza kuwa hata jirani yako bila ya wewe mwenyewe kujijua.

Pia ulikuwa ukiongeza na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO [PUISSANTS], basi TANZANIA iligeuka na kuwa UWANJA WA FUJO. Kila mtu alikuwa na jambo lake.

Kwahiyo wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA walikuwa wanafahamu kinagaubaga mambo yaliyokuwa yakiendelea kwa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's].
 
Mifano ipo mingi sana! Ukiwa pale SHINYANGA MJINI kuna kampuni ya usafirishaji ya siku nyingi na wanafanya BLACK MARKET hadi leo.

Yaani ni watu wa shari shari na wanaharibu maisha ya vijana wengi kwa namna ya kutumia majina bila ya ridhaa yao katika kumiliki kampuni na amana mbalimbali.

810be2d1a858c6ab3f4dfef89ce6c14a.png

Basi ile kampuni na wenyewe waliambiwa wamlete huyo mmiliki wa kampuni anayeonekana katika nyaraka za kampuni yao ili awe KATIBU WA VIJANA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Hawakuweza kufanya hivyo na hiyo kampuni waliona aibu na sijui wanaficha wapi nyuso zao..🙈

Hii BLACK MARKET inaanzia ndani ya SERIKALI yenyewe na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliobaki TANZANIA wanafahamu sana na TANZANIA iligeuka kuwa UWANJA WA FUJO tangu miaka ya tisini [1990's].

51a1289f46d7e555fcc533afcdd8f81e.png

Wale wenzenu ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA huwa wanajitahidi kuweka watu wao kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, ili pale inapotokea wamepata KIONGOZI WA KITAIFA ~ wanakuwa wamebeba jukumu la kulinda wao wenyewe. Tofauti na alivyokuwa anafanya HAYATI JPM, ukikosea au ukichanganya watu umeisha..

Kwahiyo kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KAGERA [KCU] walikuwa wamechangamka sana, wakiongozwa na KUNDI LA BOYZ II MEN.

Pia KUNDI LA BOYZ II MEN lilisambaratika baada ya mmoja wao kuaga dunia [DISEMBA, 1994] na viongozi wa kitaifa waliokuwepo kwa kipindi kile pamoja na familia walifanya "BESS SURVIVED" kwa MWENDAZAKE.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini. Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani", 1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga. Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU(Mwasisi wa TANU). OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka: "Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani, 1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

View attachment 1983785
History of our nation

Ni kwanini wanapenda maigizo kwenye sehemu zenye heshima, na ni kwanini yale ndio yanakuwa ya muhimu mpaka kufikia kuandikwa kwenye historia

Inashangaza, kumbe mwanzo wa haya mambo yote ni ule mkasa tunaoukuta mashuleni, mzumbe, tabora, ilboru, what matters ni ulipotokea, lakini zamani story ilikuwa ni tofauti kidogo mtifuano ulikuwa ni kati ya mpare na mchaga na bahati mbaya ni kwamba sisi wadogo tulikuwa hatuzungumziwi kabisa

Kile kitendo cha mimi kutokusikia jina la kabila langu pamoja na watu wangu kwenye maeneo ya heshima tukisifiwa kama ilivyokuwa kwa mpare, mchaga au muhaya. na huyu wa mwisho alikuwa anapenda kuna muda alianzisha matani ili apate sifa, alikuwa mpenda sifa jamaa, hebu angalia mfano hapo ni shuleni, na ukizingatia mimi ni kijana wa kikristo, nimefundishwa jema na baya, na niliona kabisa watu wakinifanyia ubaya,

Kama kawaida haikuishia mashuleni tuu, kila nilipokuwa nikikanyaga mguu wangu, nilikuta wachaga,wahaya na wasukuma na wote walitaka tutambuane kupitia makabila licha ya sisi sote kuwa wazungumzaji wa lugha ya kiswahili, wao walijinadi kwa sifa za makabila yao,

Mimi mchaga bwana, kwani wewe mtani ni kabila gani?,

Mimi mwenyewe nisingekubali nichekwe, nidharauliwe au nitukanwe eti kisa kabila, eti kwakuwa mimi ninatoka kabila dogo, eti kule kwetu hakujastaarabika, kweli?! shutuma juu ya kabila letu zilikuwa ni nyingi na muda mwingi tulionekana dhaifu kwenye majukwaa ya maigizo ya lugha ya kiswahili, aliyesifiwa alikuwa mchaga,



Ngoja nikajikusanye ntarudi

Dont take it serious
History is hostile
 
Back
Top Bottom