Hebu ongea na Mkunda
Una kitu, utafika mbali
Haya matabaka mawili ya JAMII YA SERENGETI pamoja na JAMII YA PUISSANTS [BSC] walifanyika kuwa maadui hadi kupelekea AJALI YA NDEGE [1994] iliyosababisha MAUAJI YA KIMBARI kwa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.
Hizi JAMII ZA SERENGETI pamoja na PUISSANTS [BSC] zote zipo kwenye VITA BARIDI, bado UGOMVI unaendelea chini kwa chini.
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ilifikia hatua ukiajiri JAMII YA SERENGETI kwenye kampuni binafsi, wale JAMII YA PUISSANTS [BSC] wanaanza kukuandamana na wanaweza kuua hata kampuni yako kwa kisa cha kuajiri JAMII YA SERENGETI.
Hali kadhalika, ulikuwa ukiajiri JAMII YA PUISSANTS [BSC] kwenye kampuni binafsi wale JAMII YA SERENGETI wanaanza kukuzodoa na mtiririko wa kodi unakuwa mkubwa na walikuwa wanaweza kuua hata kampuni binafsi.
Hata kwenye masuala ya MAHUSIANO YA KIMAPENZI, ukioa au kuolewa na JAMII mojawapo kati ya JAMII YA SERENGETI au JAMII YA PUISSANTS [BSC] - lazima waenze kukuzodoa na wakati mwingine usipokuwa makini huwa wanaharibu hata mahusiano yenu kwa sababu zisizo eleweka.
Yaani ipo kama ilivyokuwa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI - ukioa au kuolewa na MHUTU lazima MTUSI akuzodoe na ipo hivyo hivyo kama ukioa au kuolewa na MTUSI lazima MHUTU akuzodoe na wengine huwa wanaenda mbali hadi kusababisha MAAFA. Kwahiyo "SOLUTION" ilikuwa kama wewe siyo miongoni mwa JAMII hizo, basi unashauriwa kuoa au kuolewa na MTU wa kutoka TABAKA jingine ili kuepuka sintofahamu isiyokuwa ya lazima na ndivyo ilivyo kwa hizi JAMII ZA SERENGETI pamoja na PUISSANTS [BSC].
Na wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kwa mara ya kwanza walivyokuwa wanaingia kwenye SEKTA BINAFSI na SIASA ZA MATAIFA MAZIWA MAKUU walishauriwa ili kufanikiwa wasijihusishe na JAMII ZA SERENGETI pamoja na PUISSANTS [BSC]. Kwani hizi jamii mbili ni MAHASIMU [MAADUI].
Ndivyo wanavyofanya hivyo hadi leo, kwenye kampuni ambazo zinamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa hakuna JAMII YA SERENGETI wala JAMII YA PUISSANTS [BSC].
Tangu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walivyopokea USHAURI huo wanaendelea kufanya vizuri kwenye biashara zao.
Hata kwenye masuala ya MAHUSIANO YA KIMAPENZI, hali halisi huwa ipo hivyo. Ukioa au kuolewa na JAMII YA PUISSANTS [BSC], lazima wale JAMII YA SERENGETI wakuzodoe na ukioa au kuolewa na JAMII YA SERENGETI wale JAMII YA PUISSANTS [BSC] lazima wakuzodoe. Hizi JAMII ZA SERENGETI pamoja na PUISSANTS [BSC] zimekuwa zikiendelea na migogoro ya kisiasa mpaka leo na ndivyo walivyo hata kwenye MAHUSIANO YA KIMAPENZI, yaani huwa ni vurugu tupu na migogoro kila kukicha.
Unakuta BINTI anakwambia ni MJAMZITO, lakini hata TUMBO hulioni na miezi ya kujifungua inazidi kukaribia..π Au BINTI unampa milioni mbili [2,000,000] ili akachukue nyumba ya kupanga, lakini yeye anataka akanunue iPhone ProMax ya 2,300,000 wakati huo hata BODABODA hana!! Yaani huwa ni vurugu tupu..π
Wengine hadi wanajifungua lakini BABA MTU hajawahi kuona watoto, unakuwa anaambiwa miaka na tarehe ya kuzaliwa..π Unakuta BINTI mwingine anahitaji umuhudumie kila mwezi, lakini anapoishi hakuoneshi. Yaani inakuwa ni vurugu tupu..π
Sasa hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walishafanikiwa kufahamu haya mambo tangu siku nyingi na ndiyo maana wanafanikiwa kwenye masuala yao.
Kitu kingine ambacho ukiwa kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, huwa sio busara kukosoa hadharani KANISA LA KATOLIKI.
Na huwa sio salama kukosoa hadharani UTAWALA WA HAYATI MWALIMU, kwani WATANZANIA wengi wanaofahamu vizuri TAIFA lao huwa wanatumia muda mwingi kusifu hata kama jambo sio jema. Yaani "WANAPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA" - hiki kitendo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA huwa wanaita "KUPEMBELA".
Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa katika masuala yao bila ya kuhusisha JAMII YA SERENGETI wala JAMII YA PUISSANTS [BSC] na huwa hakuna VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA katika kampuni zao.